Uandaaji wa filamu ya Royal Tour tumepigwa lakini uzinduzi wake tunapigwa zaidi!

Utalii kukua kwa miundombinu ipi?
 
Umeniwahi, nilikua naanda mada niliyotaka kusema bado uwazi ni tatizo chini ya serikali hii ya CCM
Pascal Mayalla napata wasiwasi ungekuwa mbunge hawa watu wanaodaiwa kuwa si waongea ukweli ungeshirikiana nao vipi? Maana naona suala la uwazi bado huko lumumba ni tatizo kubwa
Rais Samia Suluhu amekuwa maarufu baada ya kuhutubia Baraza la Umoja wa Mataifa 2021. Rais Samia pia ameingia katika rekodi ya wanawake 100 wenye ushawishi Duniani 2021 katika Jariba la Forbes.

Mimi ni miongoni mwa watu waliompinga Magufuli kwa 100% na mpaka leo hii simkubali, lakini katika suala la umaarufu, Magufuli alikuwa maarufu huenda mara tano zaidi ya Samia Suluhu, iwe hapa Tanzania au duniani. Kwa nini? Sababu kuu ni hizi.
 
Huyu mama arudi maana kauli yake imeleta mfumuko wa bei Tanzania nzima
 
Umeshindwa kuiweka hiyo miundombinu? Ni fursa unaiona inakushinda wenzako wanaitumia.

Unangoja ufanyiwe au ufanyiziwe?
 
Utalii kukua kwa miundombinu ipi?
Ndege zinazonunuliwa ni miundombinu itakayosaidia kukuza utalii. JPM wakati anazinunua hizi ndege wapingaji wa kila kitu humu JF waliponda.

Samia anaifungua nchi kwa maana halisi, watanzania bado na akili zetu zile zile za kejeli na kupinga. Hatukui kifikra wala kimtazamo.
 
Tunakwenda na big catch. Wewe na Sukuma Gang tumewacha mtengeneze ya kwenu itakayoonyesha vivutio vya kusini
 
Huko Amazon ni Watanzania wachache sana wataiona. Bora wangeiweka Netflix au Showmax..... Ngoja tuone huo uzinduzi wa Arusha. Labda watauza CDs kwa Wananchi.
 
Subiri uone zitakavyotumika!
 
Hata bombadia walisema tumepigwa, tz hua tunapigwa kila siku sio, Samia the planner
 
Pasi ndefu na Kilwa94 angalieni hii mtu inavyotapika lugha ya kitoto.
Hijui kitu wewe msukuma zaidi ya kula mahindi barabarani, kununua mapapai na kugawa, kunywa kahawa vijiweni na kununua jogoo.

Ile Serikali ya washamba kutoka Kolomije ilizikwa pamoja na mungu wenu Chato mwaka jana mweziachi
 
Hijui kitu wewe msukuma zaidi ya kula mahindi barabarani, kununua mapapai na kugawa, kunywa kahawa vijiweni na kununua jogoo.

Ile Serikali ya washamba kutoka Kolomije ilizikwa pamoja na mungu wenu Chato mwaka jana mweziachi
Pole sana, mpaka mwaka kuisha marehemu atakuwa na matarajio kapata wajukuu wa kutosha si kwa kufunguka huko aseee.

Tunajiandaa kununua zawadi as diapers.
 
Wewe ndo popoma kweli. Huoni Rwanda inavyopaa kiuchumi na sector ya utalii ndo inaipaisha? Kwani umejiuliza Rwanda pesa ya kigeni wanaipataje!! Nenda Rwanda ujionee ndo uje ufute ujinga wako hapa. Sukuma gang mna kazi Sana mwaka huu kumtetea Simba wa yuda
 
Nikijibishana na mpumbavu nitakuwa mjinga! Rwanda umefika au unasimuliwa?
 
Ukanikumbusha ile hashtag ya #whatMagufuliwoulddo dunia nzima ili trend Aiseeeh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…