Twitter bila VPN yarejea nchini Tanzania

Twitter bila VPN yarejea nchini Tanzania

Kama VIGOGO2014 AKina Malope na wenzake wameshajulikana na hawana tena makali hakukuwa na haja ya kuendelea kuifungia Twitter. Hilo lilikuwa wazi sana.
Mama ni mpenda haki na demokrasia.
 
Pongezi kwa serikali ya chama cha mapindunzi

Wanajua wakati wa kufunga na wakati wa kufungua [emoji38][emoji38]

Kazi iendelee

Aisee ivi huwa mna kitu gani kichwani watu wa ccm ? [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
ccm wamejitia vidole wenyewe alafu wanachekelea wenyewe nimeona ka milard ayo kamepost "twitter bila vpn" ilivyozimwa mbona hakusema ? very stupid yan watu wa ccm
 
Watu wanashangilia kama wametolewa jela vile
 
Habari, kama mtakumbuka wakati wa uchanguzi mkuu wa mwaka uliopita kulipelekea kufungwa kwa mitandao ya kijamii na njia pekee ya kuifikia ilikupaswa uwe unatumia virtual private network (VPN) - a technology for protect private network over public network such as internet.

Mara baada ya uchaguzi mkuu baadhi ya mitandao ilianza kufikiwa bila kutumia VPN except mtandao wa KIHANAHARAKATI wa Twitter. Ila leo imekuwa ni jambo la furaha sana kwa Twitter Republican kuweza kutuumia jukwaa lao hilo "makini" bila VPN.

Nadhani uhuru wa kutoa maoni na kujieleza unaanza kurejea taratibu baada ya kupita katika tanuri la moto wakati wa Mwendazake. Wasaalam
Leo nimejaribu kujiunga data ya bando la kampuni ya TTCL ni magumashi kutumia mtandao wa Twitter lakini mitandao mingine ni mtelezo. Cha kushangaza nikiweka bando la kampuni nyingine za simu naingia TWITTER kilaini❗ Tatizo ni nini
 
Back
Top Bottom