Uandaaji wa filamu ya Royal Tour tumepigwa lakini uzinduzi wake tunapigwa zaidi!

Uandaaji wa filamu ya Royal Tour tumepigwa lakini uzinduzi wake tunapigwa zaidi!

CHAWAAAAAA....wahini huku haraka, maana hatutapata posho tusipomtetea Mkuu wetu wa nchi [emoji87]
πŸ˜„πŸ˜ƒπŸ˜€πŸ˜…πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜πŸ˜„
Waje Waende Chap Kununua Omo, Foma Limao, Detol, Jik Kumtakasa Mkuu Na Hii Thread Yenye Nongwa, Husda, Kijicho, Jino Pembe





Ila Royal Tour Tutapigwa, Tutachakaa Tumekuwa Kama Mbwa Ko Ko





Tumekuwa Kapu La Mjinga, Mwerevu Anatia Mkono
Bwana Bure Hayupo Ndugu Zangu Tuchape Kazi Sana!
 
Sijui viongozi wetu wanawaza nini lakini kwa kifupi ama wamepotoka au wanapotoshwa. Filamu ya aina ya Royal Tour si ya kwanza kuandaliwa duniani, ndugu zetu wa Rwanda walikwisha iandaa na imekwisha tazamwa sana. Sasa sijui kama viongozi wetu walikwisha fanya research ndogo tu kuona imeinufaishaje Rwanda. Manufaa ambayo kama Rwanda imepata basi yasingeweza kuwa siri ya ndani ya Rwanda bali pia spill over tungezipata hapa Tanzania au nchi nyingine za jirani.

Kitu cha kuzingatia ni kuwa wazo la kuandaa filamu hizi si la kwetu bali la hao wenye kumiliki uchumi lakini gharama ni za kwetu. Siyo siri katika kujenga uchumi wa nchi hakuna rafiki bali mwenye nguvu ndiye hushinda na kufaidi. Akili mu kichwa! Walio andaa wamefanikisha malengo yao bila jasho na kwa gharama nafuu.

Uzinduzi wa Royal Tour umekuwa balaa zaidi kwa hazina ya nchi! Rais wa nchi akiwa na wapambe wapatao 50 wamekaa zaidi ya wiki mbili nchini Marekani kufanya uzinduzi wa filamu hii kwa gharama za Watanzania walipa kodi. Wamarekani wamenufaika kwa kutembelewa na watalii kutoka Tanzania. Big brain amenufaika!

Kama hiyo haitoshi sasa uzinduzi utafanyika tena Tanzania kwa kodi zetu. Uzinduzi utafanyika Arusha, Zanzibar na Dar es Salaam. Tena washiriki watakuwa wengi zaidi! Haya ni matumizi mabaya ya fedha za umma! Tumepigwa!

Tujisahihishe!
Hakika Tanzania majuha ni wengi, hususan kwa wenye muono kama wako.

Kwani uliambiwa ile filamu imetengenezwa kwa sababu zipi?
 
Sijui viongozi wetu wanawaza nini lakini kwa kifupi ama wamepotoka au wanapotoshwa. Filamu ya aina ya Royal Tour si ya kwanza kuandaliwa duniani, ndugu zetu wa Rwanda walikwisha iandaa na imekwisha tazamwa sana. Sasa sijui kama viongozi wetu walikwisha fanya research ndogo tu kuona imeinufaishaje Rwanda. Manufaa ambayo kama Rwanda imepata basi yasingeweza kuwa siri ya ndani ya Rwanda bali pia spill over tungezipata hapa Tanzania au nchi nyingine za jirani.

Kitu cha kuzingatia ni kuwa wazo la kuandaa filamu hizi si la kwetu bali la hao wenye kumiliki uchumi lakini gharama ni za kwetu. Siyo siri katika kujenga uchumi wa nchi hakuna rafiki bali mwenye nguvu ndiye hushinda na kufaidi. Akili mu kichwa! Walio andaa wamefanikisha malengo yao bila jasho na kwa gharama nafuu.

Uzinduzi wa Royal Tour umekuwa balaa zaidi kwa hazina ya nchi! Rais wa nchi akiwa na wapambe wapatao 50 wamekaa zaidi ya wiki mbili nchini Marekani kufanya uzinduzi wa filamu hii kwa gharama za Watanzania walipa kodi. Wamarekani wamenufaika kwa kutembelewa na watalii kutoka Tanzania. Big brain amenufaika!

