Malawi Zambia Ghana marais walifia ikulu mara baada ya sala na laana za wananchi kuwakamata vilivyoMungu lazima atafanya jambo wiki hii Tanzania. Kwa Jina lake Yesu Kristo naamini hili.
Hii mitandao lazima idhibitiwe , nyie mnalalamika sababu mnataka kuitumia kuleta taharuki nchini, serikali ya tanzania ina wajibu wa kulinda watu na mali na kuzuia viashiria vyote vile vya uvunjivu wa amani.
lolote likitokea hapa amani ikatoweka, hakuna, biashara wa sheria za kimataifa, kila kitu kitasimama, hacheni ushabiki wa mitandaoni watakaoumia ni ndugu zetu.
Mitano haitafika kwani endapo atashinda kwa njia haramu za kishetani lazima mungu atawaadhibu CCM kwa njia moja au nyingineAma tcra wameweza kuzima mitandao, basi tarajieni akipita magufuli, ndani ya miaka mitano kila jambo ambalo haramu ambalo CCM wanaenda kulipitisha, mf kuingeza ukomo wa rais, basi watazima. Ushakuwa utamaduni wao
Sent from my TECNO KD6 using JamiiForums mobile app
Mtukufu magufuli atakuwa ni Rais wa NECCCM Tumeccm na Polisiccm siyo Rais wa kuchaguliwa na wananchiAcha zako wewe.! Taharuki au ukweli wa mambo wenyewe.
Wasimamizi wameombwa watoe form ya kujaza matokeo ikaguliwe wameokatalia.. maanaya hili nini ? Ukiambiwa ulikuwa umejaza matokeo tayari utasema ni uongo ??
Tatizo lenu sisiemu mnaharibu kazi alfu mnatumia kila mbinu kutafuta ushindi. Ni udhaifu wa haki ya juu aliuonyesha kiongozi wenu.!
Twitter haina faida yeyote Tanzania, wala hatuhitaji
Sasa kwa nini msikinukishe kama mlivyoahidi?Mtukufu magufuli atakuwa ni Rais wa NECCCM Tumeccm na Polisiccm siyo Rais wa kuchaguliwa na wananchi
Ili apate baraka za wapiga kura hadi apigiwe na wanachadema?Kuingia ikulu pasipo baraka za wapiga kura ni sawa na mapinduzi ya kijeshi
Inajulikana CCM itashinda.,hii hofu ya nini?Hii mitandao lazima idhibitiwe , nyie mnalalamika sababu mnataka kuitumia kuleta taharuki nchini, serikali ya tanzania ina wajibu wa kulinda watu na mali na kuzuia viashiria vyote vile vya uvunjivu wa amani.
lolote likitokea hapa amani ikatoweka, hakuna, biashara wa sheria za kimataifa, kila kitu kitasimama, hacheni ushabiki wa mitandaoni watakaoumia ni ndugu zetu.
Mungu siyo AmsterdamMungu lazima atafanya jambo wiki hii Tanzania. Kwa Jina lake Yesu Kristo naamini hili.
Dhana ya kipuuzi kweli... 2010?????Kaka watu huwa wanahack system za NEC kipindi hiki cha uchaguzi. 2015 watu waliingilia mtandao wa NEC kwahiyo kujihadhari ni vizuri
CCM wengi hawatampigia kura mtukufu magufuli hususani wafanyabiashara kwani wamenyanyasika sana ndani ya miaka mitanoIli apate baraka za wapiga kura hadi apigiwe na wanachadema?
Ile nileeteeni Gwajimaa!!!...Sasa imekuwa Nileteeni Gwajima niende nae Chato bhandugu.
Stupid is what stupid does yalitegemewa haya
Mbona unalialia Chief?Huwa anajinadi kaleta maendeleo inashangaza ni kwa nini anaogopa hivyo? Dawa yake ni kumuacha aingie ikulu kwa njia haramu za kishetani kisha watanzania wamlilie mungu ataona mziki wake
Anakutosha wewe mnufaika wa uonevu unyanyasaji wakeMbona unalialia Chief?
Congratulations in advance President Magufuli
JPM ANATOSHA
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA