AliibebaYa idriss si ilitoka tu yenyewe au aliitoa,maana zile alizitoa,nimekumbuka hakubeba ya charles baba kwelii
Yap tena atakudharauHuwezi pata mwanaume real ukarudi kwa ex. Kwanza unakua unafuata nini sasa. Ila ukiwa single hizi one two one two lazima maana utalala na nani sasa
Iliponyokaa kizazi kimelegeaAliibeba
Tamu sana sasa ndo haiwezi fanyika na kila mtu.Dry chama tamu ila wewe watuletee kinga tu jamani
Bi shost amechanja mbuga. Wakiwekwa pamoja wote Boeing inajaaIliponyokaa kizazi kimelegea
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Bi shost amechanja mbuga. Wakiwekwa pamoja wote Boeing inajaa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] sawaaaInategemea.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hapana apiltilize kabisa politics palace
Alitoaga ya mondi nakumbukagaHivi alishatoa na ya Mond? Pole yake. Majuto ni mjukuu
HahaahahahBi shost amechanja mbuga. Wakiwekwa pamoja wote Boeing inajaa
Tamu sana sasa ndo haiwezi fanyika na kila mtu.
Jus like my man I can't even blink to anything!!!Huwezi pata mwanaume real ukarudi kwa ex. Kwanza unakua unafuata nini sasa. Ila ukiwa single hizi one two one two lazima maana utalala na nani sasa
Au kule international au great thinkers aende[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Bi shost amechanja mbuga. Wakiwekwa pamoja wote Boeing inajaa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] aende doctors forum!!!akaelimikeAu kule international au great thinkers aende
Uliona mzungu wa hamo anavyoongea[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Jus like my man I can't even blink to anything!!!
Nimeona kwa mbali anaongea pumba gani!?[emoji23] [emoji23] [emoji23]Uliona mzungu wa hamo anavyoongea[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Halaf amalizie jukwaa la biashara na ujasiliamali kama kumuelekeza imetoshaa akigandana na sisi atakoma mi nawekewa bando,nalishwa,navishwa,na soon naanza kujengewa ajilinganishwe aone[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] aende doctors forum!!!akaelimike
Naomba uangalie utachekajee anaongea kama ana mate mdomoni yamejaa,kizungu kama changu ningekuwa mim ningekataa eti anasema mwarabu ni bodyguardwa hamo jamani hamo anamdanganyaaNimeona kwa mbali anaongea pumba gani!?[emoji23] [emoji23] [emoji23]