Kama hiyo haitoshi sasa uzinduzi utafanyika tena Tanzania kwa kodi zetu. Uzinduzi utafanyika Arusha, Zanzibar na Dar es Salaam. Tena washiriki watakuwa wengi zaidi! Haya ni matumizi mabaya ya fedha za umma! Tumepigwa!

Tujisahihishe!
Hii ni kwakuwa Kikwete karudi madarakani na kingmaker Rostam Aziz akiendesha nchi kwa remote control
 
Uko ileje kweli au jina lako 2, shida ya watz ndo hiyo unawekeza leo halafu unataka faida mwaka huo huo, wengine tuna miaka 5 na bado tunaamini faida itakuja2. Kwa hiyo ulitaka waende huko kwa kodi ya nani? Nyumbani kwako kukiwa na njaa unajifungia au unatoka kuokoa jahazi. Poor iq
Your IQ is lowest in human kingdom! Kwa kushindwa kung'amua kuwa unaliwa katika uwekezaji wako ni upumbavu! Utapata akili wakati tayari umefilisika!
Hivi unadhani kuna kitu tutapata hapa wakati hata miundombinu ya kupokea watalii haipo!

Tutapigwa sana!
 
Hakika Tanzania majuha ni wengi, hususan kwa wenye muono kama wako.

Kwani uliambiwa ile filamu imetengenezwa kwa sababu zipi?
Wee usiye juha hivi unadhani bado una akili timamu! Tuambie sasa imetengenezwa kwa sababu zipi!
 
Sijui viongozi wetu wanawaza nini lakini kwa kifupi ama wamepotoka au wanapotoshwa. Filamu ya aina ya Royal Tour si ya kwanza kuandaliwa duniani, ndugu zetu wa Rwanda walikwisha iandaa na imekwisha tazamwa sana. Sasa sijui kama viongozi wetu walikwisha fanya research ndogo tu kuona imeinufaishaje Rwanda. Manufaa ambayo kama Rwanda imepata basi yasingeweza kuwa siri ya ndani ya Rwanda bali pia spill over tungezipata hapa Tanzania au nchi nyingine za jirani.

Kitu cha kuzingatia ni kuwa wazo la kuandaa filamu hizi si la kwetu bali la hao wenye kumiliki uchumi lakini gharama ni za kwetu. Siyo siri katika kujenga uchumi wa nchi hakuna rafiki bali mwenye nguvu ndiye hushinda na kufaidi. Akili mu kichwa! Walio andaa wamefanikisha malengo yao bila jasho na kwa gharama nafuu.

Uzinduzi wa Royal Tour umekuwa balaa zaidi kwa hazina ya nchi! Rais wa nchi akiwa na wapambe wapatao 50 wamekaa zaidi ya wiki mbili nchini Marekani kufanya uzinduzi wa filamu hii kwa gharama za Watanzania walipa kodi. Wamarekani wamenufaika kwa kutembelewa na watalii kutoka Tanzania. Big brain amenufaika!

Kama hiyo haitoshi sasa uzinduzi utafanyika tena Tanzania kwa kodi zetu. Uzinduzi utafanyika Arusha, Zanzibar na Dar es Salaam. Tena washiriki watakuwa wengi zaidi! Haya ni matumizi mabaya ya fedha za umma! Tumepigwa!

Tujisahihishe!

Nasubiri kuona Watalii VIP 50 au 100 high profile individuals watakaokuja Tanzania kutalii na wakae wiki mbili at least ndio roho yangu itatulia. Tumepigwa mazima na tunaendelea kupigwa kwa kukosa maarifa.
 
Nasubiri kuona Watalii VIP 50 au 100 high profile individuals watakaokuja Tanzania kutalii na wakae wiki mbili at least ndio roho yangu itatulia. Tumepigwa mazima na tunaendelea kupigwa kwa kukosa maarifa.
Rais na wapambe wake wametumia kodi zetu kufanya utalii Marekani!
 
Umeandika vitu vya kubumba, tena kubumba haswa. Eti Samia Suluhu ni mtu maarufu sana duniani? Kivipi? Kwa lipi?
Mimi ni miongoni mwa watu waliompinga Magufuli kwa 100% na mpaka leo hii simkubali, lakini katika suala la umaarufu, Magufuli alikuwa maarufu huenda mara tano zaidi ya Samia Suluhu, iwe hapa Tanzania au duniani. Kwa nini? Sababu kuu ni hizi.

