Uamuzi wa Russia kuivamia Ukraine ni mbinu iliyoshindwa (Strategic Failure)?

Uamuzi wa Russia kuivamia Ukraine ni mbinu iliyoshindwa (Strategic Failure)?

Haya,
1. tueleze sababu unazozijua wewe za Russia kuivamia Ukraine.

2. Mbona Lithuania pale kuna NATO military base na kuna wanajeshi wa NATO zaidi ya 1,600 ulishawahi kusikia Russia karusha hata bomu la mkono ndani ya Lithuania au Estonia?

3. Romania na Poland kuna NATO military bases, uliwahi kusikia Russia karusha missile yake pale

4. Usichokijua ni kwamba NATO iko kwenye preparation ya kuweka military Base Finland.
Malengo yao ni yapi hasa ya kufanya military base kila sehemu,ni nini target yake? Harafu unawashabikia watu wanao taka dunia iwe chini yao,
 
Tutajie mabenki yaliyofirisika Ulaya na America sababu ya vita ni yapi?
First Republic BankMay 1, 2023$212 billion*

Silicon Valley BankMarch 10, 2023$209 billion

Signature BankMarch 12, 2023$110 billion

Credit Suisse bank hii inatoka Switzerland

Una lingine huwa sipendi mtu asiye na chochote kubisha jambo asilo lijua
 
Hili la Ukraine kunyimwa silaha nzito na za masafa marefu hawaliongelei Pro Russia. Wamebaki na wimbo wa NATO NATO.
Ukraine angepewa silaha anazotumia NATO (NATO arsenals) mpaka sasa kusingekuwa na Vita.
Siraha ipi exceptional ambayo hajapewa
Ni aibu tukisema western weapons ni inferior kwa Russia.

Hizo alizopewa ndio siraha zao bora zaidi na bado wamechapwa
 
Haya,
1. tueleze sababu unazozijua wewe za Russia kuivamia Ukraine.

2. Mbona Lithuania pale kuna NATO military base na kuna wanajeshi wa NATO zaidi ya 1,600 ulishawahi kusikia Russia karusha hata bomu la mkono ndani ya Lithuania au Estonia?

3. Romania na Poland kuna NATO military bases, uliwahi kusikia Russia karusha missile yake pale

4. Usichokijua ni kwamba NATO iko kwenye preparation ya kuweka military Base Finland.
Kwani hizo nchi tajwa zilishawahi kurusha jiwe ndani ya Urusi?
 
Kwa hiyo hizi ndo takwimu. Tumesema lete takwimu siyo porojo. Mnarukaruka tu kama kende kwenye suluali. Porojo kibao lakini vichwani mko watupu
Kanataka takwimu zako ziko wapi?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nato wameshindwa kwa kutuonesha huo mchoro wako tu? Finland malengo yake yametimia tayari yuko Nato huyo Sweden mwenyewe ni Turkey tu ndio analeta kauzibe.
Haikuwa lengo la NATO kuitaka Finland
Ila lengo lilikuwa big brothers nchi kama Ukraine, Belarus na Kazakhstan.

Revolution zao za kijanja janja walifanikiwa. Ukraine kwa kina la Maidan, lakini wakafeli vibaya Belarus na Kazakhstan.
 
1. Nakubaliana na wewe kuwa vita ya Russia na Ukraine imeleta madhara kwenye maeneo mengi sana kiuchumi, kijamii na kimazingira. Hilo halina ubishi. Na waathirika wakubwa wa vita hii ni nchi za africa. Hii inaweza ikawa mada nyingine

2. Hoja iliyoko mezani ni faida na hasara alizopata Russia kwa kuivamia ukraine. Conclusion ya mada inasema Russia kashindwa kutimiza mkakati au malengo ya uvamizi wake (Strategic failure) kwa hoja ya kwamba alichokuwa hakitaki (kusogelewa au kujitanua kwa NATO) ndo kakipata maradufu.
Sasa kama unakubaliana naye?
Unapinga nini Sasa?
 
Mkuu IFAC na Fanfa nadhani turudi kwenye hoja kuu.

Hoja ya Fanfa ilikuwa kuhusu Malengo ya Russia kutimia.

Kwanza lazima tujue malengo ya Russia wakati anaanza vita alitngaza ni yapi tena hakutangaza mara moja ilikuwa mara kwa mara ni Ku denazify, kulinga sehemu ya watu wanaoongea kirusi ambao alidai wanaonewa na mwisho ku counter expansion ya NATO.

Hayo ya uchumi kuyumba ni matokeo ya vita ambayo hata Russia sidhani aliya Anticipate wakati anaanza the so called operation.

