Uamuzi wa Makonda hauna tofauti na wa Samatta, watajuta sana

Uamuzi wa Makonda hauna tofauti na wa Samatta, watajuta sana

Habari wana jamvi!??. Uamuzi wa Samatta kila mtu anaujua sihitaji kuuelezea kwa upana. Astoni Villa ipo kwenye hatari ya kushuka daraja, Samatta alicheza UEFA Champions League msimu uliopita lakini sasa anaenda kucheza Championship.

Makonda alikua mkuu wa mkoa wa Dar anaenda kuomba kugombea ubunge. Ubunge wa jimbo na mkuu wa mkoa nani mwenye nguvu kuliko mwingine? Anakumbuka alivyokuwa anatoa amri ya kuwaweka wabunge ndani? Sasa itakuwa zamu yake.

Kama Magufuli atasimamia kauli yake kwamba hajatuma mtu basi Makonda atajuta sana mana najua ndani ya CCM anavyochukuliwa.

Ni hayo tu.
Makonda kajipanga kukosa au kupata, kaamua from within
Samata hakujipanga kushuka daraja alijua staiwzesha Aston Villa top four
 
Sasa kwa akili za kawaida unategemea atasema kuwa Kamtuma mtu,hata mimi ningekana lakini ukweli unajulikana.
 
Tatizo watu hawatafakari kwa kina. Hivi unajua nini sister, makonda alikua mkuu wa mkoa, so wajumbe wote wa CCM kwenye lile jimbo yeye ndiye alikuwa bosi wao, pili makonda anapesa nyingi tu za kuwashawishi hao wajumbe the same thing to Gambo.
Mfano wako haujatulia
 
Kama ungejua ubavu wa mkuu ni upi wala aingeandika haya.
 
Habari wana jamvi!??. Uamuzi wa Samatta kila mtu anaujua sihitaji kuuelezea kwa upana. Astoni Villa ipo kwenye hatari ya kushuka daraja, Samatta alicheza UEFA Champions League msimu uliopita lakini sasa anaenda kucheza Championship.

Makonda alikua mkuu wa mkoa wa Dar anaenda kuomba kugombea ubunge. Ubunge wa jimbo na mkuu wa mkoa nani mwenye nguvu kuliko mwingine? Anakumbuka alivyokuwa anatoa amri ya kuwaweka wabunge ndani? Sasa itakuwa zamu yake.

Kama Magufuli atasimamia kauli yake kwamba hajatuma mtu basi Makonda atajuta sana mana najua ndani ya CCM anavyochukuliwa.

Ni hayo tu.
Kalagabaho!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu pekee ndo hajatumwa yupo tayari kuuacha u-RC
IMG-20200716-WA0000.jpg
 
Nadhani wewe ni mgumu kuelewa mkuu. Mimi nina uzoefu na uchaguzi wa kura za maoni za wabungu. Kura hizo hupigwa na wajumbe wa CCM wa jimbo husika. Bila ubishi wajumbe wote wa kigamboni watampigia kura Makonda.
Kumchanganya samagoal na kuona hajafanya lolote AS Villa/huko kwingine sikuingilii
 
Habari wana jamvi!??. Uamuzi wa Samatta kila mtu anaujua sihitaji kuuelezea kwa upana. Astoni Villa ipo kwenye hatari ya kushuka daraja, Samatta alicheza UEFA Champions League msimu uliopita lakini sasa anaenda kucheza Championship.

Makonda alikua mkuu wa mkoa wa Dar anaenda kuomba kugombea ubunge. Ubunge wa jimbo na mkuu wa mkoa nani mwenye nguvu kuliko mwingine? Anakumbuka alivyokuwa anatoa amri ya kuwaweka wabunge ndani? Sasa itakuwa zamu yake.

Kama Magufuli atasimamia kauli yake kwamba hajatuma mtu basi Makonda atajuta sana mana najua ndani ya CCM anavyochukuliwa.

Ni hayo tu.
Aisee, sasa ndo naamini wivu ni tatizo kubwa sana kwa mwanadamu,alipokuwa mkuu wa mkoa mlisema hana sifa sababu vyeti na jina sio vyake anabebwa tu, sasa kaamua kwenda kwenye ubunge ambapo sifa za kujua kusoma na kuandika anazo bado mnaleta maneno sasa mnataka nini au tuwaeleweje?
 
Yaani unaamini kabisa, kajipeleka akagombee kigamboni? Na siku ukijua kaambiwa aende huko, aje kuwa waziri fulani utaweka sura yako wapi?

