Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo twitter imefunguliwa bila VPN?Wakati tunafurahia Twitter bila VPN, tukumbuke kuboresha maudhui yetu yawe yenye afya kwa taifa letu kila siku, tuhamasishe zaidi Umoja na Mshikamano wa kitaifa.
Na ataileta. Ninakuhakikishia Katiba mpya chini ya Utawala wake. Na ndiyo moja ya legacy kubwa atakumbukwa nayo. Legacy ya sasa ni Uhuru na Amani.Mama anaweza kuja kutupatia katiba mpya..
Nani kama mama?Asante mama
Mama ake bibi yaaniNani kama mama?
Bado haiwezekani..mwendazake alivuruga Mambo sanawale wapenzi wa Twitter ingieni uwanjani, mjimwage sasa, ila punguzeni midomo , isifungwe tenaView attachment 1767301
Kwani mwendazake anasemaje?Habari, kama mtakumbuka wakati wa uchanguzi mkuu wa mwaka uliopita kulipelekea kufungwa kwa mitandao ya kijamii na njia pekee ya kuifikia ilikupaswa uwe unatumia virtual private network (VPN) - a technology for protect private network over public network such as internet. Mara baada ya uchaguzi mkuu baadhi ya mitandao ilianza kufikiwa bila kutumia VPN except mtandao wa KIHANAHARAKATI wa Twitter. Ila leo imekuwa ni jambo la furaha sana kwa Twitter Republican kuweza kutuumia jukwaa lao hilo "makini" bila VPN. Nadhani uhuru wa kutoa maoni na kujieleza unaanza kurejea taratibu baada ya kupita katika tanuri la moto wakati wa Mwendazake. Wasaalam
Kigogo na wanaharakati wengine ndio wanaoogopwa kule.Hivi twitter kuna watu inawaogopesha sana eti?