Malengo yao ni yapi hasa ya kufanya military base kila sehemu,ni nini target yake? Harafu unawashabikia watu wanao taka dunia iwe chini yao,Haya,
1. tueleze sababu unazozijua wewe za Russia kuivamia Ukraine.
2. Mbona Lithuania pale kuna NATO military base na kuna wanajeshi wa NATO zaidi ya 1,600 ulishawahi kusikia Russia karusha hata bomu la mkono ndani ya Lithuania au Estonia?
3. Romania na Poland kuna NATO military bases, uliwahi kusikia Russia karusha missile yake pale
4. Usichokijua ni kwamba NATO iko kwenye preparation ya kuweka military Base Finland.
First Republic BankMay 1, 2023$212 billion*Tutajie mabenki yaliyofirisika Ulaya na America sababu ya vita ni yapi?
Je una data za kupinga hizo statement, tuleteeHizi data huwaga mnatoa wapi!?
Siraha ipi exceptional ambayo hajapewaHili la Ukraine kunyimwa silaha nzito na za masafa marefu hawaliongelei Pro Russia. Wamebaki na wimbo wa NATO NATO.
Ukraine angepewa silaha anazotumia NATO (NATO arsenals) mpaka sasa kusingekuwa na Vita.
*zuzu*ujinga# Kisha unapiga [emoji1787][emoji1787]KUPATA VITUKO KAMA HIVI INATAKIWA KUPIGA NO IPI
Kwani hizo nchi tajwa zilishawahi kurusha jiwe ndani ya Urusi?Haya,
1. tueleze sababu unazozijua wewe za Russia kuivamia Ukraine.
2. Mbona Lithuania pale kuna NATO military base na kuna wanajeshi wa NATO zaidi ya 1,600 ulishawahi kusikia Russia karusha hata bomu la mkono ndani ya Lithuania au Estonia?
3. Romania na Poland kuna NATO military bases, uliwahi kusikia Russia karusha missile yake pale
4. Usichokijua ni kwamba NATO iko kwenye preparation ya kuweka military Base Finland.
Kanataka takwimu zako ziko wapi?Kwa hiyo hizi ndo takwimu. Tumesema lete takwimu siyo porojo. Mnarukaruka tu kama kende kwenye suluali. Porojo kibao lakini vichwani mko watupu
Haikuwa lengo la NATO kuitaka FinlandNato wameshindwa kwa kutuonesha huo mchoro wako tu? Finland malengo yake yametimia tayari yuko Nato huyo Sweden mwenyewe ni Turkey tu ndio analeta kauzibe.
Sasa kama unakubaliana naye?1. Nakubaliana na wewe kuwa vita ya Russia na Ukraine imeleta madhara kwenye maeneo mengi sana kiuchumi, kijamii na kimazingira. Hilo halina ubishi. Na waathirika wakubwa wa vita hii ni nchi za africa. Hii inaweza ikawa mada nyingine
2. Hoja iliyoko mezani ni faida na hasara alizopata Russia kwa kuivamia ukraine. Conclusion ya mada inasema Russia kashindwa kutimiza mkakati au malengo ya uvamizi wake (Strategic failure) kwa hoja ya kwamba alichokuwa hakitaki (kusogelewa au kujitanua kwa NATO) ndo kakipata maradufu.
On Oct. 4, Forbes Russia reported that the number of people who have left the country since Putin ordered the draft could be as high as 700,000, citing a Kremlin source.6 Oct 2022Mkuu IFAC na Fanfa nadhani turudi kwenye hoja kuu.
Hoja ya Fanfa ilikuwa kuhusu Malengo ya Russia kutimia.
Kwanza lazima tujue malengo ya Russia wakati anaanza vita alitngaza ni yapi tena hakutangaza mara moja ilikuwa mara kwa mara ni Ku denazify, kulinga sehemu ya watu wanaoongea kirusi ambao alidai wanaonewa na mwisho ku counter expansion ya NATO.
