Kuwa incorporated in Kenya haimaanisha kuwa za wakenya.kwahyo kwakuwa fast jet bwana headquaters east africa ziko hapa unataka tuseme fast jet Ni kampuni ya watanzania,!?hatuna akili ndogo kama zenu, kampun za watanzania ntakutajia maybe IPP ama SSB lakin hatma sikumoja huwezi Kumkuta mtanzania akijisifia na makampuni kama acacia plc ama vodacom PLC,they are public companies na watanzania wanashare zao uko ndani,major share holders Ni hao wazungu na wa Asia ambo uko kwenu Kenya mnawalamba miguu na kuwatawaza!!
Afu wakenya mnatakuwa kujua kitu makampuni mengi hayalengi soko la Kenya kama makampuni yenu yanavyolega soko letu...we invest in other nations you can google that!!