Uasi mkubwa unakuja CCM

Uasi mkubwa unakuja CCM

Msingi wa taifa umeshikiliwa vizuri hamna wa kuiharibu hii nchi.
acha kujiaminisha ujinga mwenzio Omary Albashir wa Sudan na Alpha conde wa Guinea alikua na fikra kama hizo hawakuamini siku walipokaliashwa chini kiboya Sana
Mpaka Leo wanaona mauza uza tu hii ni Dunia lolote linaweza tokea Ndani ya dk 10 zijazo kikabadilisha Kila kitu!
 
Kwanini waifanye nchi kama kampuni kubwa yenye maslahi ya pande mbili?

Siamini kama binadamu wanaweza kuuwana au kurogana au kuwekeana vikwazo kisa tu wawe madarakani

Ila mambo haya yapo especially kwenye nchi masikini ambapo mtu kupata mali nyingi lazima awe siasani na awe na mchongo
Mungu tusaidie ila kuna watu wana roho za kichawi
 
mnapenda kutafuta sababu ya kumkosoa mwendazake kila sehemu inapotakiwa kusifia hata kama nafsi zenu zinakiri alifanya jambo la maana.

embj nikuulize,jamaa katika baraza lake hawa erites walikuwepo kwa sababu zipi kama hakuwa na mpango nao!!!

yeye hakutaka mazoea ya kix3nge kama ya sasa mtu kujiona chama ni mali yake,mpaka kufikia kujimilikisha mali za chama.
Kwa hiyo kwa mawazo yako The elites wako kwenye baraza la mawaziri? Hebu rudia tena kusoma nilichoandika
 
Hili ndilo jibu sahihi
MPE MUDA
WEMA NA UOVU UTAJITENGA
TUWAPE MUDA
WA MASHARIKI KASKAZINI KUSINI NA MAGHARIBI NA WALIO KUZIMU..
Wafu hawana mwendo tena... Walishaupiga wakamaliza
 
Kwanini waifanye nchi kama kampuni kubwa yenye maslahi ya pande mbili?

Siamini kama binadamu wanaweza kuuwana au kurogana au kuwekeana vikwazo kisa tu wawe madarakani

Ila mambo haya yapo especially kwenye nchi masikini ambapo mtu kupata mali nyingi lazima awe siasani na awe na mchongo
Mungu tusaidie ila kuna watu wana roho za kichawi
mambo haya yapo especially kwenye nchi masikini ambapo mtu kupata mali nyingi lazima awe siasani na awe na mchongo
Mungu tusaidie ila kuna watu wana roho za kichawi
 
JamiiForums-1601753117.jpg
 
Aiseh;;mkuu mshanar ungesema pia sisi raia tufanyaje yaani tahadhari gani tuchukue wakati hali ikiwa tete?
Dawa pekee ni kupaza sauti ya uhitaji wa katiba mpya na Bora bila kuogopa kelele ziwatoe ndani na wajikute wanacheza wimbo tunaoimba sisi
 
hakuna kundi la ovyo kama hilo lililotengenezwa na JPM.
Kundi lililokuwa lina viumbe waovu,majambazi,waongo,wafiraji,watekaji,wauaji, washamba na wanafiki sampuli ya kina Sabaya kwa kujiita wazalendo.
Ndo ulivyoambiwa na wakina msoga gang!?
 
Ni uasi ambao haujapata kutokea ndani ya chama cha mapinduzi CCM.. Baada ya kukaa madarakani muda mrefu sana ni kama kuna kikundi ndani yake kimejikuta kinajiona wao ndio ELITES wa hii nchi, na lolote ama chochote kinachofanyika ni lazima kipate kibali chao
Imefika mahali kikundi hicho kilichojitengenezea ukwasi na mtandao wa ajabu wenye ufadhili mkubwa wa matajiri waliojatajirikia ccm ambao si watanzania asilia kwa asilimia 100.. Kina uwezo wa nani awe nani kwenye nafasi gani

Ujio wa mwendazake ulifanikiwa kwa kiasi chake kuudhoofisha huu mtandao wa hiki kikundi lakini naye akaaza kuharibu kwa kuanza kutengeneza himaya nyingine mpya ya upande mmoja tena kwa ukatili mkubwa sana
Hapa kitisho kilikuwa wazi ni vita kati ya himaya mpya ya mwendazake vs mtandao kongwe THE ELITES ... Halafu sasa hiki kirusi kipya cha visiwani chenye vinasaba vingi na The elites! Hili linakolezwa na fununu zisizothibitishwa kwamba Taifa la Tz liko chini ya watoto wa familia moja.. 'Baba mmoja'... Ni TUHUMA!

