Twende kazi: Ipi gari kali kati ya "Toyota IST" vs "Toyota Alex"

Twende kazi: Ipi gari kali kati ya "Toyota IST" vs "Toyota Alex"

kweli ist ufananishe na huu umeme?
images (1).jpeg

Hii gari iko vizuri jamani😋 with its very appealing design on nice rims.
 
Allex na Runx ni gari nzuri kwa muonekano safi kabisa ila kwenye stability kwenye soeed namashaka nazo, zinayumba sana
Gari zote zinakuja zikiwa na balanced stability ila mnachoanzaga kufanya ni kutia spacer ili gari ifike Goba mabondeni ulipojenga. Ila haikutengenezwa kupita njia zile unataka uifosi ifike kwako unatia spacer tayari umeua stability.

Unabadili shockup unaweka weak shockups gari inakuwa na body roll ya hatari...Tayari umeua stability hapo. Kisha unakuja kulalamika mbona gari ile haina stability
 
Gari zote zinakuja zikiwa na balanced stability ila mnachoanzaga kufanya ni kutia spacer ili gari ifike Goba mabondeni ulipojenga. Ila haikutengenezwa kupita njia zile unataka uifosi ifike kwako unatia spacer tayari umeua stability.

Unabadili shockup unaweka weak shockups gari inakuwa na body roll ya hatari...Tayari umeua stability hapo. Kisha unakuja kulalamika mbona gari ile haina stability
Ok all in all gari ni kama Dem, kuna wanapenda tako, miguu, macho, pua, meno.

Mimi napenda bonyelea vya miguu na mikono yaani hapo utaniuwa.
 
IST mlinganishe na shoga yake Vitz.
Alex kuifananisha na IST ni dharau kubwa sana.
Ngoja tuwasikie na wamiliki wa hivi vidubwasha watasemaje.
 
Kama uko shamba au njia zako ni rafu sana chujua IST...ula ni mjini rami sana chukua allex au runx
kwanini mkuu, je IST ina uwezo mkubwa wa kuimili mikiki mikiki ya barabara za vumbi na njia ngumu au unaongelea kwa upande kuwa ata ikiaribika poa tu?? naomba ufafanuzi mzuri
 
Back
Top Bottom