Mama ni mpenda haki na demokrasia.Kama VIGOGO2014 AKina Malope na wenzake wameshajulikana na hawana tena makali hakukuwa na haja ya kuendelea kuifungia Twitter. Hilo lilikuwa wazi sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mama ni mpenda haki na demokrasia.Kama VIGOGO2014 AKina Malope na wenzake wameshajulikana na hawana tena makali hakukuwa na haja ya kuendelea kuifungia Twitter. Hilo lilikuwa wazi sana.
Imekubali mkuu. Mimi pia, sitafuta ProtonVPN yangu.Vuta subira kwangu inafanya kazi vjzuri. Hata hivyo matumizi ya VPN ni muhimj kipindi hiki ambacho bado hata Samia Suluhu hatujamwelewa.
Endelea kutumia ina faida nyingi utawala wa Magufuli umekuja na mengi.Imekubali mkuu. Mimi pia, sitafuta ProtonVPN yangu.
Pamoja sana mkuu.Endelea kutumia ina faida nyingi utawala wa Magufuli umekuja na mengi.
Kwanini waogopwe? Au ni yale ya yule dada na yule "shee mkuu wa Mkoa!!"?Kigogo na wanaharakati wengine ndio wanaoogopwa kule.
kumbe hata jf alitaka aifungieAmemtesa sana Maxence Melo ktk nia yake ya kutaka kuzima Jamii forum. Hata hivyo akiogopa maana JFs inatambuka hadi Washington DC white house.
Pongezi kwa serikali ya chama cha mapindunzi
Wanajua wakati wa kufunga na wakati wa kufungua [emoji38][emoji38]
Kazi iendelee
na petroli piaHayati aongezewe kuni za kutosha uko alipo
Zile kesi za Max zililenga apate usumbufu ashindwe kuendesha kampunikumbe hata jf alitaka aifungie
Aisee ivi huwa mna kitu gani kichwani watu wa ccm ? [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kuna Ubongo
Sio maji kama kwa chadema waliojiuza kwa fisadi
Leo nimejaribu kujiunga data ya bando la kampuni ya TTCL ni magumashi kutumia mtandao wa Twitter lakini mitandao mingine ni mtelezo. Cha kushangaza nikiweka bando la kampuni nyingine za simu naingia TWITTER kilaini❗ Tatizo ni nini ❓Habari, kama mtakumbuka wakati wa uchanguzi mkuu wa mwaka uliopita kulipelekea kufungwa kwa mitandao ya kijamii na njia pekee ya kuifikia ilikupaswa uwe unatumia virtual private network (VPN) - a technology for protect private network over public network such as internet.
Mara baada ya uchaguzi mkuu baadhi ya mitandao ilianza kufikiwa bila kutumia VPN except mtandao wa KIHANAHARAKATI wa Twitter. Ila leo imekuwa ni jambo la furaha sana kwa Twitter Republican kuweza kutuumia jukwaa lao hilo "makini" bila VPN.
Nadhani uhuru wa kutoa maoni na kujieleza unaanza kurejea taratibu baada ya kupita katika tanuri la moto wakati wa Mwendazake. Wasaalam