1. Magufuli alipenda na kulazimisha aonekane maarufu kuliko mtu yoyote, kwa gharama zote. Magufuli alitamani kuua umaarufu wa wanasiasa wote ili umaarufu wote ubakie kwake. Ndio rais aliyetaka picha yake kwa lazima itundikwe kwenye ofisi zote za umma na binafsi nchi nzima kwa lazima. Popote alipokuwepo alitaka redio na Tv zote zirushe tukio lake kwa lazima tena live.

2. Misimamo migumu, ya ajabu, isiyoyumba yumba. Duniani ilimfahamu Magufuli kwa misimamo yake ya ajabu. Kuanzia misimamo ya kuwapinga vikali mabeberu, kuwaangamiza wapinzani wake, Korona.

3. Visa, vituko na mikasa. Magufuli alikuwa ni mzee wa drama mwanzo mwisho. Magufuli aliona fahari kujiita Kichaa na kujifananisha na mungu. Magufuli aliamini anajua kila kitu na anaweza kufanya kila kitu na kikafanikiwa. Mtu wa namna hii akicheza movie ni lazima ingehit tu duniani.

Note:
Waandaji wa Royal tour hawakuwa wanamtafuta mtu maarufu ili kutengeneza movie yao bali walikuwa wanatafuta mkuu wa nchi husika (rais) ili kucheza movie yao kwa sababu ya aina ya maudhui( mchango wa wanasiasa katika kukuza utalii) na malengo (kutangaza utalii) ya movie yao. Hata kama Samia Suluhu angekuwa maarufu sana kisiasa duniani bado asingetosha kucheza movie yoyote maarufu huko marekani kwa kuwa hana kipaji chochote cha kucheza movie. Mwisho kabisa unapaswa kufahamu kuwa project ya Royal tour ilianza kabla hata Samia hajawa rais wa Tanzania, na rais yoyote wa Tanzania ambaye angekuwa madarakani ingemhusu ikiwa angeridhia kushiriki.
Sijaona maudhui ya hoja yako. Kuna dalili tunaongea hoja moja kwa maneno tofauti. Karibu
 
Nashukuru kwa maelezo yako marefu lakini kuweka rekodi sawa watalii kutoka Israel na France siyo matunda ya Royal Tour kwa sababu wamekuja hata kabla ya uzinduzi na pia wengi walishakuja kabla!
Trailor ilikwishatoka since December 2021 au early January 2022
 
Kwanza hongera sana umejitahidi kutoa ufafanuzi wako kwenye filamu ya Royal Tour, lakini niseme tu andika lako limejaa hisia sana (subjective) kuliko kuunda hoja zenye mashiko (objective) ili kubainisha uzito na ukweli wa hoja zako.

Kwanza kabisa: Hadi uamuzi wa kurusha Royal Tour kufikiwa kufanyika Amazon, watu wanatazama data, Amazon mwaka 2021 ilikuwa na Subcribers 200 milioni duniani zote, ambapo siku nne zilizopita Netflix wana watumiaji 221 milion, unaweza kuona kuona tofauti ni ndogo tu.

Hata hivyo, watu wanahama kutoka kwenye traditional media kama Televisheni kuhamia kwenye matumizi ya internet, hivyo kuiweka Amazoni ni rahisi zaidi watu kutazama kupitia simu janja kuliko National Georaphic and Animal Planet kama unavyosema.

Pili: Rais Samia ni maarufu zaidi unavyodhani, hata hivyo, Royal Tour kuja Tanzania ni kwa sababu ya Rais Samia Suluhu. Unadhani kama angekuwa Magufuli Peter Greeneberg angekuja?

Umaarufu wa Rais Samia Suluhu kwanza umeletwa na umaarufu wa Tanzania wakati wa Hayati Magufuli, dunia ilifuatilia hasa siasa za Tanzania na hata Magufuli alipofariki Tanzania ikawa maarufu zaidi na hata Rais aliyefuata akawa maarufu maradufu kwani ni mara ya kwanza, kwa Tanzania kuwa na Rais wa kwanza mwanamke.

Rais Samia Suluhu amekuwa maarufu baada ya kuhutubia Baraza la Umoja wa Mataifa 2021. Rais Samia pia ameingia katika rekodi ya wanawake 100 wenye ushawishi Duniani 2021 katika Jariba la Forbes.

