Twitter bila VPN yarejea nchini Tanzania

Twitter bila VPN yarejea nchini Tanzania

Habari, kama mtakumbuka wakati wa uchanguzi mkuu wa mwaka uliopita kulipelekea kufungwa kwa mitandao ya kijamii na njia pekee ya kuifikia ilikupaswa uwe unatumia virtual private network (VPN) - a technology for protect private network over public network such as internet.

Mara baada ya uchaguzi mkuu baadhi ya mitandao ilianza kufikiwa bila kutumia VPN except mtandao wa KIHANAHARAKATI wa Twitter. Ila leo imekuwa ni jambo la furaha sana kwa Twitter Republican kuweza kutuumia jukwaa lao hilo "makini" bila VPN.

Nadhani uhuru wa kutoa maoni na kujieleza unaanza kurejea taratibu baada ya kupita katika tanuri la moto wakati wa Mwendazake. Wasaalam
Mwendazake alikuwa shwine sana sijui alihisi yeye ndio Yuda Escorioti yaani ushamba ni ugonjwa mbaya sana , mbaya zaidi mwendazake kaenda zake na ubabe wake wa kishamba , na nyie wasukuma muache ushamba wenu nymbafu zenu
 
Mwendazake alikuwa shwine sana sijui alihisi yeye ndio Yuda Escorioti yaani ushamba ni ugonjwa mbaya sana , mbaya zaidi mwendazake kaenda zake na ubabe wake wa kishamba , na nyie wasukuma muache ushamba wenu nymbafu zenu
Lilijua labda litaishi milele
 
Kama VIGOGO2014 AKina Malope na wenzake wameshajulikana na hawana tena makali hakukuwa na haja ya kuendelea kuifungia Twitter. Hilo lilikuwa wazi sana.
Wakati muda wote umakuwa ukishadadia sii tu ukiukwaji wa haki za msingi ikiwa ni pamoja na uhuru wa maoni na ule wa habari,ama Sasa akili zimerejea.
 
Back
Top Bottom