Ukiangalia hasara alizopata population kadhaa ya Warusi wamekimbia nchi yao, hii denazification bado haijafikiwa kwani mpaka sasa Ukraine ni Anti russia na upinzani umeongezeka zaidi.

Security na Expansion ya NATO hili hata mtoto mdogo anaweza kulijibu kwani sasa Vita iko ndani ya Russia sio tena Ukraine na NATO sasa ina eneo kubwa kulinganisha na mwanzo.

Njoo na hoja tubadilishane mawazo hapa.
On Oct. 4, Forbes Russia reported that the number of people who have left the country since Putin ordered the draft could be as high as 700,000, citing a Kremlin source.6 Oct 2022

Warusi wapo Milioni 140 na idadi waliokimbia hawazidi Milioni 1.

Hapo hapo Urusi imechukua ria zaidi ya Milioni kwenye majimbo ya Zaphorizia, Kherison, Lugansk na Donetsk na possible baadae kubeba raia wote waliopo Odessa na Dnipro.

Hivyo hoja ya raia waoga waliokimbia Haina impact hata kidogo kwenye demographics ya nchi.

Hao raia wengi watarudi baada ya hii special operation kuisha.

Ngoja tuangazie raia waliokimbia Ukraine

Over 8.2 million refugees fleeing Ukraine have been recorded across Europe, while an estimated 8 million others had been displaced within the country by late May 2022. Approximately one-quarter of the country's total population had left their homes in Ukraine by 20 March.

Hawa ni raia waliokimbia Ukraine mpaka mwezi wa 3 mwaka huu ambao ni recorded hivyo kwenye Taifa la watu Milioni 40 unaweza kuona athari zake.

Je, hakuna Waukrein waliokimbilia Urusi?

The United Nations estimates more than 2.8 million Ukrainians have taken refuge in Russia over the past year. Some – largely those who could afford it – have transited through Russia to other countries in Europe, and many have even made it back to Ukraine.

Urusi imepata ongezeko la watu zaidi ya 2.8 Milioni

Kumbuka waliokimbia Urusi hawazidi Milioni hivyo nchi ipi imegain?
 
Ungetaja ambayo unaijua anayo uweke na ushahidi tuanzie hapo.
Hili ndio tatizo la hii nyuzi ya kidanzwi
Mimi nimesema siraha zao bora wamekwisha peleka, Sasa wewe unayehona hajapeleka ndio zitaje?

Burden of proof haipo kwangu
 
Mwenyewe umeona una point za nguvu 🤣🤣🤣🤣 Mleta uzi una tatizo la kukariri mambo.

Sababu y Russia kuitandika Ukraine ni nyingi sana lakini media za mgharibi hazisemi ukweri badala yake mmekaririshwa sbabu moja tu eti

Kuhusu Finland na Sweden kujiunga NATO, Russia walishasema hawana tatizo na hilo ila ita react iwapo mifumo na zana za kijeshi a NATO zikipelekwa Finland. Na kumbuka Russia akitoa ahadi huwa hatanii na ninakuahidi iwapo haya aliyoyaonya yakitokea, Finland itashambuliwa na joka la kibisa NATO hawataweza kufanya kitu chochote kile
Braza hakuna unacho kijua ww ni pro russia ila hujui chochote
 
Hili ndio tatizo la hii nyuzi ya kidanzwi
Mimi nimesema siraha zao bora wamekwisha peleka, Sasa wewe unayehona hajapeleka ndio zitaje?

Burden of proof haipo kwangu
Duuh mwanaume mzima unashupaza shingo kwamba silaha zote bora za NATO zishapelekwa Ukraine!!!
 
Kumbuka Ujerumani na whole European ni economic disaster.

Marekani gharama ya maisha imepanda

Global order imposed by the west ipo mashakani

Dollar dominance imeanza kucrumble

Halafu unasema strategic failure
Are you insane?
Na mnakimbilia huko huko kila siku , aya bana sisi huku bongo na Urusi gharama ya maisha haijapanda , ngoja tutulie tuwaache marikani
 
Sawa, jikite kwenye hoja badala ya porojo.

1. tueleze kivipi NATO imeshagalagazwa?

2. Tueleze ni malengo yapi ya Finland yaliyotibuliwa

3. Tueleze ni vipi USD imeangushwa na kwa kiwango gani?
Yeye anajihisi ana akili kuliko Finland na Sweden , kwamba hao hawaoni wamekurupuka kuomba kujiunga na NATO
 
Back
Top Bottom