atlas copco
JF-Expert Member
- Jun 15, 2015
- 8,497
- 9,728
Uza tuu unawaza nin aisee,si unamwambia tuu Mange, "please hide my id"unakunja buku tatu yako,ni mpunga mrefu etiAnatoa hata wale wasanii kuhojiwa wanalipa mpk 3m,Sasa exclusive kama ya Zamaradi ujue pesa si chini ya 3m hapo mtu kapata..ni rahisi mtu kukusaliti Mimi tu naogopa Mungu Kwa kweli ila ningeuza mtu Siku Moja [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1751][emoji1751][emoji1751][emoji1751][emoji1751][emoji1751]
Ngoja nikusaidie kumtag kabisaa Cute Wife pita kipandee hii[emoji2]Alafu wewe si una demu wako humu au unataka kunitafutia ugomvi [emoji38][emoji38][emoji38]
Vilaza wanatafta backup ya hela. Ukiwa mjinga ni mjinga tu ujinga hauna Substitute.Watu waliokuwa hawazingatii shule wanaumbuka sana. Utetezi wao ni kuwa ukiwa na hela inatosha.
π€£ π€£ π€£ π€£ π€£ Mke wako Mama J au sio πJamaa anaandika Kama MKE wangu [emoji4]
π€£ π€£ π€£ π€£ π€£ π€£Alikimbia kutoka kwa Ruge akili kubwa kaangukia kwa bichwa kubwa akili nusu kijiko
π€£π€£Anza keshoπ€£ Napenda kufurahi tu maisha mafupi haya, unataka nianze lini kufanya hivyo? Sahizi au badae kidogo? π€£π€£π€£
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]Huyu ndo yule Zamaradi akimwekea mabango ya kumpenda kwenye jiji la Dar?
Hahaha usijali tuombe uzima tu.π€£π€£Anza kesho
Eeh leo Nimetoka Safari Sina nguvu ya kukujibuπ€£πHahaha usijali tuombe uzima tu.
Na sijui kawafanya nn rfk zake mana hata wakihojiwa hawasemi sbb ya ugomvi wao. Nahisi zama ana shidaTatizo lake ndio Hilo nae,much know sana na kujionaga Yuko perfect ndio maana hadumu na marafiki
Hahaha haya pole sana na safari mwaya.Eeh leo Nimetoka Safari Sina nguvu ya kukujibuπ€£π
ππππππππππππππππππππππππππππKataka kumsola Meggy ,Yu meggy nae kalemwaa,kaenda kumsola Kwa Mange Kwa uchunguu
Hlf zama kuna kipindi alianzisha shindano, watu wampelekee ideas mbalimbali na mshindi kupewa milioni moja. Watu wakaandika weee hd leo hamna mshindi alotangazwaMbwembwe tu pale aliingia chaka
Ujue Kuna watu wanapenda sifa sana kias wakipata majanga watu wanashindwa kuwatetea hata kidogo..ifike mahala watu wakubali Hali zao
Kujifanya Wana pesa halafu wanadhulumu watu kitu ambacho sio kizuri kabisaa
Ila kusema ukweli Marehemu Ruge ni mtu aliyetengeneza maisha ya watu wengi huku akifeli maisha yake binafsi. Hii kitaalam sijui tunaweza kuielezeaje
Yaani ana shida kubwa...Na sijui kawafanya nn rfk zake mana hata wakihojiwa hawasemi sbb ya ugomvi wao. Nahisi zama ana shida
π€£ Sole ndio nini mzee mmeamua kutuaa na vicheko humu
Raia wanataka kufanya maisha yawe magumu kisa emoji tuu