Waterloo
JF-Expert Member
- Nov 30, 2010
- 25,356
- 38,922
Iko safiMbona kama imezingua tena
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Iko safiMbona kama imezingua tena
Man'yokoPongezi kwa serikali ya chama cha mapindunzi
Wanajua wakati wa kufunga na wakati wa kufungua [emoji38][emoji38]
Kazi iendelee
Mwendazake alikuwa shwine sana sijui alihisi yeye ndio Yuda Escorioti yaani ushamba ni ugonjwa mbaya sana , mbaya zaidi mwendazake kaenda zake na ubabe wake wa kishamba , na nyie wasukuma muache ushamba wenu nymbafu zenuHabari, kama mtakumbuka wakati wa uchanguzi mkuu wa mwaka uliopita kulipelekea kufungwa kwa mitandao ya kijamii na njia pekee ya kuifikia ilikupaswa uwe unatumia virtual private network (VPN) - a technology for protect private network over public network such as internet.
Mara baada ya uchaguzi mkuu baadhi ya mitandao ilianza kufikiwa bila kutumia VPN except mtandao wa KIHANAHARAKATI wa Twitter. Ila leo imekuwa ni jambo la furaha sana kwa Twitter Republican kuweza kutuumia jukwaa lao hilo "makini" bila VPN.
Nadhani uhuru wa kutoa maoni na kujieleza unaanza kurejea taratibu baada ya kupita katika tanuri la moto wakati wa Mwendazake. Wasaalam
Dikteta hastahili kupumzika, abanwe kwa kichapo uko alipo ahadi atie akiliTaratibu tunaanza kurudi kwenye utawala wa sheria na uhuru wa kweli. Apumzike panapostahili marehemu dikteta uchwara.
Lilijua labda litaishi mileleMwendazake alikuwa shwine sana sijui alihisi yeye ndio Yuda Escorioti yaani ushamba ni ugonjwa mbaya sana , mbaya zaidi mwendazake kaenda zake na ubabe wake wa kishamba , na nyie wasukuma muache ushamba wenu nymbafu zenu
Mpaka #2040___asietaka ahame nchiMama Samia mbele kwa mbele
ila kuna kipindi ilizengua tena nikudowload tena vpnIko safi
Wakati muda wote umakuwa ukishadadia sii tu ukiukwaji wa haki za msingi ikiwa ni pamoja na uhuru wa maoni na ule wa habari,ama Sasa akili zimerejea.Kama VIGOGO2014 AKina Malope na wenzake wameshajulikana na hawana tena makali hakukuwa na haja ya kuendelea kuifungia Twitter. Hilo lilikuwa wazi sana.
Taratibu tunaanza kurudi kwenye utawala wa sheria na uhuru wa kweli. Apumzike panapostahili marehemu dikteta uchwara.
yeah.. leo Jamhuri ya Twitter ni bila Virtual Private Network.. fulu kuteleza
Vuta subira kwangu inafanya kazi vjzuri. Hata hivyo matumizi ya VPN ni muhimj kipindi hiki ambacho bado hata Samia Suluhu hatujamwelewa.Kwangu imegoma bila VPN. Naona bado kuna tatizo sehemu.
Wamebana wameachiaMungu ni mkubwa
Mama anazidi kuwa mtamu.Mama anazidi kunoga ☺️☺️☺️
magufuli mzee wa kufungia mitandao
Nyie watu mna laana si bure hahahahahahah