Meneja Wa Makampuni
JF-Expert Member
- Jul 7, 2020
- 7,899
- 10,415
Tatizo watu hawatafakari kwa kina. Hivi unajua nini sister, makonda alikua mkuu wa mkoa, so wajumbe wote wa CCM kwenye lile jimbo yeye ndiye alikuwa bosi wao, pili makonda anapesa nyingi tu za kuwashawishi hao wajumbe the same thing to Gambo.Sema kingine, lakini siyo long term plan za DAB na Baba kae. Hao wanajua hata alipo Ben Saanane!!
Duh!!! Asee hizi siasa za kiafrika ni tatizo sanaUkiangalia kwa haraka haraka mkuu wa mkoa wenye wilaya nyingi tu na majimbo kibao ya wabunge, eti aende kugombea kajimbo kamoja ndani ya mkoa aliokuwa anaongaza......!!!
Unaweza kunwona kama hamnazo vile, kumbe.....!?!?
Kitedawiliiii!!!!!
Mkuu nimezungumzia uhalisia wa hali,yan kama kuna chini ya kapeti sijui. Na kama wapinzani wangekuwa wanayajua basi hakuna haja ya kushiriki uchaguzi.
hivi kauli za yule baba mnaziaminije ninyi watu?Habari wana jamvi!??. Uamuzi wa Samatta kila mtu anaujua sihitaji kuuelezea kwa upana. Astoni Villa ipo kwenye hatari ya kushuka daraja, Samatta alicheza UEFA Champions League msimu uliopita lakini sasa anaenda kucheza Championship.
Makonda alikua mkuu wa mkoa wa Dar anaenda kuomba kugombea ubunge. Ubunge wa jimbo na mkuu wa mkoa nani mwenye nguvu kuliko mwingine? Anakumbuka alivyokuwa anatoa amri ya kuwaweka wabunge ndani? Sasa itakuwa zamu yake.
Kama Magufuli atasimamia kauli yake kwamba hajatuma mtu basi Makonda atajuta sana mana najua ndani ya CCM anavyochukuliwa.
Ni hayo tu.
Usiwaamini wote wawiliHabari wana jamvi!??. Uamuzi wa Samatta kila mtu anaujua sihitaji kuuelezea kwa upana. Astoni Villa ipo kwenye hatari ya kushuka daraja, Samatta alicheza UEFA Champions League msimu uliopita lakini sasa anaenda kucheza Championship.
Makonda alikua mkuu wa mkoa wa Dar anaenda kuomba kugombea ubunge. Ubunge wa jimbo na mkuu wa mkoa nani mwenye nguvu kuliko mwingine? Anakumbuka alivyokuwa anatoa amri ya kuwaweka wabunge ndani? Sasa itakuwa zamu yake.
Kama Magufuli atasimamia kauli yake kwamba hajatuma mtu basi Makonda atajuta sana mana najua ndani ya CCM anavyochukuliwa.
Ni hayo tu.
Hakunaga uhalisia kwenye siasa mzeeMkuu nimezungumzia uhalisia wa hali,yan kama kuna chini ya kapeti sijui. Na kama wapinzani wangekuwa wanayajua basi hakuna haja ya kushiriki uchaguzi.
Habari wana jamvi!??. Uamuzi wa Samatta kila mtu anaujua sihitaji kuuelezea kwa upana. Astoni Villa ipo kwenye hatari ya kushuka daraja, Samatta alicheza UEFA Champions League msimu uliopita lakini sasa anaenda kucheza Championship.
Makonda alikua mkuu wa mkoa wa Dar anaenda kuomba kugombea ubunge. Ubunge wa jimbo na mkuu wa mkoa nani mwenye nguvu kuliko mwingine? Anakumbuka alivyokuwa anatoa amri ya kuwaweka wabunge ndani? Sasa itakuwa zamu yake.
Kama Magufuli atasimamia kauli yake kwamba hajatuma mtu basi Makonda atajuta sana mana najua ndani ya CCM anavyochukuliwa.
Ni hayo tu.
Hufatilii wachezaji mzeeNani atamjua tena huko chini?
Habari wana jamvi!??. Uamuzi wa Samatta kila mtu anaujua sihitaji kuuelezea kwa upana. Astoni Villa ipo kwenye hatari ya kushuka daraja, Samatta alicheza UEFA Champions League msimu uliopita lakini sasa anaenda kucheza Championship.
Makonda alikua mkuu wa mkoa wa Dar anaenda kuomba kugombea ubunge. Ubunge wa jimbo na mkuu wa mkoa nani mwenye nguvu kuliko mwingine? Anakumbuka alivyokuwa anatoa amri ya kuwaweka wabunge ndani? Sasa itakuwa zamu yake.
Kama Magufuli atasimamia kauli yake kwamba hajatuma mtu basi Makonda atajuta sana mana najua ndani ya CCM anavyochukuliwa.
Ni hayo tu.