Rais Samia hakuwa na ulazima wa kushika kila taarifa, lengo la filamu ni kuonesha zaidi mandhari na uzuri wa nchi. Rais ni tour guide kwenye ile movie, na kumtumia Rais kuwa tour guide ni kichochoe tu watu wengi duniani wafuatilie, ila sio kutegemea Rais awe packed na kila taarifa ya Mbuga na mnyama, ingeboa. Ndio maana, filamu ilikuwa na shots kali mwanzo mwisho, na most of time, Peter aliingiza sauti mwenyewe.

Peter Greenberg hajaanza na Rwanda kama unavyosema, soma hapa; "He also produces and hosts a television series called The Royal Tour which airs on PBS. The series features various heads of state giving Greenberg and viewers a personal tour of their country. It has featured a number of world leaders including New Zealand's Helen Clark, Israel's Benjamin Netanyahu, Abdullah II of Jordan, Peru's Alejandro Toledo, Mexico's Felipe CalderΓ³n, Rwanda's Paul Kagame, Poland's Mateusz Morawiecki and Tanzania's Samia Suluhu Hassan. Greenberg was previously the Travel Channel's chief correspondent."

Filamu ya Royal Tour tayari kabla ya kutoka, ilishavuta watalii wengi, zaidi ya 600 kutoka Israeli, zaidi ya 200 kutoka France na nchi nyingine za Ulaya.
Umejitahidi kuandika pumba bro,sijaona Michele hata punje,full pumbaaaaa
 
Mnaangaika na nchi ambayo ukishakuwa rais basi wewe ndio muamuzi wa kila kitu na ndio unaakili kipita wote na nchi nzima inakutazama wewe na kujazwa ujinga kwa sifa kedekede hata ambazo hazistahili
 
Mnaangaika na nchi ambayo ukishakuwa rais basi wewe ndio muamuzi wa kila kitu na ndio unaakili kipita wote na nchi nzima inakutazama wewe na kujazwa ujinga kwa sifa kedekede hata ambazo hazistahili
Katiba mpya ni sasa!
 
Sijui viongozi wetu wanawaza nini lakini kwa kifupi ama wamepotoka au wanapotoshwa. Filamu ya aina ya Royal Tour si ya kwanza kuandaliwa duniani, ndugu zetu wa Rwanda walikwisha iandaa na imekwisha tazamwa sana. Sasa sijui kama viongozi wetu walikwisha fanya research ndogo tu kuona imeinufaishaje Rwanda. Manufaa ambayo kama Rwanda imepata basi yasingeweza kuwa siri ya ndani ya Rwanda bali pia spill over tungezipata hapa Tanzania au nchi nyingine za jirani.

Kitu cha kuzingatia ni kuwa wazo la kuandaa filamu hizi si la kwetu bali la hao wenye kumiliki uchumi lakini gharama ni za kwetu. Siyo siri katika kujenga uchumi wa nchi hakuna rafiki bali mwenye nguvu ndiye hushinda na kufaidi. Akili mu kichwa! Walio andaa wamefanikisha malengo yao bila jasho na kwa gharama nafuu.

Uzinduzi wa Royal Tour umekuwa balaa zaidi kwa hazina ya nchi! Rais wa nchi akiwa na wapambe wapatao 50 wamekaa zaidi ya wiki mbili nchini Marekani kufanya uzinduzi wa filamu hii kwa gharama za Watanzania walipa kodi. Wamarekani wamenufaika kwa kutembelewa na watalii kutoka Tanzania. Big brain amenufaika!

Kama hiyo haitoshi sasa uzinduzi utafanyika tena Tanzania kwa kodi zetu. Uzinduzi utafanyika Arusha, Zanzibar na Dar es Salaam. Tena washiriki watakuwa wengi zaidi! Haya ni matumizi mabaya ya fedha za umma! Tumepigwa!

Tujisahihishe!
Ukikitaka kizuri lazima uzurike wanasema waswahili wa mjini. Zipo faida tutakuja kuziona mbele ya safari, wanasema haraka haraka haina baraka.

Tuwe wapole tu kuna neema katika hii Royal Tour, kwani kukua kwa utalii pesa inayopatikana inakuza sekta nyinginezo (multiplier effect).
 
Rais wa nchi maskini Kama hii kukaa nje ya nchi kwa wiki mbili na zaidi ya watu mia moja tena nchi yenye gharama kubwa ya maisha inasikitisha sana.
 
Hujaiona hiyo mikataba ya trl 11 ya akina rostam? Au ulitegemea uone vibabu vikiota jua seronera
Mkuu kwa hiyo hivi vizee nilivyoona huku robo majuzi vikiota moto ndo matunda ya royal tour pia?
 
