Uadui siasani uko huku chini kwa akina Mdude vs Lucas kule Juu Dr Nchimbi amesema " Mbowe alinipigia Simu mara 5"

Uadui siasani uko huku chini kwa akina Mdude vs Lucas kule Juu Dr Nchimbi amesema " Mbowe alinipigia Simu mara 5"

Get to know Nchimbi first ndio useme haya, hizi ndio siasa zake, ambazo very unfortunate hazipendwi na CCM wengi, kuwa mwana diplomasia sana ni kutaka CCM ishindwe vibaya sababu imechokwa. WanaCCM wanamhitaji kiongozi ambaye atawasaidia kushinda kimfumo, bila kujali ameburuza wapinzani wake kiasi gani, mtu ambaye atawasaidia kutamba kwa mabavu, na kusema ile kauli ya “vijana jeuri ya chama” mtu ambaye atawafanya wazurure na sare zao bila kuzomewa (Jakaya vs Magufuli)

Nchimbi ni aina ya kiongozi ambaye mtashindana majukwaani hasa hasa atawavizia awaibie kura, ndio maana gap la matokeo linakuwa 64/40 etc. yale mambo ya CCM kushinda kwa 90% hawa wazee huwa hawaintertain.

kuna watu walidhani atapewa u-KM toka 2015s kwa bahati mbaya “watu wale” walikuja kugundua hawataendana na siasa zake ndio maana akatupwa ubalozini. (Of course alipewa ubalozi kuwekwa mbali na siasa za ndani) Ndiooo akapatikana yule mburundi mwingine kutoka CUF.

Kama kuna kiongozi yeyote wa upinzani atapewa kesi ni kwasababu tu kuna watu ni sikio la kufa, iła amini hivyo kuwa kuna viongozi wengi tu hawapendi hayo mambo.
Nakubaliana na wewe awali nilikua sijawahi kumsikiliza kabla ila jana nimemsikiliza kwa mara ya kwanza na nikagundua ni mtu smart sana
 
Twende kwa hoja wala tusipeane majibu mepesi..., huenda tukafundishana au ukanifundisha jambo ambalo silifahamu... naomba unipe data..., Je zaidi ya movies / fiction Optography ilishatumika wapi na lini ?
Ngoja uchunguzi ukamilike kwanza!

Dr Nchimbi amesema CCM na Chadema hawahusiki na Mauaji ya Ally Mohamed Kibao

Tutajadiliana Kwa Hoja bwashee 😀
 
Hili liwe funzo zuri Kwa Wanasiasa wadogo Wadogo akina Yeriko, Maranja, Mdude, Choice variable nk

Katibu Mkuu wa CCM Dr Nchimbi amesema Mbowe alimpigia Simu mara 5 Ili kumjulisha habari za mauwaji ya Shujaa Ally Mohamed Kibao lakini yeye Nchimbi hakupokea kwani alishapata taarifa na alikuwa amevurugwa kweli kweli

Dr Nchimbi amesema alimjibu Mh Mbowe Kwa meseji na wakawa wameelewana.

Huu ndio Ukomavu wa kisiasa siyo kila jambo ni Siasa uchwara na kutukanana tu.

Soma Pia: Dkt Nchimbi: CCM imekasirishwa sana na mauwaji ya Ali Kibao na serikali iharakishe haraka uchunguzi na matukio yakomeshwe

Mungu wa mbinguni awabariki sana Dr Nchimbi na Freeman Mbowe

Ahsanteni sana 🌹
Dr.Nchimbi ndie boss wa Mbowe.

Mbowe alimpigia boss wake Dr Nchimbi mara tano
 
Ngoja uchunguzi ukamilike kwanza!

Dr Nchimbi amesema CCM na Chadema hawahusiki na Mauaji ya Ally Mohamed Kibao

Tutajadiliana Kwa Hoja bwashee 😀
Mkuu siwezi kujadili jambo ambalo silijui itakuwa hearsay wala Nchimbi, mimi au wewe (unless wewe ndio ulishiriki au Nchimbi anajua aliyeshiriki tutakachosema haimaanishi ni ukweli zaidi ya Hearsay...,

Ndio maana nimejibu point mbili tu... (kwamba kumuangalia mtu usoni ukajua kwamba amefanya au hakufanya beyond reasonable doubt ni kipaji cha hali ya juu) na Pili Story za kwamba macho yanarekodi events za mwisho na inatumiwa kwenye forensic science has been debunked multiple times... Hizo ni Facts na naweza kujadili; mengine ni ramli....
 
Hili liwe funzo zuri Kwa Wanasiasa wadogo Wadogo akina Yeriko, Maranja, Mdude, Choice variable nk

Katibu Mkuu wa CCM Dr Nchimbi amesema Mbowe alimpigia Simu mara 5 Ili kumjulisha habari za mauwaji ya Shujaa Ally Mohamed Kibao lakini yeye Nchimbi hakupokea kwani alishapata taarifa na alikuwa amevurugwa kweli kweli

Dr Nchimbi amesema alimjibu Mh Mbowe Kwa meseji na wakawa wameelewana.

Huu ndio Ukomavu wa kisiasa siyo kila jambo ni Siasa uchwara na kutukanana tu.

Soma Pia: Dkt Nchimbi: CCM imekasirishwa sana na mauwaji ya Ali Kibao na serikali iharakishe haraka uchunguzi na matukio yakomeshwe

Mungu wa mbinguni awabariki sana Dr Nchimbi na Freeman Mbowe

Ahsanteni sana 🌹
Siasa siyo Uadui. Sisi sote tunabakia wamoja kama Watanzania, bila kujali Vyama vyetu. Asilimia kubwa zaid ya 70 hawana Vyama hapa Tanzania
 
Tatizo la JF wote mnaruhusiwa kujiunga. Hadi nyie wa Riverside siku hizi mnashinda humu. Zamani ilikuwa JF ina watu wenye akili. But now. Hadi nyie mpo 😁

Rabishwi
Pumbwa umeandika unajiona unazo haswaaa, huwezi kuwa GT kwa kuingiliana muntu hujui yake. Endelea kuita lolote unataka enzi upo kwa nepwi

Msg umepokea..
 
Ukishajua anapoishi mbowe na ukiwajua majirani zake...utajua nani anafanywa mtaji
 
Rabishwi
Pumbwa umeandika unajiona unazo haswaaa, huwezi kuwa GT kwa kuingiliana muntu hujui yake. Endelea kuita lolote unataka enzi upo kwa nepwi

Msg umepokea..

Aiseee.... Kesho utakuja kulalamika hudumu na wanaume kumbe una mdomo mchafu.
 
Back
Top Bottom