Uamuzi wa Makonda hauna tofauti na wa Samatta, watajuta sana

Nadhani wewe ni mgumu kuelewa mkuu. Mimi nina uzoefu na uchaguzi wa kura za maoni za wabungu. Kura hizo hupigwa na wajumbe wa CCM wa jimbo husika. Bila ubishi wajumbe wote wa kigamboni watampigia kura Makonda.
Ati ikawaje tena?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…