Uasi mkubwa unakuja CCM

Katibu alikiri kuupokea BARUA ya mstaafu Ndungay

Sent from my Infinix X653 using JamiiForums mobile app
 
Divide and rule
 
Raia wa Tz wasio na meno ni kama mazombi,ata mkiambiwa cha kufanya hamtofanya maana kuandamana tu kunawashinda.
Wabongo sio wa kuwategemea,ukijidai kukomaa utanyooka mwenyewe,Mbowe yupo huko anateseka hakuna anaejali.
 
Ndio maana waliona waanze kumtoa tumbo tumbo then wafate na stone hili kwenye chama abakie mmoja mwenye nguvu, maana yule mwenye miaka 90 akili isharudi utotoni......lakini yote kwa yote huyu bi mdashi hasifikiri kundi jipya kukaa kwake kimya ni kwamba wamefyata.......jeshi la wananchi limetoka kutoa kauli majuzi na hiyo sio kawaida, that means huko juu wameshindwa kupata mapatano.
 
Pigeni ramli chonganishi ila shehe wenu ameishiwa udi na ubani na maduka hayafunguliwi usiku huu wa manane
 
Hakuna kitu kinaitwa sukuma gang ni conspiracy tu kuharibu reputation ya watu fulani

Kuhusu ccm maji ndio kwanza yanachemka
Naamini lile tamko la jeshini halijatoka bahati mbaya
Tuombe busara itawale wastaafu wasitumie nguvu zao vibaya
Jeshini kuna habari gani
 
Itakuwa Bora wakidhoofishana itakuwa fursa kwa wenye uhitaki wa katiba mpya iondoshe ujinga ujinga mwingine🤔.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…