U - 'nice guy' umeniponza

U - 'nice guy' umeniponza

Wanawake wengi wanapenda bad boys. Ila wakishaumizwa na mapenzi huwa wanataka nice guys
Huyo akishaliwa, hakika lazima akutafute.
Usisahau kutupa mrejesho
Na kama akimrudia amle fasta na ampige chini asifanye uzembe [emoji23]
 
Shida inaweza kutokea km atamla. Siku zote bad boys huwa wanakula na kuacha.
Jamaa anaweza kupiga mimba halafu nice guy naye akachomeka. Mimba anapewa nice guy
Cha muhimu, ni kukaa naye mbali. Asiweke mazoea kwa huyo mwanamke. Afanye mambo yake
Na kama akimrudia amle fasta na ampige chini asifanye uzembe [emoji23]
 
Kua Kwanza . Ukiwa smart na ukamake maisha utakua unachagua Nani wa kumla leo. 25 yrs ....u ar too young . Usiige maisha ya kujikatia tamaa ya mjini.
Usikute jamaa hadi analalamika hako kabinti kameumbika ameshaona pote Ila kamezidi uzuri wenzie, ukipiga boko mpira hapo lazma ujutie mzee [emoji23]
 
Sio uasherati mkuu nataka tu niondokane na huu ulokole niwe bandidu

Issue sio kuondokana na ubandidu, issue ni kutambua type zako za madem ni zipi na style zako za kupita nao ni zipi.
Usirembe kama manzi ka fit
 
Wadada hupenda bad boys pia.. afu usinitangaze tena humu😂

And punguza majivuno.. punguza perfectionism.. punguza kujiona wewe bora zaidi kuliko wengine.. maybe it was the thing that cost you.

Anyway inamaana iyo 'pisi' haijui kuset muda mpaka akuombe au alikua anajilengesha?
Na ulijuaje kuwa ni text ya uyo 'bad boy'?
 
Psychology 101.

It's called Selection Bias

A man is more attractive to another woman, if another woman has already selected that man
A single or un married Men, have no such benefit of having been pre-selected

Ni flaw kwenye thinking algorithm ya wanawake
Huyo dem kamchagua huyo bad boy kwa sababu ya historia ya madem wengi alio nao

So huyo dem, Hana haja ya kumchunguza au ku apply reasons kwanini awe nae

Kam pre-select
Sio kwa sababu wewe ni nice guy, au huvuti bangi
Ni bug, tu kwenye reasoning ya wanawake

Huyo Muhuni kutoka tandale, atabaki kuwa Mshamba na loser tu, thus why hana uwezo wa kudumu na Mwanamke mmoja

Cause hawaoni sababu ya Kuwa nae
 
Wadada hupenda bad boys pia.. afu usinitangaze tena humu[emoji23]

And punguza majivuno.. punguza perfectionism.. punguza kujiona wewe bora zaidi kuliko wengine.. maybe it was the thing that cost you.

Anyway inamaana iyo 'pisi' haijui kuset muda mpaka akuombe au alikua anajilengesha?
Na ulijuaje kuwa ni text ya uyo 'bad boy'?
Wanawake huwa hamjijui
Mna flaw nyingi kwenye reasoning zenu

Huyo sio bad boy, huyo mvuta bangi, loser

Mwezenu kamchagua kwasababu ya selection bias, na hawato dumu week

Cause atagundua, choice ya kijinga aliyofanya
 
Yani hapa naongea kwa jazba sana iko hv, hapa nilipopanga somewhere in Kijitonyama kuna wanawake wengi sana ila asilimia kubwa ni wake za watu sema ndio hivo pia uwalu walu mwingi ukiwa mjanja unacharaza wote.

Sasa mimi kitabia ni nice guy sana yani ni mtu nisiye na mambo mengi huwa nipo bize tu na shughuli zangu, madem wengi wamekuwa wakijilenga sema huwa atufiki mbali tunaachana nadhani kutokana na tabia zangu za kuwa cool sana.

Sasa juzi kati kuna mpangaji mwenzangu alimleta mdogo wake mtoto mmoja mzuri sana kutoka kibaha huko ni mdada mkubwa tu sema ni mzr balaa basi yule dem akaanza kuniletea mazoea kibao yani dem alikuwa kanielewa mbaya nikaona bac hapa tayari nishaokota dodo chini ya mnazi bac mimi na unice guy wangu nikawa najipanga namna ya kuanza kupeleka mashambulizi nadhani mnajua introvert huwa atukurupuki.

Sasa tukiachana na hilo pia kuna mwamba mmoja vyumba vyetu vipo jirani sana mshikaji ni bad boy na muonekano wake wa kishamba tu yani ni mtu ambae namzidi kila kitu kuanzia muonekano uvaaji mpaka maisha kwahiyo alikuwa anipi presha hata kidogo ni mtu wa tandale huko sema tu kaja kuishi sehem iliyoostaarabika, bac huwa anakuja pale home na wahuni wanakula bangi za kutosha na pombe ngumu k-vant na konyagi kwa sana bac jamaa huwa analeta madem pale gheto kwa siku anabadilisha hata watatu sometime anaingiza hata wawili kwa mpigo sometime wanakuwa washkaji watatu na madem watatu bac kinachoendelea humo ndani balaa harufu ya bangi na madem wanapigwa shipa mpaka nje huku watu wanasikia.

