Johnny Impact
JF-Expert Member
- Sep 12, 2017
- 5,502
- 9,070
Hata ungekuwa wewe usingeweza kuandamana. Ilishatokea madaktari wakaandamana ila mkuu wao, alitekwa na watu wasiojulikana na mpk leo hakuna kesi ya kutekwa. Ilikuwa kipindi cha KikweteTatizo waafrika hasa watanzania wamesharidhika na umaskini wao.
Wala hawana muda wa kupigania haki zao za msingi.
Juzi kati hapa madaktari wa Kenya wamekinukisha kushinikiza serikali iwaongezee na kuboresha maslahi yao.
Watanzania ni kusifia kila kitu mama anaupiga mwingii.
Sababu hawalipwi kwa saa ajitume asijitume mwisho wa mwezi atapokea yote.hakika,huko watu wakiwa kazini akuna story akuna simu ni kazikazi.
mfano huku kwetu bank kuna madirisha sita tellers,ila dirisha linalohudumia ni moja tu msululu wa watu na bado huyo muhudumu dakika moja simu dakika moja anahudumia.
Huku uhakika wa kesho haupo thus watu wanapiga ukiwa na pesa upo juu ya Sheria kufungwa ni kupenda kwakoMfano.
Idadi kubwa ya watanzania wanategemea kilimo cha mvua. Kibaya zaidi wanalima kwa kutegemea jembe la mkono na mbegu wanatumia za kizamani.
Hayo mazao wanapata faida ya kubadilisha yao?
Watu wanafanya kazi sana ila shida ni teknolojia na mishahara duni huku gharama za maisha zikiwa juu
Sawa mimi ni mediocrityAd hominem attack.
Badala ya kujibu hoja unamshambulia mleta hoja.
Find someone of your league to parallel your mediocrity.
hapana iyo sio sababu,hali hiyo kwa hapa bongo niliyotolea mfano huwa inatokea sana kwenye bank au taasisi za umma,taasisi,bank au biashara binafsi uwezi kuta iyo hali na awalipwi kwa masaa.Sababu hawalipwi kwa saa ajitume asijitume mwisho wa mwezi atapokea yote.
Kule ukichezea simu mfumo unakutoa nje pia usipojituma unajiibia mwenyewe
Cha maana ni nini?Sawa mimi ni mediocrity
wewe umefanya nini cha maana huku duniani
Daaah hakika sisi weusi ni sawa na bureMwafrika hasa mtanzania anataka apige kazi masaa nane tena hayo bado anaona ni mengi,
Awahi kutoka kazini apitie baa amwagilie moyo na nyama choma huku akibishana simba na yanga.
Wanawake wanataka wawahi kutoka kazini wapitie saluni wakajirembe huku wakipiga soga na umbea.
Halafu jumapili wakajazane makanisani wakipayuka kama mbayuwayu kumuomba Mungu wapate mafanikio.
Hawa ndio waafrika..!!d
Huweziacha kudai mfumo mzuri wa maisha yako na vizazi vyako kisa mwenzio katekwa ama kuuwawa. Hizi ni kauli za kioga , ujinga na umaskini na ndo tabia ya watanzania. Kudai mfumo bora ni vita na mnatakiwa kuwa na mbinu mbalimbali na si kukariri kuandamana tu.Hata ungekuwa wewe usingeweza kuandamana. Ilishatokea madaktari wakaandamana ila mkuu wao, alitekwa na watu wasiojulikana na mpk leo hakuna kesi ya kutekwa. Ilikuwa kipindi cha Kikwete
Mbunge analipwa mafao kila baada ya miaka 5 na si 10.Hapo kwa walimu , hiyo 500k ni secondary lakini primary wanakula hadi 350k.Tuna matatizo mengi sana kuliko watu wanavyofikiria na wala suala siyo kufanya kazi.
- Mbunge amekaa bungeni analipwa 200k km posho hapo bado mshahara ila mwalimu analipwa 500k kwa mwezi
- Mafao analipwa akimaliza ubunge miaka 10 ila wengine wasubiri wafikishe miaka 50 halafu kuna kikokotoo
- Huduma za afya ni changamoto
- Elimu yenyewe unajifunza theory.
