MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 14,588
- 32,361
Ila nilikuja kugundua Jay anapendwa na kila mtu.. hadi Mange akanyoosha mikono pamoja na ushetani wake. Profesa anapendwa na watu wa dini na vyama vyote.Anything extra is harmful,Dunia imejaa watu wenye Kila aina ,Yuko sawa ila anakosea anafanya Sasa wengine waone waume zao Bure ,Zama angefanya qiyasi tu Ili kulinda heshima yake,sio wote wanapenda Zama alivyoolewa,anamiliki vya kumiliki,haijalishi hayo ya nyuma ya pazia laiti km angekua kimyaa au anafanya Kwa uchache yasingefika huko mpk kudhalilishwa huku Kwa'ulisi'..
Ukijisifu sana unakosa mtetezi
Mange alimposti profesa Jay alitukanwa mpk amefuta
Na mbunge babu taleπ€£π€£Hili ni tatizo kubwa sana kwa watu maarufu wengi. Hadi sasa hivi bado Mkubwa Fella hana mpinzani kwa uandishi wa hovyo. Nadhani Fella nae ni mtu wa kusini. Mume wa Zamaradi akiongeza juhudi anaweza kuvunja rekodi ya Mkubwa Fella. Harmonize nae hayuko nyuma kwenye hili jambo. Kutoka Kaskazini kuna DC msomi Nikki wa Pili ana tatizo kwenye kuandika.
Acha kutetea ujinga. Elimu haifananishwi na pesa. Unaweza kuwa na pesa bado ukaonekana mpumbavu tu.Hivi mwandiko mzuri na MAISHA yanahusiana vipi?
Nyie wenye hati safi isiyo na mushkeli benk akaunt zenu znasoma BILION ngapi?
Lijinga hilo lilikimbia umandeAcha kutetea ujinga. Elimu haifananishwi na pesa. Unaweza kuwa na pesa bado ukaonekana mpumbavu tu.
Ile nyumba sio ya Ruge, ile nyumba ni ya PM, ilikua ishaanza kujengwa wao wakaimalizia na kuhamia, siku PM akiamua kuchukua mjengo wake sijui wataenda wapiHalafu hapo kwenye waraka wake kaisema familia ya Ruge,eti hawajawahi kuleta hata chupi,kamsema Kusaga alikataa kutoa ada na kamsema Ruge alikufa bila kuacha mambo sawa. Kasahau kuwa anaishi kwenye nyumba iliyojengwa na marehemu Ruge. Ila sema ninasikia wanaume wa kutoka Lindi na Mtwara wapo vizuri sana kwenye bed.
Siku watoto wakirudiswha ada jamaa huwa analazwa nje, zama mafia sanaHulisi = Urithi..
Sijasoma sana saikolojia ila Zamaradi anatumia nguvu nyingi sana kuonesha kwamba ndoa yake ni bora haswa kumsifia mume wake,kimsingi inaweza ikawa kinyume chake..ana tatizo la kisaikolojia(afya ya akili)
HapanaaaaKhaa nimeshindwa soma, mwandiko unaumiza kichwa na macho.
Akiambiwa ajieleze kwa maandishi sijui itakuwaje sasa??
Hata kama ana hela ila kushindwa kushika kalamu ni aibu ππππ
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mtu ulikua unamuheshimu tu vizuri mara ghafla unaona ameandika ulisi
Tufanyeje sasa na wametuambia tuwaige wenye fweza..!![emoji23][emoji23][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]hebu mniache miyeee....daah yaani nyie watu Kuna group la kitaa nipo kuna members wote baas Kuna Wengine wakiandika kaaa.... utacheka Mpk baasi ndo ulivoandika Wewe Sasa[emoji23][emoji1][emoji1][emoji1]
Hamelisi nini kwani? Kwani na yeye hana nyumba yaulis?Nahona umelisi ka uyo jamahaaa
[emoji23][emoji23] oyoooWanawake tunapitia mengi
Lakini kwani mnataka pesa au mwandiko mzuri? [emoji23][emoji23]Wanawake tunapitia mengi
Wewe jamaa unanikera sasa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji3][emoji3]
Mambo mengine yanafurahisha licha ya kuwa Kwa mlengwa inaweza kuwa huzuni.
Husubufu kama uu tuliuongopa, kuadika na kusoma ni muhimu
π€£π€£π€£π€£π€£ Sawasawa,wahache kabisa zalauHacheni zalau usimuzalau husiyemujua
πππππ€£π€£π€£π€£π€£ Sawasawa,wahache kabisa zalau