Basi bhana kwa tabia zile za mshkaji ndio nikazidi kuwa na amani kwamba jamaa kwa anachokifanya bac awezi kumchukua dem yoyote hapa ukizingatia mimi ni mstaarabu sana yani hata kuingiza dem pale gheto sijawahi bac hapo nikaamini kwamba nina nafasi kubwa ya kumnasa huyu dem mpya aisee kumbe nilikuwa najidanganya maana yule dem mazoea ya kaanza kupungua nikajaribu kuyaforce tukawa fresh ila nlivomtokea dem akachomoa halafu akanikataa mazima aisee niliumia sana.

Sasa leo muda wa saa mbili kasoro usiku huu nimetoka kwenye harakati zangu dem akanipa simu yake nimsetie muda sasa wakati naset c ikaingia text ya yule mwamba jirani yangu bad boy mtoto wa tandale anamwambia dem yeye tayari ashafika lodge flani manzese aisee niliingiwa na baridi yani sikuamini macho yangu.

Nikawaza hv huyu dem amekosa nini kwangu mpaka aende kwa muhuni kama huyu yani mimi na usmat wangu kanipiga chini kaenda kumkubalia mvuta bangi muhuni mzee wa kubadilisha madem na huyu dem anajua fika jinsi jamaa alivyo na madem wengi na bado kamkubalia pamoja na uhuni wake mimi mtu smart ambae sina tabia hizo nimepigwa chini aisee yani hapa nilipo nimechoka nimemrudishia cm yake na tayari muda huu yuko njiani kwenda kutinduliwa na muhuni. Nimeumia sana kwakweli sijui sisi nice guy huwa tunashida gani maana huyu nikama dem wa 8 namkosa kizembe kutokana na atitude zangu.

Naombeni msaada nifanyeje niachane na huu u nice guy maana sioni faida zake kwenye kutafuna mbususu zaidi ya hasara tu nikikumbuka yule dem alivyomzr et anaenda kutinduliwa na yule muhuni muda mfupi ujao nazidi kuchanganyikiwa
Ishi maisha yako utampata wa kufanana naye,concentrate na shughuli zako,hao mara nyingi hurudi kukutafuta akili ziki wakaa sasa. Sasa hivi bado akili yake haijakua.
 
Bwahahahaha, kweli GOOD GUYS FINISH LAST. Pole sana braza lakini makosa uliyayafanya mwanzoni kabisa ni kumpa huyo mwanamke unnecessary attention and validation. Women feed on attention and crave for validation same-way a junkie thirsts for heroine. Mara nyingine anaweza kuonesha anakupenda kumbe anatafuta tu mtu wa kumpa Ego-Boost halafu akukatae ili ajione yeye ni wa maana.

Sasa cut-her off na wale usiwe na hasira naye kabisa, kukataliwa ni sehemu ya maisha. Huyo binti lazima atakuwa in her twenties hivi (She's in her prime), sasa tunasema anapitia kitu kinaitwa A Whore Phase. So Man-UP and Grow a Spine. Fanya mambo yako, usimtafute kwenye simu, hata akituma ujumbe usimjibu na hata akitaka urafiki wewe achana naye.

Dunia ina wanawake wengi mno na siyo lazima kila mwanamke awe wako. Inaonesha wewe bado mdogo, sasa tafuta maisha yako na nikuhakikishie wanawake wa aina hii utakutana nao wengi tu huko mbeleni. Just remember, do not give them your free time, resources, attention and validation unless they deserve it.
💯💯
 
achana navidada vinavyo vaamadela vinakulana nawavuta bangi wenzao vinaliwa mtungo ivo sijuikamawee unaweza mtungo wahuniwanaita utumbondizi wahuni wanawala Hadi utumbo
 
Demu akupe simu umsetie Saa kwel?kweli inaingia akilini hiyo wakati saa zinajiseti automatically?

Ok hadithi yako kuna kitu kimoja tu naweza kukujukisha

Wanawake hawapendi wanaume wakimya sijui wapole sijui nn..wanapenda sana wanaume wenye mambo mengi mengi

Yan mwanamme anaepapatikiwa au mwenye madem wengi ni rahisi kumvutia mwanamke kuliko mwanamme asie na hayo mambo. Sijui umenielewa

Ni asilimia kubwa,ila si wote
 
Demu akupe simu umsetie Saa kwel?kweli inaingia akilini hiyo wakati saa zinajiseti automatically?

Ok hadithi yako kuna kitu kimoja tu naweza kukujukisha

Wanawake hawapendi wanaume wakimya sijui wapole sijui nn..wanapenda sana wanaume wenye mambo mengi mengi

Yan mwanamme anaepapatikiwa au mwenye madem wengi ni rahisi kumvutia mwanamke kuliko mwanamme asie na hayo mambo. Sijui umenielewa

Ni asilimia kubwa,ila si wote
Inawezekan huyo demu anatumia kitochi maana mimi ninakisimu cha tochi ukizima ,ukawasha unakuta setting za muda zimebadilika kwahiy unaset upya
 
Aristotle tell me the Truth, why are you cheating on me?

What is the Truth?

Anyway, pole mkuu... kuwa wewe!
 
Wanawake hawapendi aman jumla jumla ukimpa aman ataona atafute wa kumliza kidogo, ukiwa mstaarabu atatafuta mshenzi furani ili apate kashikashi

Sent from my Nokia C1 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom