U.A.E waliamua kuachana na mrengo wa itikadi kali na siasa za fujo. Leo ni nchi ya kuigwa. Wenzao wamebaki kuwa wanaharakati wa mambo yasiyoeleweka

U.A.E waliamua kuachana na mrengo wa itikadi kali na siasa za fujo. Leo ni nchi ya kuigwa. Wenzao wamebaki kuwa wanaharakati wa mambo yasiyoeleweka

Unachekesha sana naona bado mwanafunzi unakariri ,tafuta sbabu halafu uje tena . Afya ya kelele je vip kuhusu magari na pikipiki ?

Maswali ambayo mkiwa msikitini mnapaswa kujiuliza.
1. What's noise pollution
2. Sources of noise pollution
3. Effects of noise pollution
4. Loudspeaker is one of the Sources as it produces noise intensity of 132 decibel while the human ears 👂 can with stand the noise intensity of 82 decibels.
Zingatieni huu utafiti wa kisayansi, achaneni na ubishi mnaofundishwa na kitabu cha mudi.
 
Sina hata haja ya kwenda Deep ila ni jina La Kipakistan sio mwarabu na nina uhakika hana uraia wa Dubai/UAE.
Kwa hiyo kule uarabuni kuna malaika tu. Hakuna wenye dhambi?
Pale mtakapo tenganisha uislam na uarabu, ndipo pale ambapo akili zenu zitakuwa zimekaa sawa. Otherwise mtaendelea kuwa watumwa wa waarabu.
 
Nilikuwa nishaondoka ila nimalizane na wewe na uzi huu kwa ujumla kwa hivi... Kwanza usijifanye unatukana dini ukajifanya kama mtu usiye na dini kumbe ni mkristo au una dini unaifuata, Jf kuna wakristo mnausema Uislam vibaya mkijificha katika kauli ya kuwa nyinyi hamna dini au mnataka "dini za mababu" kumbe nyinyi ni wakristo wenye mashaka na imani zenu lakini badala ya kuwa humble kuitafuta Haki na kuukubali Uislam kiburi kinawajaa na mnataka kuupiga vita Uislam na kuwashawishi Waislam wawe kama nyinyi. Watu kama wewe mnajificha katika kuzipinga "dini zote" lakini huwa mnaulenga Uislam tu kwa sababu ndio Dini ya Kweli. Ni kiburi kilichochanganyika na husda , kwa sababu hakuna ukweli katika dini zenu na mnatangatanga.

Uislam ndio Dini ya kweli. Na sisi tunamshukuru Allah kwa neema ya Uislam.



Uislam ndio Haqq. Ondoa kiburi hiko na husda. Uislam ndio ukweli. Rudi katika Uislam. Kuipiga vita Dini hii haitakusaidia. Usitafute visingizio wala pa kukimbia kimbia sijui ugaidi sijui cult. Hii ndio Dini ya haqq. Embrace Islam before it is too late



Uislam ni rehma kwa walimwengu. Sio maangamivu. Ndio maana hata ukisoma historia utaona kuwa ni katika Uislam ndio watu walipata amani ya kweli. Waislam walikuwa wanafika sehemu watu wa hiyo sehemu wanaungana na Waislam ili kukimbia dhulma za wenzao/ndugu zao. Hata katika vita kuna matukio mengi ya watu kusilimu kwa sababu tu ya wema wa Waislam.

Hao mayahudi wenyewe ambao wewe unawashabikia walikuwa wanapata amani zaidi wakiwa chini ya Waislam. Wakati ambapo nyinyi "ndugu" zao mlikuwa mnawaua. Wasomi wao wenyewe mayahudi wanakwambia kuwa Uislam ndio umewaokoa mayahudi

Msome Prof. David J Wasserstein akielezea How Islam Saved the Jews


Ni katika Uislam ndio utakuta viumbe vinafanyiwa uadilifu.

