Twitter: Kenya Vs Tz (Battle)

Twitter: Kenya Vs Tz (Battle)

Jameni Watanzana mbaki huku huku JF ambapo tumezoea kuvumilia ulimbukeni wenu, aisei kuwabeep Wakenya kule Twitter ni kujitakia makuu.
[emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116]
wakenya ni watu wa kuwaonea huruma.tofauti zao za kikabila zimepelekea kutokuwa na social network ya kikenya inayowaleta pamoja kama ilivyo jf kwa watanzania.

matokeo yake wameigeuza Twitter kuwa ni uwanja wao pekee wa kutoa stress zao kwa serikali na kushambulia maadui zao kwa kuwarushia maneno yasiyo na madhara yoyote ya kimwili.

hata vita dhidi ya alshabab,wakati alshabab inaua wakenya physically, wao walichagua njia ya kushambulia kwa maneno kupitia Twitter.pathetic.[emoji23] [emoji23]

hata tofauti zao za kikabila,mara nyingi hurushiana vijembe na vitisho kupitia Twitter.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
18dee978de1a2744ae05777dcbbb97b7.jpg
2f87e82ceeb2f51ef392285efbf25e93.jpg


ila jf ndio kiboko yao.ndio maana wengi wanaogopa kujiunga na jf.maana wanajua huku tunajadiliana kwa fact and evidence sio blabla au comedy kama Twitter.

hawa mnaowaona tunajidiliana nao hapa kwa ustaarabu, tulifanya kazi kubwa sana ya kuwabadilisha.wengi wao walikuwa kama vichaa vile[emoji23] [emoji23]
 
This is so unfair, unadhani kina albino wangap wanasoma hii post yako?
Mimi ninawakashifu Wadangayika kwa kuonyesha maovu yao zidi ya binadamu

Si mko hapa mnakashifu our soldiers who have lost lives in the fight against terrorists?
 
Alaf bahati mbaya sana Leo yapata miezi takriban 4 njaa inatesa nchi ya kenya na mpaka sasa hvi hakuna dalili njema ya kuwepo na afuweni......
Vyakula havipatikani, mfumuko wa bei umepanda maradufu, kenya leads in unemployment rate in the world, kenya have a big gap btn rich and poor na hio ni kitu kibaya kwenye economy.......
So nilidhani kenya mkae kutafuta suluhu na kwakuwapa taarifa tu Tanzania sio ya kuchezea
Wacha ujinga. Bei ya unga iliokua inaleta tashwishi imeshushwa kutoka zaidi ya Kshs 160 to Kshs 90.

Bei ya maziwa imerudi Kshs 50-60.
 
Waafrica katika ubora wao maandazi anachekelea kitumbua. Wote mambumbu tu kazi kujisifia wanajua kuongea kiingereza really? 21st century bado unajidai na kiingereza? Huu ni utumwa wa fikra sasa sisi watu wengine tunachapa lugha mpaka tano tutasemaje??
WaKenya wote wanachapa lugha zaidi ya moja. Kuna maana Wadangayika walio na hela huleta watoto wao kusomea vyuo vya Kenya na si katika nchi lenu duni
 
Information gani kwa mfano... Acha ujinga budda[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38]
Information kama ni wapi tunaweza wekeza. A lot of Kenyans are also leading your companies hapa Tanzania. Lazima tujue what is going on with the consumers
 
I realized that Tanzanian we have something positive compare to Kenyans that's why they are too busy to compare themselves with Tanzanians
Ni Mtanzania mjinga aliyeenda kuanza Vita akifikiri Twitter ni JF [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Pesa inatoka wapi eti,
Meanwhile your companies are making profits in this rich market for your economy, (unajitekenya na kucheka Mwenyewe)
I thought you must be thankful for Tz, your real bosses.
Twauzia bidhaa zetu wajinga kama nyinyi na pesa tunarudisha na kuwekeza nyumbani. Kwa mfano, nafanya consultancy for some of your companies but bank account yangu na pesa zangu mimi huwekeza nyumbani
 
Kwa nini wa kenya msibishane na wa uganda au Ethiopia
Kwa sababu Uganda na Ethiopia si wachokozi kama citizens was Tanzania waliodanganyika kutoka kwa Mzee Pombe hadi wanafikiri wanaweza anzisha Vita na sisi..lol
 
Pamoja na kiingereza chenu Wakenya mko nyuma sana. Wanaume wa Kenya wameshindwa kuwazalisha wanawake zao mpaka wanaomba watz tuje. In Kenya there are no real men. Anyway Mmeshindwa kuzalisha mahindi mnalialia hapa. Tunasubiri mpigane tena kwenye uchaguzi tuje kuwasaidia. Ila kwa alshabab acha tu wawazalishe hatuwasaidii.
 
Sikuzote ukiachana na Demu anaekupenda bado jiandae lazima matusi yakuhusu...Kenyans Evy Tanzania and that's what kills them inside,you guys Tanzania is taking you by surprise...for the last 10 ten years haya mambo ya matusi na kujilinganisha kati ya Tanzania na Kenya hayakuwepo simply because we had nothing to show you...kwa sasa we are on your neck bitches..!!the only thing Kenyans walikua wanatushinda Ni hizo fly overs sasa kaeni mkao wa kula..just a piece of advice for you Kenyans when you go for your election plz elect wisely,Tanzania is taking over..chagueni raisi atakae weza kuendana na kasi otherwise for the next two years mtaanza kuzamia huku for better pastures!!
You cant envy someone less than you,inshort you acknowledge us being better than you
 
Wacha ujinga. Bei ya unga iliokua inaleta tashwishi imeshushwa kutoka zaidi ya Kshs 160 to Kshs 90.

Bei ya maziwa imerudi Kshs 50-60.
mm nazungumzia njaa janga la taifa ambalo linawaua kila leo 😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀
 
Sio "yako pia", ni lako pia. Kumbuka "yako" ni uwingi na lako ni umoja. Ameuliza swali moja na si zaidi ya hapo, kwa hiyo ulitakiwa useme lako!
Nadhani umeona sasa kuwa kila mmoja ana lugha yake. Kama wewe unavyotamba kukifahamu vizuri Kiingereza ndivyo nami nilivyokuonesha ufahamu wangu mzuri wa lugha ya Kiswahili. Ningewaona wa maana sana kujitamba kujua Kiingereza kama Watanzania wasingekuwa na lugha wanayoifahamu!
You what I don't give a f**k
 
Back
Top Bottom