Twitter: Kenya Vs Tz (Battle)

Twitter: Kenya Vs Tz (Battle)

Kuwa incorporated in Kenya haimaanisha kuwa za wakenya.kwahyo kwakuwa fast jet bwana headquaters east africa ziko hapa unataka tuseme fast jet Ni kampuni ya watanzania,!?hatuna akili ndogo kama zenu, kampun za watanzania ntakutajia maybe IPP ama SSB lakin hatma sikumoja huwezi Kumkuta mtanzania akijisifia na makampuni kama acacia plc ama vodacom PLC,they are public companies na watanzania wanashare zao uko ndani,major share holders Ni hao wazungu na wa Asia ambo uko kwenu Kenya mnawalamba miguu na kuwatawaza!!
Afu wakenya mnatakuwa kujua kitu makampuni mengi hayalengi soko la Kenya kama makampuni yenu yanavyolega soko letu...we invest in other nations you can google that!!
So according to you KQ si ya Kenya?
 
Mnaown 30% ya shares bado mnaiona yakwenu!?
Hiyo ni government. Klm yenye mnalia also owns about 30%. The rest is by ordinary Kenyans pumbavu [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
I got shares with vodocom too,should I go in south Africa and Bragg that vodacom is mine!??shenzi kabisa,you mentioned about making money!!naweza nisifanye kazi na nikakulisha kuanzia kwako,bibi yako watoto mpka nyanya wako for the next 20 years..we Ni kula na kwenda msalani tu!!
Please Jaslaws naomba unilishe kwa mwaka mmoja tu tafadhali!..
 
Kuwa incorporated in Kenya haimaanisha kuwa za wakenya.kwahyo kwakuwa fast jet bwana headquaters east africa ziko hapa unataka tuseme fast jet Ni kampuni ya watanzania,!?hatuna akili ndogo kama zenu, kampun za watanzania ntakutajia maybe IPP ama SSB lakin hatma sikumoja huwezi Kumkuta mtanzania akijisifia na makampuni kama acacia plc ama vodacom PLC,they are public companies na watanzania wanashare zao uko ndani,major share holders Ni hao wazungu na wa Asia ambo uko kwenu Kenya mnawalamba miguu na kuwatawaza!!
Afu wakenya mnatakuwa kujua kitu makampuni mengi hayalengi soko la Kenya kama makampuni yenu yanavyolega soko letu...we invest in other nations you can google that!!
Izo zote za Kenya period!!! Kajinyonge uko see
 
This is hw tz celebrities speak English
DAkruGYXgAA-NBZ.jpg

japo hamudu kuzungumza kingereza kwa ufasaha,lakini mamilioni ya wakenya hawaachi kumu-admire

diamond ni zaidi ya uhuru kunya-ta.

nina hakika diamond akigombea ugavana huko kunya,anapita kiulaini bila pingamizi.
[emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji116] [emoji116] [emoji116]
2646bd2175e650a98b19164099e0feb0.jpg
1550c90dcda321dff2b3bc90c0470e0c.jpg
197270b8fdf77511ba9d5475e2fbd65a.jpg
fc39f816e25f525368910bf2c205a6f1.jpg
 
Huku Kuna m bet hiyo sport pesa imeingia juzi tu bado haina wateja wengi labda waendelee kujitangaza
 
Mnabishana na watu wanapigwa na wake zao sio upuuzi huo..km mwanaume anapigwa na mkewe mi siwezi bishana nae
 
Jameni Watanzana mbaki huku huku JF ambapo tumezoea kuvumilia ulimbukeni wenu, aisei kuwabeep Wakenya kule Twitter ni kujitakia makuu.
 
Hahahaha..kampuni ya TZ kua nchi nyingine. Uzinivunje mbavu. Pesa iwe imetoa wapi? Uongozi wa kijinga hata viongozi wanaweza jua kufanya regional or international expansion [emoji23] [emoji23] [emoji23]


Ndio maana hata expatriates wengi Tanzania ni Wakenya. Mnafunzwa maana ya kufanya kazi. Uzembe na ujinga tutawatoa na lazima
Pesa inatoka wapi eti,
Meanwhile your companies are making profits in this rich market for your economy, (unajitekenya na kucheka Mwenyewe)
I thought you must be thankful for Tz, your real bosses.
 
Pesa inatoka wapi eti,
Meanwhile your companies are making profits in this rich market for your economy, (unajitekenya na kucheka Mwenyewe)
I thought you must be thankful for Tz, your real bosses.
They are improving your economy(paying taxes) and employing your citizens so at the end you guys benefit the profits go to the owners
 
Wacha ujinga. KCB majority ownership is by Kenyan government, same with Uchumi. Sportpesa is majorly owned by Kenyans. Kina Paul Wanderi. Largest investment company in EA, Centum is majorly owned by Chris Kirubi a Kenyan. Nakumatt is owned by Harun Mwau and the Kenyan Indians. Equity is majorly owned by kina James Mwangi, Peter Munga who are Kenyans. Nic bank is owned by the Ndegwas who are Kenyans. We can go on forever. Uwache ujinga na wivu kama tunawamiliki
....and what about you??
 
nyie wa kenya msipo jifananisha na wa Tanzania hamjiskii kabisa itabidi muolewe tu
 
Back
Top Bottom