Uchaguzi 2020 Tweet ya Mbowe tayari ni uchochezi, Vyombo vya Dola vimshuhulikie

Kwa hiyo tuyaache mabeberu yatupangie lakufanya!
CCM wakienda kuwapigia magoti wazungu kuomba omba misaada ulaya huwaita wafadhili wahisani lakini hao hao wazungu wakikataa upumbavu wa CCM hugeuka na kuwaita wanaume wenzao mabeberu utazani nyinyi CCM ni mbuzi jike.
 
👊👊👊👊 janjajanja mwisho 2020
 
Chadema wanajiona waondio wapinzani pekeyao.wakijitoa na wajitoe tu.
Huu upumbavu ndiyo umedidimiza maendeleo Tanzania hivi itokee watanzania hata 10 tu wawe na Akili mbovu kama zako hakuna kiwanda kitajengwa hata chato
 
Kwa hiyo chadema ndo nini mmpetupa uhuru gani mpaka tuwapambanie. Mtatushangaa watz wallah mkikatwa ndo kwisha habari yenu na naomba akatwe.
 
Kwa hiyo chadema ndo nini mmpetupa uhuru gani mpaka tuwapambanie. Mtatushangaa watz wallah mkikatwa ndo kwisha habari yenu na naomba akatwe.
Unavutia Bangi wapi? huoni Aibu kuandika upumbavu? hujui hata maana ya upinzani Duniani kote?
 

Kitu pekee ninachokijua tu ni kwamba Watanzania 'Majasiri' na 'Wathubutu' wataanza kupatikana kuanzia mwaka 3020, ila kwa sasa tusijisumbue.
 
Watetezi wa CCM mitandaoni wamemaliza kuvuta Bangi gheto kwa cyprian Musiba na Le mutuz sasa wapo busy kukaririshwa ujinga mda si mrefu wanaanza kuja kusumbua watu mitandaoni kwa utetezi wa kijinga unaofanana.
 
Akamatwe na ahojiwe kwa kutaka kuleta machafuko nchini
 
Msitutishe nchi hii ni kubwa kuliko CHADEMA na CCM pia uchaguzi sio baina ya CCM na CHADEMA tu bali kuna vyama kibao so CHADEMA mkijitoa uchaguzi bado utakuwepo tena kwa nguvu ile ile.
Uzi wako mzima ujumbe wako umelala hapo juu. Ndiyo unachotamani kitokee. Pole sana.
 
CCM haitaki kujenga viwanda tena pesa zote wamehamishia kwenye kesi kesi umbea fitna majungu kuwahujumu kuwabambikia kesi wapinzani, pesa nyingi inapotelea kwenye njama za kutengeneza kesi kesi hii CCM ya kishetani ipo siku watajutia ushetani wao.
 
Nape nnauye aliongea maneno kama hayo mbele ya waziri mkuu, mmeshaMkamata ?
 
CCM wakilala wakiamka sera yao kuu ni uonevu uovu kuwabambikia kesi wapinzani CCM ni chama cha kishetani sasa
 
Hovyoooooo!, How old are you?
 
Utawala wa penda penda kesi kesi kuwabambikia kesi kila wanaowakosoa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…