Tyson alikuwa anabebwa, overrated

Waweza kuwa sawa, kuna ka story fulani kuhusu "Iron Mike" kudundwa akiwa jela, sijajuwa kama kana ukweli...

 
Hichi kitu,hata Mimi nilikiona,evander aliluwa mtu kumshika iron muda wote,real fighter alikuwa Tyson baba
 
Castr,

Ungejifunza kuwa analytical zaidi kuliko kuweka records ambazo hazijachakatwa vizuri, Tyson msikie tu ukiwa huko huko uliko ila kwa waliokutana nae ulingoni wanatoaga ushuhuda mpaka nyumba za ibada. Ila tunaheshimu uhuru wa kutoa mawazo.
 
Ungejifunza kuwa analytical zaidi kuliko kuweka records ambazo hazijachakatwa vizuri, Tyson msikie tu ukiwa huko huko uliko ila kwa waliokutana nae ulingoni wanatoaga ushuhuda mpaka nyumba za ibada. Ila tunaheshimu uhuru wa kutoa mawazo.
Ushuhuda wa nani na nani?

Onyesha rekodi yoyote unayoona 'haijachakatwa vizuri' na nimeaiandika hapo
 
Jamaa kachambua vizuri,ukiangalia ni kweli kuwa ni nani Tyson alirudiana na alimpiga awali na kushinda kama ilivyo kwa Muhammad Ali? Kasoro pambano lake la mwisho na Larry Homes.
Castr, Hujui unchokiandika juu ya Mike Tyson wewe.
 
Kwa jinsi tu nilivyoona mapambano machache ya Tyson mlima Mjani maarufu kwa sasa.
Na vile alipigwa na ndugu zetu wale miaka hii ya Tisini mwishoni na 2000s😁😁😁

Hakuna pambano lolote la ndondi liliniamsha usiku na kukesha zaidi ya huyo Bwana..

Vyovyote tutakavyoonesha chuki na comments za ajabu ajabu juu yake...
Kijana wa watu alijitahidi sana na alibebeka sana pale alipobebwa...sisi tuendelee na chambuzi zetu za kuhusu past events kama zinafaida zizidi kutuongezea mabondia hapa BongoπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€

Mtoa mada toa na wewe kijana wako awe overrated abebwe na media kama unaoa rahisi kihivyo...
Tupunguze chuki waafrika ndio maana hatupigi hatua....
Wazungu wakiamua kubebana mnakuja tena kulia lia humu ...oooh..eee kwanini wao tu.
Walimbeba Tyson ona sasa mambo yetu..eee oooh....

Genk wamembeba Samata duuh sikia comments zetu na roho pana tulizo nazo juu yake.

Uzeeni msije kulia lia mkisikia watoto wenu wakisemwa vibaya maana chimbuko la chuki na wivu usio na maana.

Ndio maana watabaki kina Ronadinho,Zidane (Alijiamulia akimbile France huko)...Ronaldo na Messi na woote weupe kwa vijiroho kama hivyo.


Kula maisha bro..kuna watu huku wanajadili ulivyobebwa.Wanaumia kweli mioyo yao..wanatamani hata turudi nyuma uporwe mafanikio yako.

Ndio maana tunakufa mapema ngozi nyeusi mambo kama hayo.
 
Mkuu, sijasema naandika kitabu. Nina kitabu nilichonunua.
Baada ya Cassius Clay, ndiyo Tyson. Na kabla ya Clay walikuwepo akina Sunny Liston na wengine.
Unamfahamu Jack Johnson? Enzi zao walikuwa wanapigana mpaka raundi 45 nje (bila kiyoyozi) kwenye nyuzi joto 38C.
 
Hii mipasho unayoandika hapa unadhani ndiyo itapindua ukweli?
 
Wakina Holmes ni kizazi cha Ali, kwanini Tyson hakuwahi kumface Ali? Holmes ni kizazi cha Foreman kwanini Tyson hakumface Foreman?

Muhammad Ali mwenyewe aliwahi kusema ,"I'm scared of him" kwenye Arsenio show (1990).
 
Hii mipasho unayoandika hapa unadhani ndiyo itapindua ukweli?
Soma vizuri ulichoandika..ni mpasho wa kukwepa kwepa uhalisia wa Tyson..uliobebwa na ukweli ambao wewe unahisi ni ukweli kwa mtazamo wako.Ndio maana umehisi nilichoandika ni mipasho.
 
Unamfahamu Jack Johnson? Enzi zao walikuwa wanapigana mpaka raundi 45 nje (bila kiyoyozi) kwenye nyuzi joto 38C.
Ulivyoandika juu ya Jack Johnson nikadhani unajua boxing angalau historia.

Ali alipigana na Liston.

Tuanze na Liston.

Unajua ni mabondia wangapi wamemkwepa huyu jamaa? Ali akiwa anatokea kifungoni anapambana arudishe heshima anakuta mkanda upo kwa Liston na hakuna heavyweight aliyetaka kumface Liston, Ali akaufuata mkanda kwa Liston akauchukua.

Tuje kwa Tyson.

Ni mabondia wangapi wamemkwepa Tyson? Ni lini umewahi sikia eti mtu kaogopa kuufuata mkanda kwa Tyson?

So mtu aliyemface Liston, mara mbili na akampiga mara zote kwa KO, akisema anamuogopa Tyson, utachukulia serious?

Na wewe uwe serious siku nyingine.
 
Soma vizuri ulichoandika..ni mpasho wa kukwepa kwepa uhalisia wa Tyson..uliobebwa na ukweli ambao wewe unahisi ni ukweli kwa mtazamo wako.Ndio maana umehisi nilichoandika ni mipasho.
Pinga nilichoandika.

Sema kua Berbick hakutoka kupigana na Pink, na hakua na umri huo. Taja mabondia niliosema ni journeymen na prove kua sio journeymen.

Taja bondia aliyewahi mpiga Tyson kisha walivyorudiana Tyson akalipa kisasi.
 
Sasa unabishana na Ali mwenyewe? kumbuka hayo aliyasema wakati wa "prime" ya Tyson wakati rekodi yake ilikuwa safi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…