The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,582
- 14,167
- Thread starter
-
- #41
Ufanye utafiti humu ambapo kila mgombea wa upinzani huwa anaongoza kwa mafuriko harafu ukija mtaani anaambulia Kipigo cha mbwa mwizi?Huna haja ya kutaka tafiti kwa huyo mdau hapo juu. Tafiti ifanyie hapa hapa kwenye uzi wako! See reactions za wadau ndo utajua umeleta upumbavu humu
Magazeti ya Chadomo unategemea yaandike nini kutafuta kiki?
Jukwaa la wapinzani wewe umefuata nini na uchawa wako wa kiccm?Ufanye utafiti humu ambapo kila mgombea wa upinzani huwa anaongoza kwa mafuriko harafu ukija mtaani anaambulia Kipigo cha mbwa mwizi?
Hili ninjukwaa la wapinzani unategemea nini? Watasapoti ajenda zao.
Mtakuwa mnaangukia pua kila uchaguzi ππ.Uombe ushahidi chawa kama wewe ili iweje?
Aina ya watu kama wewe ndiyo aliowaita wapumbavu na hajakosea.Mtakuwa mnaangukia pua kila uchaguzi ππ.
Tumehifadhi maneno ya Lisu baada ya kukata tamaa anaitwa watazn wapumbavu,akigombea tuu atayakuta.
Humu kuna wapinzani na wapotoshaji 90% kwa hiyo majibu tayari mnayo.Tuanzishe Uzi wetu Jf tupige kura tuone ni asilimia ngapi watakubali au kukataa tozo.
Tukutane 2025 historia imetunza .Aina ya watu kama wewe ndiyo aliowaita wapumbavu na hajakosea.
Kwa sababu matokeo yako against your favor πππππ
Hii Twaweza ni ile ya profesali wa katiba? Kama ni ya yule sishangai.Kwa mujibu wa utafiti wa TWAWEZA asilimia 67% ya Watanzania wako tayari Kulipa tozo Kwa sababu wanatambua ni muhimu kwa maendeleo ya Nchi..
Kwa matokeo haya ni wazi Waziri Mwigulu na Serikali inazidi kuwaumbua Chadema ambao kila siku ni kudandia hoja na kupotosha ππ.
Chadema Kazi mnayo,Tafuteni hoja za kwenda nazo kwenye uchaguzi π
=============
Maoni ya wananchi kuhusu tozo za miamala ya pesa kwa njia ya simu yanatofautiana. Wananchi walio wengi wanakubali kwamba tozo hizo ni njia muhimu ya serikali kupata mapato (asilimia 67) na kwamba inahakikisha kuwa kila mtu anachangia maendeleo ya taifa (63%). Hata hivyo, wachache wanakubali kwamba tozo hizo zitapunguza utegemezi kwa wafadhili (46%) au kwamba kodi kwenye miamala ya pesa kupitia simu ni jambo zuri (43%).
Wananchi wanaonesha dalili kwamba wangeunga mkono zaidi tozo hizo iwapo wangekuwa na taarifa kamili za namna mapato yanayopatikana yanavyotumika. Wengi (63%) wanasema wangekuwa tayari zaidi kulipa ushuru kama wangefuatilia jinsi fedha zinavyotumika. Wachache wanasema wanajua jinsi fedha hizo zinavyotumika (39%) au wanaweza kujua kwa urahisi kutoka serikalini matumizi ya fedha zilizokusanywa (44%).
Walio wengi pia walikubaliana na pendekezo kwamba tozo yenyewe siyo tatizo bali gharama za miamala zinazotozwa na watoa huduma (66%) na kwamba tozo hiyo inapaswa kutumika tu kwa miamala mikubwa (52%). Miongoni mwa wale wanaokubali kwamba tozo hiyo ni njia muhimu ya kuongeza mapato kwa serikali wanasema viwango vya kodi hiyo ni kubwa (26%) kuliko wale ambao hawakubali (11%).
Unaliwa na mashetani wewe.Sidhani maana tozo ni chanzo rasmi cha mapato ya serikali na wao wanafahamu kwamba tozo ndio inaenda Tarura, RUWASA,kujenga madarasa na vituo vya afya..
Umewasikia siku hizi walisema kwenye majimbo Yao barabara ni shida?