Hayo ya uchumi kuyumba ni matokeo ya vita ambayo hata Russia sidhani aliya Anticipate wakati anaanza the so called operation.
Ukiangalia hasara alizopata population kadhaa ya Warusi wamekimbia nchi yao, hii denazification bado haijafikiwa kwani mpaka sasa Ukraine ni Anti russia na upinzani umeongezeka zaidi.
Security na Expansion ya NATO hili hata mtoto mdogo anaweza kulijibu kwani sasa Vita iko ndani ya Russia sio tena Ukraine na NATO sasa ina eneo kubwa kulinganisha na mwanzo.
Njoo na hoja tubadilishane mawazo hapa.
Ungetaja ambayo unaijua anayo uweke na ushahidi tuanzie hapo.Mizinga gani ya masafa marefu ambayo hana?
Hili ndio tatizo la hii nyuzi ya kidanzwiUngetaja ambayo unaijua anayo uweke na ushahidi tuanzie hapo.
Uko ndotoni??Urusi mpaka Sasa ameweza kuiangusha dollar.
Urusi mpaka Sasa ameigaragaza NATO.
Ukumbuke Hii SMO Urusi akishinda, NATO imekufa,Sweden na Finland malengo Yao yameshatibuliwa.View attachment 2645284
Braza hakuna unacho kijua ww ni pro russia ila hujui chochoteMwenyewe umeona una point za nguvu 🤣🤣🤣🤣 Mleta uzi una tatizo la kukariri mambo.
Sababu y Russia kuitandika Ukraine ni nyingi sana lakini media za mgharibi hazisemi ukweri badala yake mmekaririshwa sbabu moja tu eti
Kuhusu Finland na Sweden kujiunga NATO, Russia walishasema hawana tatizo na hilo ila ita react iwapo mifumo na zana za kijeshi a NATO zikipelekwa Finland. Na kumbuka Russia akitoa ahadi huwa hatanii na ninakuahidi iwapo haya aliyoyaonya yakitokea, Finland itashambuliwa na joka la kibisa NATO hawataweza kufanya kitu chochote kile
Duuh mwanaume mzima unashupaza shingo kwamba silaha zote bora za NATO zishapelekwa Ukraine!!!Hili ndio tatizo la hii nyuzi ya kidanzwi
Mimi nimesema siraha zao bora wamekwisha peleka, Sasa wewe unayehona hajapeleka ndio zitaje?
Burden of proof haipo kwangu
Sasa wewe Mwanamke ambaye unazijua hizo siraha zitaje?Duuh mwanaume mzima unashupaza shingo kwamba silaha zote bora za NATO zishapelekwa Ukraine!!!
Akishinda ? sw akishinda , ila wenzio wameanza kudungua ndan ya UrusiUrusi mpaka Sasa ameweza kuiangusha dollar.
Urusi mpaka Sasa ameigaragaza NATO.
Ukumbuke Hii SMO Urusi akishinda, NATO imekufa,Sweden na Finland malengo Yao yameshatibuliwa.View attachment 2645284
Na mnakimbilia huko huko kila siku , aya bana sisi huku bongo na Urusi gharama ya maisha haijapanda , ngoja tutulie tuwaache marikaniKumbuka Ujerumani na whole European ni economic disaster.
Marekani gharama ya maisha imepanda
Global order imposed by the west ipo mashakani
Dollar dominance imeanza kucrumble
Halafu unasema strategic failure
Are you insane?
Hakun vidudu wenzio humuKUPATA VITUKO KAMA HIVI INATAKIWA KUPIGA NO IPI
Yeye anajihisi ana akili kuliko Finland na Sweden , kwamba hao hawaoni wamekurupuka kuomba kujiunga na NATOSawa, jikite kwenye hoja badala ya porojo.
1. tueleze kivipi NATO imeshagalagazwa?
2. Tueleze ni malengo yapi ya Finland yaliyotibuliwa
3. Tueleze ni vipi USD imeangushwa na kwa kiwango gani?