Abu Ubaidah Commando
JF-Expert Member
- Sep 8, 2016
- 7,591
- 6,946
Dulla mbabe kituangusha
Wanaume wa dar waache kula chipsi, na miguu ya kuku
Mtakuwa mnabondwa kila cku
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dulla mbabe kituangusha
Kumbe ndo anavyosemaga[emoji848][emoji1787][emoji1787]Makodinda
Ina maana wanatoka mikono mitupu? Aliyepigwa hapati hata mil 5??? Au mshindi haondoki na pesa zaidi ya Gari??Business kuu ya Mdhamini ni kuuza Magari. Akitoa gari anakuwa ana tangaza biashara kirahisi kuliko kutoa fedha.
Hatari sana, mwakinyo atazidi kumuogopaKiduku ni hatari
Kabla ya pambano mabondia wanaingia mkataba na mdhamini na wanakubaliana malipo kabisa na wakati mwingine wanalipwa kabisa.Ina maana wanatoka mikono mitupu? Aliyepigwa hapati hata mil 5??? Au mshindi haondoki na pesa zaidi ya Gari??
Ni mpya ama hizi hizi used kama za kwetu?Twaha chukua hiyo Crown
Huwa wanafanya hivi,ukishinda round unapewa point kumi na ukishindwa round unapewa point 9!Na ikitokea ukaangushwa basi mwenzako anapewa point 10 na wewe unapewa point 8 katika round husika!Mi sijaelewa hizo pointi zinahesabiwaje! Kiduku kuanzia raundi ya pili, kamtandika sana mpinzani wake. Nilitegemea pointi za Dula, zingekuwa nusu ya za Kiduku. Lakini mwishoe, imekuwa 98 kwa 91.
Hata hivyo, Dula, angekaza mwendo, alikuwa amalize mchezo raundi ya kwanza tu!
Pesa walishachukua kwa Promota kitambo!Ina maana wanatoka mikono mitupu? Aliyepigwa hapati hata mil 5??? Au mshindi haondoki na pesa zaidi ya Gari??
Mchezo haukuwa mzuri,ule wa awali kabla hawajapanda akina Twaha ndio ulikuwa mchuano haswaa!Ila ile ngumi ya mbabe ilikuwa kali naona alifungia power bank ndani ya gloves
Hivi Yule aliekimbiaga na hela za Mabondia Yupo?Kabla ya pambano mabondia wanaingia mkataba na mdhamini na wanakubaliana malipo kabisa na wakati mwingine wanalipwa kabisa.
Lile gari lilikuwa ni zawadi ya ziada tu. Alitokea mdau mwingine akaongeza zawadi ili kuwahamasisha mabondia wajifue zaidi kupendezesha pambano.
Malipo ya mabondia yanategemea uhodari wa bondia.
Katika pambano la Dulla na Kiduku, Kiduku amelipwa zaidi kwakuwa ndiye mshindi wa pambano lililopita.
Bongo hii..Nyoso..Gari la kwenye promo ni tofauti na uhalisia wa alilopewa mshindi.
Azam wapo vizuri sana hawataki dhuluma wala ujanja ujanja, hilo gari lipo vizuri na kwenye hali nzuri. Msangi alileta ujanja ujanja wake kwa kuwadhulumu mabondia, Azam wakamwambia hawato onyesha mapambano yoyote yanayo andaliwa na yy na ndio maana siku hizi Msangi kapoa sana.Gari la kwenye promo ni tofauti na uhalisia wa alilopewa mshindi.
twaha kanipa raha sana, usiku wa Leo!