Uandaaji wa filamu ya Royal Tour tumepigwa lakini uzinduzi wake tunapigwa zaidi!

CHAWAAAAAA....wahini huku haraka, maana hatutapata posho tusipomtetea Mkuu wetu wa nchi [emoji87]
πŸ˜„πŸ˜ƒπŸ˜€πŸ˜…πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜πŸ˜„
Waje Waende Chap Kununua Omo, Foma Limao, Detol, Jik Kumtakasa Mkuu Na Hii Thread Yenye Nongwa, Husda, Kijicho, Jino Pembe





Ila Royal Tour Tutapigwa, Tutachakaa Tumekuwa Kama Mbwa Ko Ko





Tumekuwa Kapu La Mjinga, Mwerevu Anatia Mkono
Bwana Bure Hayupo Ndugu Zangu Tuchape Kazi Sana!
 
Hakika Tanzania majuha ni wengi, hususan kwa wenye muono kama wako.

Kwani uliambiwa ile filamu imetengenezwa kwa sababu zipi?
 
Hii ni kwakuwa Kikwete karudi madarakani na kingmaker Rostam Aziz akiendesha nchi kwa remote control
 
Your IQ is lowest in human kingdom! Kwa kushindwa kung'amua kuwa unaliwa katika uwekezaji wako ni upumbavu! Utapata akili wakati tayari umefilisika!
Hivi unadhani kuna kitu tutapata hapa wakati hata miundombinu ya kupokea watalii haipo!

Tutapigwa sana!
 
Hakika Tanzania majuha ni wengi, hususan kwa wenye muono kama wako.

Kwani uliambiwa ile filamu imetengenezwa kwa sababu zipi?
Wee usiye juha hivi unadhani bado una akili timamu! Tuambie sasa imetengenezwa kwa sababu zipi!
 

Nasubiri kuona Watalii VIP 50 au 100 high profile individuals watakaokuja Tanzania kutalii na wakae wiki mbili at least ndio roho yangu itatulia. Tumepigwa mazima na tunaendelea kupigwa kwa kukosa maarifa.
 
Nasubiri kuona Watalii VIP 50 au 100 high profile individuals watakaokuja Tanzania kutalii na wakae wiki mbili at least ndio roho yangu itatulia. Tumepigwa mazima na tunaendelea kupigwa kwa kukosa maarifa.
Rais na wapambe wake wametumia kodi zetu kufanya utalii Marekani!
 
Sijaona maudhui ya hoja yako. Kuna dalili tunaongea hoja moja kwa maneno tofauti. Karibu
 
Nashukuru kwa maelezo yako marefu lakini kuweka rekodi sawa watalii kutoka Israel na France siyo matunda ya Royal Tour kwa sababu wamekuja hata kabla ya uzinduzi na pia wengi walishakuja kabla!
Trailor ilikwishatoka since December 2021 au early January 2022
 
Umejitahidi kuandika pumba bro,sijaona Michele hata punje,full pumbaaaaa
 
Mnaangaika na nchi ambayo ukishakuwa rais basi wewe ndio muamuzi wa kila kitu na ndio unaakili kipita wote na nchi nzima inakutazama wewe na kujazwa ujinga kwa sifa kedekede hata ambazo hazistahili
 
Mnaangaika na nchi ambayo ukishakuwa rais basi wewe ndio muamuzi wa kila kitu na ndio unaakili kipita wote na nchi nzima inakutazama wewe na kujazwa ujinga kwa sifa kedekede hata ambazo hazistahili
Katiba mpya ni sasa!
 
Ukikitaka kizuri lazima uzurike wanasema waswahili wa mjini. Zipo faida tutakuja kuziona mbele ya safari, wanasema haraka haraka haina baraka.

Tuwe wapole tu kuna neema katika hii Royal Tour, kwani kukua kwa utalii pesa inayopatikana inakuza sekta nyinginezo (multiplier effect).
 
Rais wa nchi maskini Kama hii kukaa nje ya nchi kwa wiki mbili na zaidi ya watu mia moja tena nchi yenye gharama kubwa ya maisha inasikitisha sana.
 
Hujaiona hiyo mikataba ya trl 11 ya akina rostam? Au ulitegemea uone vibabu vikiota jua seronera
Mkuu kwa hiyo hivi vizee nilivyoona huku robo majuzi vikiota moto ndo matunda ya royal tour pia?
 
Pumba
 
Narudia tena na tena, kuhusu mambo ya utalii shida ya sinema hiyo mmechemka sana, huwezi kunielewa ila ukiwa karibu na wadau wa sekta ya utalii ndipo utaelewa.

Pili mmechemka kwa upande wa pili, hiyo sinema yenu mmegusia Unguja na Arusha tu, mmesahau kugusia sehemu muhimu kutoka mikoa ya kusini hasa Kikwa kule Lindi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…