Kwanza hongera sana umejitahidi kutoa ufafanuzi wako kwenye filamu ya Royal Tour, lakini niseme tu andika lako limejaa hisia sana (subjective) kuliko kuunda hoja zenye mashiko (objective) ili kubainisha uzito na ukweli wa hoja zako.

Kwanza kabisa: Hadi uamuzi wa kurusha Royal Tour kufikiwa kufanyika Amazon, watu wanatazama data, Amazon mwaka 2021 ilikuwa na Subcribers 200 milioni duniani zote, ambapo siku nne zilizopita Netflix wana watumiaji 221 milion, unaweza kuona kuona tofauti ni ndogo tu.

Hata hivyo, watu wanahama kutoka kwenye traditional media kama Televisheni kuhamia kwenye matumizi ya internet, hivyo kuiweka Amazoni ni rahisi zaidi watu kutazama kupitia simu janja kuliko National Georaphic and Animal Planet kama unavyosema.

Pili: Rais Samia ni maarufu zaidi unavyodhani, hata hivyo, Royal Tour kuja Tanzania ni kwa sababu ya Rais Samia Suluhu. Unadhani kama angekuwa Magufuli Peter Greeneberg angekuja?

Umaarufu wa Rais Samia Suluhu kwanza umeletwa na umaarufu wa Tanzania wakati wa Hayati Magufuli, dunia ilifuatilia hasa siasa za Tanzania na hata Magufuli alipofariki Tanzania ikawa maarufu zaidi na hata Rais aliyefuata akawa maarufu maradufu kwani ni mara ya kwanza, kwa Tanzania kuwa na Rais wa kwanza mwanamke.

Rais Samia Suluhu amekuwa maarufu baada ya kuhutubia Baraza la Umoja wa Mataifa 2021. Rais Samia pia ameingia katika rekodi ya wanawake 100 wenye ushawishi Duniani 2021 katika Jariba la Forbes.

Rais Samia hakuwa na ulazima wa kushika kila taarifa, lengo la filamu ni kuonesha zaidi mandhari na uzuri wa nchi. Rais ni tour guide kwenye ile movie, na kumtumia Rais kuwa tour guide ni kichochoe tu watu wengi duniani wafuatilie, ila sio kutegemea Rais awe packed na kila taarifa ya Mbuga na mnyama, ingeboa. Ndio maana, filamu ilikuwa na shots kali mwanzo mwisho, na most of time, Peter aliingiza sauti mwenyewe.

Peter Greenberg hajaanza na Rwanda kama unavyosema, soma hapa; "He also produces and hosts a television series called The Royal Tour which airs on PBS. The series features various heads of state giving Greenberg and viewers a personal tour of their country. It has featured a number of world leaders including New Zealand's Helen Clark, Israel's Benjamin Netanyahu, Abdullah II of Jordan, Peru's Alejandro Toledo, Mexico's Felipe CalderΓ³n, Rwanda's Paul Kagame, Poland's Mateusz Morawiecki and Tanzania's Samia Suluhu Hassan. Greenberg was previously the Travel Channel's chief correspondent."

Filamu ya Royal Tour tayari kabla ya kutoka, ilishavuta watalii wengi, zaidi ya 600 kutoka Israeli, zaidi ya 200 kutoka France na nchi nyingine za Ulaya.
Pumba
 
Rais Samia hakuwa na ulazima wa kushika kila taarifa, lengo la filamu ni kuonesha zaidi mandhari na uzuri wa nchi. Rais ni tour guide kwenye ile movie, na kumtumia Rais kuwa tour guide ni kichochoe tu watu wengi duniani wafuatilie, ila sio kutegemea Rais awe packed na kila taarifa ya Mbuga na mnyama, ingeboa. Ndio maana, filamu ilikuwa na shots kali mwanzo mwisho, na most of time, Peter aliingiza sauti mwenyewe.
Narudia tena na tena, kuhusu mambo ya utalii shida ya sinema hiyo mmechemka sana, huwezi kunielewa ila ukiwa karibu na wadau wa sekta ya utalii ndipo utaelewa.

Pili mmechemka kwa upande wa pili, hiyo sinema yenu mmegusia Unguja na Arusha tu, mmesahau kugusia sehemu muhimu kutoka mikoa ya kusini hasa Kikwa kule Lindi.
 
Back
Top Bottom