Ironbutterfly
JF-Expert Member
- Feb 5, 2023
- 3,042
- 8,227
Hamna usitetee ujingaHamna kawapoteza maboya trust me. Hivi unafikiri Zama angeshindwa kumuandikia mume wake ili kuficha aibu? Amefanya hivyo kuwapoteza [emoji1783]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji38][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji38][emoji38]Muhesimu mutu atakama hajuhi kuadika.
Mimi memuhelewa uyo muhadisi wa abali
Mwanaumee asiejua kusoma na kuandika halafu Wana pesa wengi wako inferior asikuambie mtu Tena Kwa wake zao hua hawajaimini kabisaa at least awe form four leaver au six leaver la sivyo tunapata shida Sana sisi wanawake brother na aina hizo za wanaumeWanamdharau jamaa ilihali akaunt zao hao wasomi hazisomi hata 1m.
Mimi siwezi zarau mtu asiye jua kuandika na kusoma kwasababu anaye nipa madili za mamilion ni jamaa yangu mkongomani nayeye hajui kusoma wala kuandika
Hamna usitetee ujinga
Huenda nawe ulikimbia umande[emoji1787][emoji1787]
Exactly [emoji817][emoji817][emoji817][emoji817]Hawa motivational wives kuna trauma wanazijenga kwa wanawake ambao kwa namna moja ama ingine wanaume wao hawawapi support ama wanawapa support duni..
Au kwa kuona alichofanyiwa Zamaradi, basi wanajiona wao kama walikosea kuolewa hapo walipo..
Kumbe huenda wao wako vizuri kumshinda huyo motivational speaker..
We ulikimbia shule kama shebby vilaza lazima mteteaneSema wewe mmbea na Shebby kajua kucheza na wambea. [emoji2956][emoji2956][emoji2956]
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]hivi ujue nawaza hakujua madhara ya alichokua anafanya?!!Kamuaibisha wife material na role model wa wanawake wengi.... si angempa hata Shuby amuandikie jaman
🤣🤣🤣Nilitaka nikutukane ila nikakumbuka sina utani na wewe wala huenda hatuendani kiumriHuyu ndo maana halisi ya "msingi kiuno"
Zama hawezagi kukaa kimya ujue Kaa umemsoma hua anajibu sana tuu,Dina alimjibu,Hamisa alimjibu yaani akipigwa kwenye mshono mbona anafokaa!!!Ila Zama na huyu 'Misheni Town 'wake wameyakanyaga...
Wangekaa kimya ingewasaidia....
[emoji23][emoji23][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Mimi nimeona tu pale alipokuwa ANATUSII kuhusu MAOJIANO wakati ALIKATA KURIPA ADA na kumbe yeye hali HULISI au ULISI na huku dalali muuza nyumba AJALETWA ili ipostiwe ULIOLISI
We ulikimbia shule kama shebby vilaza lazima mteteane
Hapo hata cheti Cha lasaba c huna[emoji1787]kihiyo
Na ndo maaana ana kisirani sana kidogo katoa bastola kutishia watuJamaa ni kilaza halafu eti ni usalama. Ndugu wa Majaliwa
We kilaza usinichosheWambea mnateseka sana [emoji1787]
Kapita maisha magumu mnoNa ndo maaana ana kisirani sana kidogo katoa bastola kutishia watu
Jamaa ana shida mahala,mara nyingi wasiosoma au waliopitia maisha magumu wakaja kua at least na maisha kidogo wanakuaga watata sana ujue, kibri kingi.
Hajui kuandika bwana amtoe nani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Shebby kafanya kusudi kuwatoa kwenye mchezo wambea……. Hiyo ni akili kubwa
We kilaza usinichoshe
Jitu zima halijui kuandika
Tena hata usizae watoto usituongezee wajinga mtaani
Kajiandikishe memkwa[emoji1787][emoji1787]
Kwanza umeona gazeti la Leo la kumtetea mumewe kuanzia kuuza mitumba mpk sijui wpai wapi hukoo ...yote Ile kumaanisha jamaa ni Hustler kimtindo hvyo anatakiwa apewe sifaHamna usitetee ujinga
Huenda nawe ulikimbia umande[emoji1787][emoji1787]
Hajui kuandika bwana amtoe nani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Walipe Hela za watu