Samatta alijua aston villa inashuka? Alijua timu yake ya mwanzo ingecheza UEFA pindi anajiunga nayo?

Tofauti ya binadamu na malaika ni nini?
Usimshangae, bali elewa tu watanzania wengi ni wagumu sana kuwasoma na kuwaelewa wanasiasa wa nchi hii:

Bora kuishi na slow learners wa darasani,kuliko kuishi na slow learners wa mambo ya siasa na wanasiasa
 
Acha kumfanamisha Samata na huo utoporo
Hawajui kuwa kwa Makonda kufananishwa na Samatta kwake no jambo la kuweka kwenye kumbukumhu?
Jamaa anavyopenda sifa za majina makubwa hata ukimfananisha na Steve Nyerere au Mpoki anajisikia ufahari! Sijui ni kutikana na atokako au!
 
Aisee, sasa ndo naamini wivu ni tatizo kubwa sana kwa mwanadamu,alipokuwa mkuu wa mkoa mlisema hana sifa sababu vyeti na jina sio vyake anabebwa tu, sasa kaamua kwenda kwenye ubunge ambapo sifa za kujua kusoma na kuandika anazo bado mnaleta maneno sasa mnataka nini au tuwaeleweje?
Baada ya tuhuma hizo alijiuzulu? Au alifukuzwa kazi? Alikua na haki ya kuchukua form kama asingekua na kazi yake ya mwanzo
 
Bashite akipitishwa kugombea ubunge na akiteuliwa kuwa waziri hapo nitaamini UNAFIKI upo mpaka kwa watu wazima.!
 
Bashite akipitishwa kugombea ubunge na akiteuliwa kuwa waziri hapo nitaamini UNAFIKI upo mpaka kwa watu wazima.!
Sio kwa watu wazima tu,hadi kwa raisi na serikali
 
Baada ya tuhuma hizo alijiuzulu? Au alifukuzwa kazi? Alikua na haki ya kuchukua form kama asingekua na kazi yake ya mwanzo
kwani ni yeye tu mwenye kazi aliechua fomu na kwanini mtu ajiuhudhuru kwa sasa ya tuhuma tu ambazo hazijathibitishwa popote na hazina ushahidi?
 
Habari wana jamvi!??. Uamuzi wa Samatta kila mtu anaujua sihitaji kuuelezea kwa upana. Astoni Villa ipo kwenye hatari ya kushuka daraja, Samatta alicheza UEFA Champions League msimu uliopita lakini sasa anaenda kucheza Championship.

Makonda alikua mkuu wa mkoa wa Dar anaenda kuomba kugombea ubunge. Ubunge wa jimbo na mkuu wa mkoa nani mwenye nguvu kuliko mwingine? Anakumbuka alivyokuwa anatoa amri ya kuwaweka wabunge ndani? Sasa itakuwa zamu yake.

Kama Magufuli atasimamia kauli yake kwamba hajatuma mtu basi Makonda atajuta sana mana najua ndani ya CCM anavyochukuliwa.

Ni hayo tu.
KUMBE WEWE MWENZETU ULIWAHI KUMWAMINI HUYO MZEE! HIVI KWA AKILI YAKO UNAAMINI KWAMBA BASHITE ATAKIUKA HIVI HIVI AGIZO LA MZEE WAKE KIPENZI WA MOYO?
 
Habari wana jamvi!??. Uamuzi wa Samatta kila mtu anaujua sihitaji kuuelezea kwa upana. Astoni Villa ipo kwenye hatari ya kushuka daraja, Samatta alicheza UEFA Champions League msimu uliopita lakini sasa anaenda kucheza Championship.

Makonda alikua mkuu wa mkoa wa Dar anaenda kuomba kugombea ubunge. Ubunge wa jimbo na mkuu wa mkoa nani mwenye nguvu kuliko mwingine? Anakumbuka alivyokuwa anatoa amri ya kuwaweka wabunge ndani? Sasa itakuwa zamu yake.

Kama Magufuli atasimamia kauli yake kwamba hajatuma mtu basi Makonda atajuta sana mana najua ndani ya CCM anavyochukuliwa.

Ni hayo tu.

UPDATES:
NDUGU MAKONDA KUANGUKIA PUA SASA ANASUBIRI REHEMA ZA RAIS TU WALA SI VINGINEVYO
'Courageous' Aston Villa out of relegation zone with one game left
 
Back
Top Bottom