- Thread starter
- #21
Huwa wanazitoa kijiwe cha Urusi kwa mpalangeHizi data huwaga mnatoa wapi!?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huwa wanazitoa kijiwe cha Urusi kwa mpalangeHizi data huwaga mnatoa wapi!?
Hili la Ukraine kunyimwa silaha nzito na za masafa marefu hawaliongelei Pro Russia. Wamebaki na wimbo wa NATO NATO.Nikionacho mimi.hata ikitokea russia akashinda vita tayari nchi kama marekani na washirika wake wamefanikiwa kumpima nguvu na wameishajiridhisha kwamba akilianzisha anapigika kirahisi.
Mfano angalia warusi wanavyokufa,ukraine huku wakisaidiwa na mizinga ya masafa marefu kutokea urusi ndani
ambayo ukraine hana.
NATO na marekani walimnyima silaha za masafa marefu,kitu ambacho angekuwa nazo si ajabu sasa hivi wangekuwa ndani ya urusi.
Hivyo maamuzi ya putin kuvamia ukraine na hasara kwake badala ya faida.
Na ni fundisho kwetu .usimdharau jirani yako kwa sababu ya mwonekano,anawezakuwa na marafiki wenye nguvu kuliko zako ukaumbuka.
Haya,Mwenyewe umeona una point za nguvu 🤣🤣🤣🤣 Mleta uzi una tatizo la kukariri mambo.
Sababu y Russia kuitandika Ukraine ni nyingi sana lakini media za mgharibi hazisemi ukweri badala yake mmekaririshwa sbabu moja tu eti
Kuhusu Finland na Sweden kujiunga NATO, Russia walishasema hawana tatizo na hilo ila ita react iwapo mifumo na zana za kijeshi a NATO zikipelekwa Finland. Na kumbuka Russia akitoa ahadi huwa hatanii na ninakuahidi iwapo haya aliyoyaonya yakitokea, Finland itashambuliwa na joka la kibisa NATO hawataweza kufanya kitu chochote kile
Kwa hiyo hizi ndo takwimu. Tumesema lete takwimu siyo porojo. Mnarukaruka tu kama kende kwenye suluali. Porojo kibao lakini vichwani mko watupu1. Unataka nikupe takwimu za Ujerumani kiuchumi ila wewe huna sehemu uliyokuja na takwimu zaidi ya bla bla tu.
Unazitaka kwa base ya mwaka gani au ndani ya accounting period ya mwaka huu?
2. Eti USA hujataja economic indicator[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wakati fuel price imepanda hali ambayo inasababisha whole production sector kuwa na gharama zaidi.
Swali lako lilitakiwa lijikite kuonyesha nimetumia base year ipi na kulinganisha na ipi?
3.unaelewa hata nilichokielezea pale imeanza kucrumble au ni maamuma tu upo Dunia hujui la mbele Wala la nyuma.
Hebu tupe link inayofanana na thread hii (with same context) na sisi tujilidhisheHii thread ilikuwa posted long ago, naona imekuwa reposited
Iithuania nayo ni nchi? NATO mtapata tabu sana kwani ubavu wa kupambana n Russia hamna. Challenge tumewapa hapo UkraineHaya,
1. tueleze sababu unazozijua wewe za Russia kuivamia Ukraine.
2. Mbona Lithuania pale kuna NATO military base, ulishawahi kusikia Russia karusha hata bomu la mkono ndani ya Lithuania?
3. Usichokijua ni kwamba NATO iko kwenye preparation ya kuweka military Base Finland.
Hapa ndo umeleta takwimu za tulichokuuliza. Naona unajitekenya na kujamba mwenyewe.Iithuania nayo ni nchi? NATO mtapata tabu sana kwani ubavu wa kupambana n Russia hamna. Challenge tumewapa hapo Ukraine
Na kubwa lenu linakwenda kuangushwa ki strategy na likitu linaitwa BRICKS. 🤣🤣🤣Putini ni mwamba, ukicheza naye unacheza na moto
Nato wameshindwa kwa kutuonesha huo mchoro wako tu? Finland malengo yake yametimia tayari yuko Nato huyo Sweden mwenyewe ni Turkey tu ndio analeta kauzibe.Urusi mpaka Sasa ameweza kuiangusha dollar.
Urusi mpaka Sasa ameigaragaza NATO.
Ukumbuke Hii SMO Urusi akishinda, NATO imekufa,Sweden na Finland malengo Yao yameshatibuliwa.View attachment 2645284
Nani kakuambia Russia ni mtu wa takwimu? Takwimu xipo CNN na BBCNato wameshindwa kwa kutuonesha huo mchoro wako tu? Finland malengo yake yametimia tayari yuko Nato huyo Sweden mwenyewe ni Turkey tu ndio analeta kauzibe.
Sawa, tupe na wewe majibu ya maswali yetu yote tuliyouliza. Au maswali huyaoniMleta uzi ameleta swali na bado akajijibu mwenyewe na anapambana na wanaopinga majibu yake!
Majibu umeshatoa,sasa unataka ujibiwe kipi?Na kila anayekujibu tofauti na unavyopenda inakuwa kesi!Sawa, tupe na wewe majibu ya maswali yetu yote tuliyouliza. Au maswali huyaoni
1. Nakubaliana na wewe kuwa vita ya Russia na Ukraine imeleta madhara kwenye maeneo mengi sana kiuchumi, kijamii na kimazingira. Hilo halina ubishi. Na waathirika wakubwa wa vita hii ni nchi za africa. Hii inaweza ikawa mada nyingineBefore Russia invaded Ukraine, projections estimated global economic growth in 2022 would be around 5 percent. The war in Ukraine was a “massive and historic energy shock” to the markets, according to a November 2022 report by the OECD. The “shock” of the war was one of the main factors that had slowed economic growth in 2022 to just 3.1 percent, and why the OECD projected it to slow to 2.2 percent in 2023. The war, the report found, has had the greatest impact on Europe's economy, where growth in 2023 is projected to be just 0.3 percent
Mkuu uwe unatulia na kuelewa hoja vizuri basi usiwe kama kasuku kupiga kelele tu.Nani kakuambia Russia ni mtu wa takwimu? Takwimu xipo CNN na BBC
Sijaona aliyejikita kwenye hoja zaidi ya porojo na matusi. Hata wewe ulichojibu ni nje ya hoja.Majibu umeshatoa,sasa unataka ujibiwe kipi?Na kila anayekujibu tofauti na unavyopenda inakuwa kesi!
Mimi nimeanza na kukupa anguko la uchumi duniani na hasa Europe kutokana na vita!
kikiboxer Wala usipate tabu, Pro Russia nawamudu kwa hoja. Ndiyo màana hawawezi kujibu maswali yangu. Fuatilia maswali nayowauliza hakuna anayejibu wanaibuka na porojo badala ya kutupa majibu.Mkuu uwe unatulia na kuelewa hoja vizuri basi usiwe kama kasuku kupiga kelele tu.
Hapo mimi wala sijaomba takwimu wala sijazungumza takwimu ni hoja. Au hufahamu maana ya takwimu?
Hizi akili huwa mnatoa wapi na bado unataka kubishana na watu.
Mkuu Fanfa hapa utapoteza energy zako bure humu hakuna wa kujibizana hoja.
Ha ha haUnaamka zako asubuhi umejiandaa kutukanana na ma Pro wenzio unakuta na Breaking News:
Urusi yatuma maombi kujiunga NATO.