NOTED mkuu na Shukrani kwa ufafanuzi makini na wenye busara za hali ya juu. Ahsante sana.Kabla ya pambano mabondia wanaingia mkataba na mdhamini na wanakubaliana malipo kabisa na wakati mwingine wanalipwa kabisa.
Lile gari lilikuwa ni zawadi ya ziada tu. Alitokea mdau mwingine akaongeza zawadi ili kuwahamasisha mabondia wajifue zaidi kupendezesha pambano.
Malipo ya mabondia yanategemea uhodari wa bondia.
Katika pambano la Dulla na Kiduku, Kiduku amelipwa zaidi kwakuwa ndiye mshindi wa pambano lililopita.
Pointi za juu ni 10 kwa kila raundi kwa kila bondiaMi mwenyewe nimeshindwa kuelewa kama wewe,ngoja wataalam waje kutudadavulia,dulah kapigwa round zote ukiacha round ya kwanza aliyomuotea kiduku na akashindwa kumaliza mpambano kwa ugoigoi wake
Bondia akiangushwa chini anapoteza pointi ngapiKwenye round kunakuwa na mshindi wa round .
Ukishinda unapewa point 10
Ukishindwa unapewa 9.
Hivyo Hivyo mpaka round ziishe. Kisha unajumlisha
Kila jaji ataamua round hii nani mshindi ale 10 nani kapigwa ale 9
Mwisho wa pambano kila jaji anasema jumla ya kila bondia. Wako majaji 3.
Mf jaji namba moja 96 kwa 92.
Jaji namba 2. 99 kwa 91
Jaji namba 3 97 kwa 93.
Maana bondia namba 1 anakuwa aneshinda kwa 3 bila. Hiyo inaitwa win by unanimous decision
Walikuwa hawajazaliwa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mfalme wa rhymes unakumbuka au ulikua mdogo sana mkuu?
π π πTwaha chukua hiyo Crown