Darmian
JF-Expert Member
- Oct 1, 2017
- 17,289
- 46,624
Washamba wakubwa mmetuaribia nchi..kiddingTutaacha tukiwaachia nchi yenu.. sa hivi ngoja kwanza dawa iwaingie
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Washamba wakubwa mmetuaribia nchi..kiddingTutaacha tukiwaachia nchi yenu.. sa hivi ngoja kwanza dawa iwaingie
Duh!Kadhuri kweli
Washamba wakubwa mmetuaribia nchi..kidding
Duh!Kadhuri kweli
Sasa ni kwa nini watu huwa wananunua IST badala ya huyu mrembo?Kinoma noma yaani
kama wewe ni mwanaume nikupe pole in advance, POLE SANA MKUU.Toyota Allex ina shape mbaya, IST iko sexy ukilinganisha na Allex au Runx
Ila una uhakika Ni msukuma au ndo kutaka kununua ugomvi kwa mabishano ya kipumbavu?Sababu za kijinga jinga tu.
Wasukuma ushamba mtaacha lini
Hahaha eti shape kama ya kiatuAllex ni ndefu( length) halafu height yake ni ndogo, kwa hiyo inaleta shape kama ya kiatu, halafu hata kwenye matuta mengine inagusa
kama wewe ni mwanaume nikupe pole in advance, POLE SANA MKUU.
Wakuu kama unataka kuvuta chuma ambacho kipo vizuri kwenye barabara kati ya toyota ALEX na IST, ipi ya kununua wakuu?
View attachment 1707300
Toyota IST
View attachment 1707301
Toyota Alex
Allex bei inaendaje?Hio IST haiwezi fikia Allex kwa uzuri mpaka comfortability ya ndani [emoji23]! Allex ina Premio like Interior na umbo lake la nje liko so appealling hasa ikiwa coupled with nice rims.
Kama kuna gari ina shepu kama kiatu ni IST ni sababu tu ya 1300cc na beo ndogo ndio maana zimejazana IST ila kwa mvuto Allex ingeuzwa bei sawa na IST af iwe na 1.3L engine hamna mtu angenunua IST.
Daa ALEX kasifiwa sana nimemuweka kwenye nafasi ya kuwa gari ya Kwanzaa kununua
Oyaa beigani uyo Alex
Leo nimeamini watu wengi hawajui mambo ya Magari yaani anafananisha allex na IST?
Kwanza ukishasikia Toyota Corolla ujue hiyo ni bonge la ndinga ikiwemo allex...Kwanza madereva wa IST huwa tunawadharau Sana barabaran kutokana na Yale mapepe Yao
Nimecheka mpaka nikatamani nipasuke koromeo ili nicheke vizuri. Nahisi pumzi inakata.Na wote watakao kuja kuharibu huu uzi wakisema zote ni baby walker tupambane nao kwa nguvu.