Na kumalizia, Jihaad ni katika 'Ibadah kubwa mno katika Uislam. Na ina taratibu zake na sharti zake, aina zake...wala sio kwa ufahamu potofu wa makhawaarij wala kwa propaganda za makafiri.


Mwisho soma hiyo document chini uone kuwa Uislam haukusambazwa kwa upanga.

Allah akuongoze

Umeandika mambo meengi, lkn kuna mambo ya kutafakari:
1. Nani aliye endorse kwamba uislam ni dini ya kweli?
2. Kwa nini katika ibada za kiislam, lugha ya kiarabu ndiyo inayotamalaki?
3. Dini ya kiislam haijatenganishwa na tamaduni, mila na desturi za kiarabu.
4. Nchi za kiislam wanachinjana mithili ya nchi makafiri.
 
Kwa hiyo kule uarabuni kuna malaika tu. Hakuna wenye dhambi?
Pale mtakapo tenganisha uislam na uarabu, ndipo pale ambapo akili zenu zitakuwa zimekaa sawa. Otherwise mtaendelea kuwa watumwa wa waarabu.
Hakuna Mtu alisema kuna Malaika hakuna mtu alisema hawafanyi dhambi, topic here inasema Lebanon na Palestina wanafuata Dini ndio maana hawaendelei na Uae wanaendelea sababu wameachana na dini.

Kitu ambacho sio sahihi sababu Lebanon na Palestina ndio kuna waarabu wengi wasio fuata Dini ama ambao sio waisilamu, nikatoa mifano unapozungumzia Wasanii wa kiarabu ama nyimbo Zipo lebanon, Porn stars wa kiarabu wapo lebanon, Club kubwa na nightlife ipo lebanon tofauti na Uae ama Nchi za Gulf kwa ujumla ambazo raia wake wameshika dini.

So mleta mada katupiga kamba na wewe kama kweli umefika huko unajua fika UAE walivyo Strict kosa dogo tu wanaku deport kwenu.
 
Ila nyie jamaa ni washamba sana kama hujui Ukanda wa Palestina, Lebanon, Jordan na Syria unaitwa Levant Arabs na ndio waarabu wengi ambao wana dini tofauti na Uisilamu wapo wengi, Hata eneo La Egpty la Wakristo linapakana na Ukanda Huo.

Unapoongelea Waarabu wanamuziki Kina Nancy Ajram, Elisa, Feirouz na Malegend Wengine ni Ukanda Huo, Mavazi yao hawavai Kanzu, Hawana Character Nyingi zile za waarabu Asili.

Leo hii ukishushwa Beirut Hapo Lebanon unaweza uka sema Upo Ulaya Watu wanayo behave.

At Same Time Nchi za Kiarabu Asili KAMA Saudia, UAE, Oman, Kuwait, Qatar etc bado watu wanashikilia Sana Dini na mpaka leo japo wana Hela wapo kiasili, Utawakuta Misikitini, kama Kuna Club basi haipo hadharani, ukifanya Kosa dogo tu hapo Dubai wana ku deport kwenu sababu hawataki tabia chafu za watu wengine, ila Nchi kama Palestina Ama Lebanon hukuti hayo mambo.

Lebanon kuna mpaka Porn stars Kina Mia Khalifa huwezi kuta huo Ujinga UAE ama Saudia.

So kusema kwamba Eti Dubai ama Saudi wameendelea sababu wameacha Dini na Kina Palestina hawaja endelea sababu wanafuata Dini ni hoja ya kipuuzi mno sababu Vice versa is true.
Umeandika as if bado anaishi hapo...

huwa mnafaidika nini mnapofanya upotoshaji?


View: https://www.reddit.com/r/lebanon/comments/dn3oqn/mia_khalifa_i_received_thousands_of_threats_but_i/?rdt=45563
 
Chadema waachane na maswala ya uwanaharakati wanafika mbali.
 
Back
Top Bottom