Uchaguzi 2020 Tweet ya Mbowe tayari ni uchochezi, Vyombo vya Dola vimshuhulikie

Hapa ndipo mnapokosea wabongo yaani changamoto za maisha yako unasubiri mtu akuamrishe ili uoambane nazo??? Ndo wanasiasa wanawaona wabongo ni wapumbavu wanaamua kupigania maslai yao binafsi
 
Hapa ndipo mnapokosea wabongo yaani changamoto za maisha yako unasubiri mtu akuamrishe ili uoambane nazo??? Ndo wanasiasa wanawaona wabongo ni wapumbavu wanaamua kupigania maslai yao binafsi
 
Kama hujanielewa hapo juu Sina Cha kukusaidia
 
Hapa ndipo mnapokosea wabongo yaani changamoto za maisha yako unasubiri mtu akuamrishe ili uoambane nazo??? Ndo wanasiasa wanawaona wabongo ni wapumbavu wanaamua kupigania maslai yao binafsi
Siasa ni sehemu ya maisha ya watu Duniani kote ni vigumu kuikwepa na endapo kila mmoja akiamua kufanya yake hakutakuwa na kampeni hakutakuwa na uchaguzi kwani kila mtu atakuwa kwake akifanya shughuri zake, kuwa na changamoto za maisha siyo kigezo cha kukataa kukemea uonevu uovu wa CCM.
 
Wavuta Bangi waliokula gheto kwa cyprian Musiba sasa wapo mitandaoni tujiandae kukabiliana na utetezi wao unaofanana baada ya kukaririshwa upumbavu mwingi mno toka kichwani mwa Kubwa jinga Le mutuz na cyprian Musiba mwenyewe.
 
Nnachomaanisha ndugu yangu, watanzania wameshindwa kujipigania ndio Mana wanasiasa wanashindwa kuvumilia mateso kutoka chama tawala wanajiunga nao watetee maisha na maslai yao.
 
Ni kelele wanapiga achaneni nao.
Magufuli namkubali sana,mzee wa IQ kubwa,anawazoom tu hahaa,kubishana na cdm ni kupoteza time.
State house anarudi saa 12 asubuhi.
Tano tena.
 
pumzi inakata
 
kunya anye kuku akinya bata kaharisha...mbona akina nnape wanahubiri vita hadharani tena mbele ya viongozi wanafiki wa kidini..hamyaoni hayo pumbavu kabisa.
 
Kwa Tanzania na Watanzania ninaowajua mbao wao Chadema wanadhani wana sapoti kubwa ya Watanzania, wanajidanganya tu. Kwa nini Mbowe ana hofu, hiyo hofu inatoka wapi? Je kuna sheria wamevunja sasa wanatafuta huruma ya Watanzania? muda utaongea
 
Wavuta Bangi waliokula gheto kwa cyprian Musiba sasa wapo mitandaoni tujiandae kukabiliana na utetezi wao unaofanana baada ya kukaririshwa upumbavu mwingi mno toka kichwani mwa Kubwa jinga Le mutuz na cyprian Musiba mwenyewe.
Pia Kuna wanywa faru umu

Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
 
CCM kazi yao ni kuwabambikia kesi kuwapiga risasi chadema tu
Mtu yoyote anayegombea uongozi kupitia chadema ni jabari la kisiasa, na ni binadamu anayejiamini mnoooo katika awamu kandamizi ya kihuni kuwahi kutokea tangu kuasisiwa kwa taifa hili.
 
Wapi ameleta uchochezi we Pimbi ? Hivi nyinyi mapimbi wa kihutu mnafikiri mtatawala milele heshimuni haki za watu.
 
Ndio nasema,usidhani kufeli kwako kimaisha basi kila mtu yuko hivyo!Utapata stress buree!
Hayo mambo ya kukaa kwa shemeji huwa naona humu JF baadhi ya watu wakishambulia wengine,hua nawaona wapuuzi na walioishiwa hoja!Kuanza kmtambia mtu usiyemjua ni uwendawazimu!Grow up,pathetic idiot!
Hivi ukificha ujinga wako unaonaje?
 
Hayo mambo ya kukaa kwa shemeji huwa naona humu JF baadhi ya watu wakishambulia wengine,hua nawaona wapuuzi na walioishiwa hoja!Kuanza kmtambia mtu usiyemjua ni uwendawazimu!Grow up,pathetic idiot!
Kama hukai kwa shemeji utaumia nn? Kama unajitambuwa huwezi kuleta hoja mfu na kuonyesha ulivyo kilaza namna hiyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…