Nadhani maswali yako mengi nimeyajibu kwenye vipengele vinavyofuata na mtoa mada nilimpa tu food for thought.., Hard Work does not Necessarily pay kwahio angeweza kuongelea efficiency na effectiveness lakini sio necessarily hassling... nadhani ndio maana nikasema ni vema tukaangalia uhusiano kati ya uvivu na umasikini
Uhusiano kati ya Umasikini, Utajiri, Uvivu na Werevu
Kuna baadhi yetu tumekuwa tukihusisha watu masikini kwamba ni wavivu, huenda hii ilikuwa kweli zama za kale za kuhitaji nguvu na jitahada za kulima ili upate mkate wako wa kila siku (sababu hata uwindaji huenda ulihitaji ujuzi zaidi kuliko uchapakazi); Pia huenda kipindi hicho mtu alikuwa na...www.jamiiforums.com
Suala la kupindua meza au kwanini tupo katika hii predicament nachoweza kukwambia ni Kwamba Necessity is the Mother of all Invention.... hao western tunaowasifia leo wala civilisation haikuanzia kwao na mengi wanayofanya either waliyaiga au kuwa-subjugate wengine (miji kama liverpool imejengwa na kujengeka sababu ya Utumwa) Nchi kama Belgium imejengwa kwa jasho la Congo) - Great Britain ni Kisiwa ilibidi watoke huku na kule kwenda kutafuta colonies ili waweze kuishi...; Egypt vitu kama irrigation vilianzia huko....,
Africa ingawa ukiangalia historically vitu kama pottery na ufuaji vyuma tulikuwa navyo lakini maisha ya huku mtu angeweza kuishi bila kujituma (kwanini uhitaji fridge wakati una mtungi, kwanini uhitaji AC wakati ukilala nje unapigwa Natural AC)
Kwahio huku tunapoelekea when the push comes to shove na maisha yanazidi kuwa magumu for better or for worse mambo yatabadilika (watu lazima tutapigana na kuchukiana) kwanini you might ask..., Sababu hatuna viongozi bora, tuna viongozi ambao ni walafi wanajenga kesho yetu ya matabaka na watu wenye nothing to loose..., kwahio ikifikia hapo All Hell will Break Loose.....
Dah nilitaka nilale muda huu, ila kwa hii comment imenipa challenge.. ngoja niendelee kukomaa ase.Nakumbuka wakati nipo ugaibuni nilikuwa nalala almost kama masaa matatu tu basi out of 24 hours.
I remember nilikuwa naweza kuingiza hela ya kibongo by then like 4 million Tsh na hapo nimeshakatwa Kodi Yao 36%.
Yaani unapiga box huku unasoma. Kuna muda unajiuliza hivi nimekuja huku kusoma au kupiga box?
Namshukuru Mungu niliyofanya kwa umri wangu nisingeweza kufanya hata kama after retirement still nisingekuwa na uwezo kufanya.
Tukipata fursa ya kwenda ugaibuni Ili ufanikiwe inatakiwa ujitume na kuwekwa show off pembeni.
Kwa Sasa nawinda Green Card ya Mmarekani ili nikapotelee huko and I will come back after achieving my goal!
Tuendelee kupambana na maisha na kupunguza kuhonga hawa kausha damu wasio na shukrani
Uko sahihi mia miaYaani tusijidanganye hata siku moja.
Watu weusi tunajisemaga tuko na maguvu etc..
Ila kwa jinsi hawa wenzetu ngozi nyeupe wanavyopiga kazi speed yao kama umekaa kibwegebwege utakuwa unalia kila siku
Hawa jamaa ni nuksi jamani, yaani huku kufanya kazi saa 12 + ni jambo la kawaida sana.
Halafu wako speed kama legelege lazima utapike dagaa.
Watu weusi tuko polepole sana hata kazi nchini kwetu infact ukisema u rate kwenye scale ya 10
Hawa wenzetu wako 9/10 sis tuko 1/10
Yaani hakuna kitu wakuu, nadhani hii ndio siri kubwa ya wao kutupiga gap la maana achana na kelele za ohh walikuja kuiba malighafi Afrika hizo ni kelele za kujitetea tu hawa jamaa ni watafutaji yaani wana ile spirit ya kichaga na kikinga mara 100
Ni hayo tu wadau, tupambane. sana
Na haijalishi ni me au ke hawa watu ni hatari na wanaanza michakato wadogo kabisa yaani 18yrs mtu anapiga kazi
Kazi zipo nyingi tu,ajira ndio hakunaNakubali wao wanafanya kazi sana kwasababu hizo kazi pia wanazo. Hapa kwetu kazi hakuna tufanye nini?Watu wengi kila mahala unapopita masaa yote kwasababu kazi hakuna.
Mtuletee kazi tutafanya, Msituambie twende kulima, wengine tumezaliwa mijini hatujawahi kulima na hatuna mashamba.