Twende kwa hoja wala tusipeane majibu mepesi..., huenda tukafundishana au ukanifundisha jambo ambalo silifahamu... naomba unipe data..., Je zaidi ya movies / fiction Optography ilishatumika wapi na lini ?Haya
Nakubaliana na wewe awali nilikua sijawahi kumsikiliza kabla ila jana nimemsikiliza kwa mara ya kwanza na nikagundua ni mtu smart sanaGet to know Nchimbi first ndio useme haya, hizi ndio siasa zake, ambazo very unfortunate hazipendwi na CCM wengi, kuwa mwana diplomasia sana ni kutaka CCM ishindwe vibaya sababu imechokwa. WanaCCM wanamhitaji kiongozi ambaye atawasaidia kushinda kimfumo, bila kujali ameburuza wapinzani wake kiasi gani, mtu ambaye atawasaidia kutamba kwa mabavu, na kusema ile kauli ya “vijana jeuri ya chama” mtu ambaye atawafanya wazurure na sare zao bila kuzomewa (Jakaya vs Magufuli)
Nchimbi ni aina ya kiongozi ambaye mtashindana majukwaani hasa hasa atawavizia awaibie kura, ndio maana gap la matokeo linakuwa 64/40 etc. yale mambo ya CCM kushinda kwa 90% hawa wazee huwa hawaintertain.
kuna watu walidhani atapewa u-KM toka 2015s kwa bahati mbaya “watu wale” walikuja kugundua hawataendana na siasa zake ndio maana akatupwa ubalozini. (Of course alipewa ubalozi kuwekwa mbali na siasa za ndani) Ndiooo akapatikana yule mburundi mwingine kutoka CUF.
Kama kuna kiongozi yeyote wa upinzani atapewa kesi ni kwasababu tu kuna watu ni sikio la kufa, iła amini hivyo kuwa kuna viongozi wengi tu hawapendi hayo mambo.
Ngoja uchunguzi ukamilike kwanza!Twende kwa hoja wala tusipeane majibu mepesi..., huenda tukafundishana au ukanifundisha jambo ambalo silifahamu... naomba unipe data..., Je zaidi ya movies / fiction Optography ilishatumika wapi na lini ?
Huyo ni kama sigara nyota, kokote unawasha tuYaani wewe mjinga unajua kubadilika kulingana na upepo unapoelekea
Hawa vibwengo wanatupiwa posho zao kila Ijumaa.We mwehu leo umepata wapi bando?
Dr.Nchimbi ndie boss wa Mbowe.Hili liwe funzo zuri Kwa Wanasiasa wadogo Wadogo akina Yeriko, Maranja, Mdude, Choice variable nk
Katibu Mkuu wa CCM Dr Nchimbi amesema Mbowe alimpigia Simu mara 5 Ili kumjulisha habari za mauwaji ya Shujaa Ally Mohamed Kibao lakini yeye Nchimbi hakupokea kwani alishapata taarifa na alikuwa amevurugwa kweli kweli
Dr Nchimbi amesema alimjibu Mh Mbowe Kwa meseji na wakawa wameelewana.
Huu ndio Ukomavu wa kisiasa siyo kila jambo ni Siasa uchwara na kutukanana tu.
Soma Pia: Dkt Nchimbi: CCM imekasirishwa sana na mauwaji ya Ali Kibao na serikali iharakishe haraka uchunguzi na matukio yakomeshwe
Mungu wa mbinguni awabariki sana Dr Nchimbi na Freeman Mbowe
Ahsanteni sana 🌹
Mkuu siwezi kujadili jambo ambalo silijui itakuwa hearsay wala Nchimbi, mimi au wewe (unless wewe ndio ulishiriki au Nchimbi anajua aliyeshiriki tutakachosema haimaanishi ni ukweli zaidi ya Hearsay...,Ngoja uchunguzi ukamilike kwanza!
Dr Nchimbi amesema CCM na Chadema hawahusiki na Mauaji ya Ally Mohamed Kibao
Tutajadiliana Kwa Hoja bwashee 😀
Siasa siyo Uadui. Sisi sote tunabakia wamoja kama Watanzania, bila kujali Vyama vyetu. Asilimia kubwa zaid ya 70 hawana Vyama hapa TanzaniaHili liwe funzo zuri Kwa Wanasiasa wadogo Wadogo akina Yeriko, Maranja, Mdude, Choice variable nk
Katibu Mkuu wa CCM Dr Nchimbi amesema Mbowe alimpigia Simu mara 5 Ili kumjulisha habari za mauwaji ya Shujaa Ally Mohamed Kibao lakini yeye Nchimbi hakupokea kwani alishapata taarifa na alikuwa amevurugwa kweli kweli
Dr Nchimbi amesema alimjibu Mh Mbowe Kwa meseji na wakawa wameelewana.
Huu ndio Ukomavu wa kisiasa siyo kila jambo ni Siasa uchwara na kutukanana tu.
Soma Pia: Dkt Nchimbi: CCM imekasirishwa sana na mauwaji ya Ali Kibao na serikali iharakishe haraka uchunguzi na matukio yakomeshwe
Mungu wa mbinguni awabariki sana Dr Nchimbi na Freeman Mbowe
Ahsanteni sana 🌹
Hawa kina Soka, Hadi Leo haijulikani walipo, tusipopaza sauti nao watapotea kama Saanane, ee Mola fanya wepesi, vijana wapatlkane wakiwa hai,Utekaji na mauaji kwa wanachama na viongozi wa Chadema yanafanyika kwa faida na maelekezo ya CCM.
Nani huyo tena Luca?Choicevariable ama Johnthebaptist.Ukibugia na kujimiminia tuvimiminika twako kichwani unaanza mbwembwe zako hapa😀😀
Tatizo la JF wote mnaruhusiwa kujiunga. Hadi nyie wa Riverside siku hizi mnashinda humu. Zamani ilikuwa JF ina watu wenye akili. But now. Hadi nyie mpo 😁
Mzee JohnNani huyo tena Luca?Choicevariable ama Johnthebaptist.
Huyu shetani huwa anatumia modem ya Katibu wa CWT Wilaya ya ChunyaHawa vibwengo wanatupiwa posho zao kila Ijumaa.
Hatari snHuyo ni kama sigara nyota, kokote unawasha tu
Rabishwi
Pumbwa umeandika unajiona unazo haswaaa, huwezi kuwa GT kwa kuingiliana muntu hujui yake. Endelea kuita lolote unataka enzi upo kwa nepwi
Msg umepokea..