Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dullar mbabe a.k.a yake yangu Leo Ni mpaka podaDullah kaniangusha,"namna gani Dullah!,"
any way,,mimi kama team Dullah nampongeza sana Kiduku kwa mchezo safi kabisa na ngumi zilizonyooka.akaze buti ikiwezekana afike mbali kimataifa"Inshallah"
Nilikwambia.Sio kweli,Kiduku anapaka sana poda ngoja uone Dullah atakavyo mpiga Kiduku kwa"ko"
Mwisho MwampambaWatu wa Moro hatushindwagi tukiwa Dar hata siku moja
Cheka
Afande Sele
Twaha Kiduku
Dullah Mbabe ni mbabe wa mdomoni tu ila mtoto wa Kiluguru anamuweza vizuri tu kamtia vitasa vya kwendaaa😅😅😅Dulla mbabe kituangusha
Ahahhahahahah nimecheka sana eti ngumi ya kichawi kutoka Tanga😅😅😅😅Ngumi za maana alzopiga dulla ni mbili tu na moja ile ya kichawi kutoka Tanga hamna nyingine, alikua na nafasi kubwa ya kumaliza battle mapema raundi ileile ya Kwanza kwa ile sondo yake ya 'kikanjanja' ila akazubaa sasa kilichofuata kwake ni kipigo Cha paka mwizi...dulla kashindwa hata kujitafakari hata Kama ndo umeishiwa ila siyo kufanya kila mtu awe kocha wako Tena kwa wakati mmoja,inasikitisha sana kwa kweli...
Umeongea kama mwanamichezo safi sana.Dullah kaniangusha,"namna gani Dullah!,"
any way,,mimi kama team Dullah nampongeza sana Kiduku kwa mchezo safi kabisa na ngumi zilizonyooka.akaze buti ikiwezekana afike mbali kimataifa"Inshallah"
Unafanya nini kwenye huu uzi sasa😅Sipendi ndondi.
Anapasuka mara ya pili! Ukishapigwa 2 times jua wewe mweupe tu tayari mtaa ushaamua kwamba wewe ni kibonde yani😅😅😅Huyu dulla ni dulla mnyonge, sio mbabe tena [emoji23][emoji1787]
Mbabe gani unapinduliwa pinduliwa kama chapati[emoji23]
Kichapo interchange😅Dullar mnyongeee
Dullah Mbabe ni mbabe wa mdomoni tu ila mtoto wa Kiluguru anamuweza vizuri tu kamtia vitasa vya kwendaaa😅😅
Yah Twaha akinolewa vizuri zaidi atakuwa mchezo anaumaliza mapema sanaMtoto wa kiruguru kinachomsaidia hakati tamaa mapema,ajitahidi awe pia na kocha mzuri wa finishing,kwenye kona alikuwa na uwezo wa kumaliza pambano mapema kwani alimuelemea sana Dullah,pambano lilikuwa la kibabe sana kwa kweli
Ni pambano la nini mkubwaLeo kama kawa nitakuwa nawaletea updates za pambano hili ambalo kimsingi mmoja ataondoka na gari. Aidha kutakuwa na mapambano kadhaa ya utangulizi.
Anacholack ni hicho tu,asimuache kocha wake,ila aongezewe mwalimu,inaweza kumsaidia,mdhamini wake kama anataka kuendelea kula pesa kiulaini alifikirie wazo hili.Ni bondia mwenye pawa sana anaweza kufika mbali akisimamiwa vyemaYah Twaha akinolewa vizuri zaidi atakuwa mchezo anaumaliza mapema sana
Mtoto kashiba magimbi ana stamina sanaAnacholack ni hicho tu,asimuache kocha wake,ila aongezewe mwalimu,inaweza kumsaidia,mdhamini wake kama anataka kuendelea kula pesa kiulaini alifikirie wazo hili.Ni bondia mwenye pawa sana anaweza kufika mbali akisimamiwa vyema
Ndio maana anajiita makodinda makostamina,kwa kweli kama ni bondia ukipambanishwa nae lazima ujiandae haswaaa,hapoiMtoto kashiba magimbi ana stamina sana
Vitasa vingiNdio maana anajiita makodinda makostamina,kwa kweli kama ni bondia ukipambanishwa nae lazima ujiandae haswaaa,hapoi