Uamuzi wa Makonda hauna tofauti na wa Samatta, watajuta sana

Uamuzi wa Makonda hauna tofauti na wa Samatta, watajuta sana

Sema kingine, lakini siyo long term plan za DAB na Baba kae. Hao wanajua hata alipo Ben Saanane!!
Tatizo watu hawatafakari kwa kina. Hivi unajua nini sister, makonda alikua mkuu wa mkoa, so wajumbe wote wa CCM kwenye lile jimbo yeye ndiye alikuwa bosi wao, pili makonda anapesa nyingi tu za kuwashawishi hao wajumbe the same thing to Gambo.
 
Ukiangalia kwa haraka haraka mkuu wa mkoa wenye wilaya nyingi tu na majimbo kibao ya wabunge, eti aende kugombea kajimbo kamoja ndani ya mkoa aliokuwa anaongoza......!!!
Unaweza kunwona kama hamnazo vile, kumbeee....!?!?
Kitedawiliiii!!!!!
 
🙌🙌🙌 kwaio tutegemee kuwa waziri kabisa?
 
Ukiangalia kwa haraka haraka mkuu wa mkoa wenye wilaya nyingi tu na majimbo kibao ya wabunge, eti aende kugombea kajimbo kamoja ndani ya mkoa aliokuwa anaongaza......!!!
Unaweza kunwona kama hamnazo vile, kumbe.....!?!?
Kitedawiliiii!!!!!
Duh!!! Asee hizi siasa za kiafrika ni tatizo sana
 
😃😃 hapo kwa samatta umechemka kwasababu ukitazama mmaslai yake ni makubwa tofauti na alivyokuwa Genk na isitoshe bado jamaa ana nafasi kuna vilabu kibao anaweza kwenda vya Europa league toka nchi kama za turkey, holland. Ila kwa PCM pale inaonekana kala wa chuya kwa kauli iliyotolewa leo na akina Humphrey
 
Habari wana jamvi!??. Uamuzi wa Samatta kila mtu anaujua sihitaji kuuelezea kwa upana. Astoni Villa ipo kwenye hatari ya kushuka daraja, Samatta alicheza UEFA Champions League msimu uliopita lakini sasa anaenda kucheza Championship.

Makonda alikua mkuu wa mkoa wa Dar anaenda kuomba kugombea ubunge. Ubunge wa jimbo na mkuu wa mkoa nani mwenye nguvu kuliko mwingine? Anakumbuka alivyokuwa anatoa amri ya kuwaweka wabunge ndani? Sasa itakuwa zamu yake.

Kama Magufuli atasimamia kauli yake kwamba hajatuma mtu basi Makonda atajuta sana mana najua ndani ya CCM anavyochukuliwa.

Ni hayo tu.
hivi kauli za yule baba mnaziaminije ninyi watu?
 
Habari wana jamvi!??. Uamuzi wa Samatta kila mtu anaujua sihitaji kuuelezea kwa upana. Astoni Villa ipo kwenye hatari ya kushuka daraja, Samatta alicheza UEFA Champions League msimu uliopita lakini sasa anaenda kucheza Championship.

Makonda alikua mkuu wa mkoa wa Dar anaenda kuomba kugombea ubunge. Ubunge wa jimbo na mkuu wa mkoa nani mwenye nguvu kuliko mwingine? Anakumbuka alivyokuwa anatoa amri ya kuwaweka wabunge ndani? Sasa itakuwa zamu yake.

Kama Magufuli atasimamia kauli yake kwamba hajatuma mtu basi Makonda atajuta sana mana najua ndani ya CCM anavyochukuliwa.

Ni hayo tu.
Usiwaamini wote wawili
 
Samatta hajachemka kwenda Villa Park, ana maajabu gani kumzidi Grealish aliyepanda nayo. Championship Ni sehem sahihi kwake.
 
Ukuu wa mkoa una stress ya kutumbuliwa muda wowote ubunge wanakula raha sana miaka mitano yote kwa uhakika
Habari wana jamvi!??. Uamuzi wa Samatta kila mtu anaujua sihitaji kuuelezea kwa upana. Astoni Villa ipo kwenye hatari ya kushuka daraja, Samatta alicheza UEFA Champions League msimu uliopita lakini sasa anaenda kucheza Championship.

Makonda alikua mkuu wa mkoa wa Dar anaenda kuomba kugombea ubunge. Ubunge wa jimbo na mkuu wa mkoa nani mwenye nguvu kuliko mwingine? Anakumbuka alivyokuwa anatoa amri ya kuwaweka wabunge ndani? Sasa itakuwa zamu yake.

Kama Magufuli atasimamia kauli yake kwamba hajatuma mtu basi Makonda atajuta sana mana najua ndani ya CCM anavyochukuliwa.

Ni hayo tu.
 
Mkoa wangu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
IMG_20200716_174114_030.jpg
 
Makonda asingepata baraka za Magu asingeenda anaanzaje kuacha Mkoa ingali anajua atashindwa?
 
Habari wana jamvi!??. Uamuzi wa Samatta kila mtu anaujua sihitaji kuuelezea kwa upana. Astoni Villa ipo kwenye hatari ya kushuka daraja, Samatta alicheza UEFA Champions League msimu uliopita lakini sasa anaenda kucheza Championship.

Makonda alikua mkuu wa mkoa wa Dar anaenda kuomba kugombea ubunge. Ubunge wa jimbo na mkuu wa mkoa nani mwenye nguvu kuliko mwingine? Anakumbuka alivyokuwa anatoa amri ya kuwaweka wabunge ndani? Sasa itakuwa zamu yake.

Kama Magufuli atasimamia kauli yake kwamba hajatuma mtu basi Makonda atajuta sana mana najua ndani ya CCM anavyochukuliwa.

Ni hayo tu.

Acha kumfananasha samatta na mambo ya kijinga..!
 
Back
Top Bottom