Twitter: Kenya Vs Tz (Battle)

Jameni Watanzana mbaki huku huku JF ambapo tumezoea kuvumilia ulimbukeni wenu, aisei kuwabeep Wakenya kule Twitter ni kujitakia makuu.
[emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116]
 
This is so unfair, unadhani kina albino wangap wanasoma hii post yako?
Mimi ninawakashifu Wadangayika kwa kuonyesha maovu yao zidi ya binadamu

Si mko hapa mnakashifu our soldiers who have lost lives in the fight against terrorists?
 
Wacha ujinga. Bei ya unga iliokua inaleta tashwishi imeshushwa kutoka zaidi ya Kshs 160 to Kshs 90.

Bei ya maziwa imerudi Kshs 50-60.
 
WaKenya wote wanachapa lugha zaidi ya moja. Kuna maana Wadangayika walio na hela huleta watoto wao kusomea vyuo vya Kenya na si katika nchi lenu duni
 
Information gani kwa mfano... Acha ujinga budda[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38]
Information kama ni wapi tunaweza wekeza. A lot of Kenyans are also leading your companies hapa Tanzania. Lazima tujue what is going on with the consumers
 
I realized that Tanzanian we have something positive compare to Kenyans that's why they are too busy to compare themselves with Tanzanians
Ni Mtanzania mjinga aliyeenda kuanza Vita akifikiri Twitter ni JF [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Pesa inatoka wapi eti,
Meanwhile your companies are making profits in this rich market for your economy, (unajitekenya na kucheka Mwenyewe)
I thought you must be thankful for Tz, your real bosses.
Twauzia bidhaa zetu wajinga kama nyinyi na pesa tunarudisha na kuwekeza nyumbani. Kwa mfano, nafanya consultancy for some of your companies but bank account yangu na pesa zangu mimi huwekeza nyumbani
 
Kwa nini wa kenya msibishane na wa uganda au Ethiopia
Kwa sababu Uganda na Ethiopia si wachokozi kama citizens was Tanzania waliodanganyika kutoka kwa Mzee Pombe hadi wanafikiri wanaweza anzisha Vita na sisi..lol
 
Pamoja na kiingereza chenu Wakenya mko nyuma sana. Wanaume wa Kenya wameshindwa kuwazalisha wanawake zao mpaka wanaomba watz tuje. In Kenya there are no real men. Anyway Mmeshindwa kuzalisha mahindi mnalialia hapa. Tunasubiri mpigane tena kwenye uchaguzi tuje kuwasaidia. Ila kwa alshabab acha tu wawazalishe hatuwasaidii.
 
You cant envy someone less than you,inshort you acknowledge us being better than you
 
Wacha ujinga. Bei ya unga iliokua inaleta tashwishi imeshushwa kutoka zaidi ya Kshs 160 to Kshs 90.

Bei ya maziwa imerudi Kshs 50-60.
mm nazungumzia njaa janga la taifa ambalo linawaua kila leo πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
You what I don't give a f**k
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…