Yaliyotokea ya mhimili mwingine mpaka kupelekea kujiuzulu, kauli ya mkuu wa kaya kuhusiana na 2025, uteuzi wa baraza jipya la mawaziri, na makatibu wakuu pamoja na wengine wote kuna tafsiri moja tuu... Uasi ujao na vita mpya kati ya sukuma gang, mtandao wa the elites , visiwani na bara na chawa wenye maslahi kwa kila upande..
Kila kundi liko chimbo likijiandaa kivyake... Ni mchezo wa kuwindana...uasi mkubwa waja...na ndio nafasi pekee ya walio nje ya mfumo ku take cover!

Mkuu mama anaupiga mwingi:

Baraza jipya: Watu wale wale, wao Hawajiajiri?

Ushauri wa bure: "kazi iendelee!"

Cc: Jumbe Brown
 
Ni uasi ambao haujapata kutokea ndani ya chama cha mapinduzi CCM.. Baada ya kukaa madarakani muda mrefu sana ni kama kuna kikundi ndani yake kimejikuta kinajiona wao ndio ELITES wa hii nchi, na lolote ama chochote kinachofanyika ni lazima kipate kibali chao
Imefika mahali kikundi hicho kilichojitengenezea ukwasi na mtandao wa ajabu wenye ufadhili mkubwa wa matajiri waliojatajirikia ccm ambao si watanzania asilia kwa asilimia 100.. Kina uwezo wa nani awe nani kwenye nafasi gani

Ujio wa mwendazake ulifanikiwa kwa kiasi chake kuudhoofisha huu mtandao wa hiki kikundi lakini naye akaaza kuharibu kwa kuanza kutengeneza himaya nyingine mpya ya upande mmoja tena kwa ukatili mkubwa sana
Hapa kitisho kilikuwa wazi ni vita kati ya himaya mpya ya mwendazake vs mtandao kongwe THE ELITES ... Halafu sasa hiki kirusi kipya cha visiwani chenye vinasaba vingi na The elites! Hili linakolezwa na fununu zisizothibitishwa kwamba Taifa la Tz liko chini ya watoto wa familia moja.. 'Baba mmoja'... Ni TUHUMA!

Yaliyotokea ya mhimili mwingine mpaka kupelekea kujiuzulu, kauli ya mkuu wa kaya kuhusiana na 2025, uteuzi wa baraza jipya la mawaziri, na makatibu wakuu pamoja na wengine wote kuna tafsiri moja tuu... Uasi ujao na vita mpya kati ya sukuma gang, mtandao wa the elites , visiwani na bara na chawa wenye maslahi kwa kila upande..
Kila kundi liko chimbo likijiandaa kivyake... Ni mchezo wa kuwindana...uasi mkubwa waja...na ndio nafasi pekee ya walio nje ya mfumo ku take cover!
Bora huo mtandao uwepo tunapata hata mchuzi kuliko ushenzi wa kina mwendazake.

Sasa ushenzi wa kuharibu uchumi wetu ndio inatufaidi nini?

Mathalani saizi tenda zimeongezeka,ajira zinatolewa,na biashara zinaanza kwenda.

Sasa msituletee upuuzi wenu
 
Hawa watu hawajui magu aliharibu mifumo kwa upande flan japo alikula mfupa uliowashinda wengine.. Kuna wkt magu aliharibu mtake msitake.

Kwa mfano, kujitenga na magharib ni kosa.

Kutengeneza makundi ni kosa gang hizi ni upuuzi.

Kutoshinikiza katiba na kuilinda yye aliikiuka kuivunja

Kutengeneza wahuni..wakina sabay na makonda...

Kuua upinzani ni kosa kubwa sana
Kamwe siwezi kukubariana na mfumo wa kishenzi wa kuendesha uchumi na siasa enzi za mwendazake.

Ni ajabu kwamba kuna watu wanatamani ushenzi kama ule.
 
Wanaifanya nchi yakwao peke Yao nasisi watanzania tunakenua tu kama mingese vile, tupaze sauti rasilimali za nchi zinatafunwa na wachache, kila siku machawa wa SSH wanaongezeka kulinda matumbo Yao wanatufanya watanzania maiti manina
Bora kuwa chawa wa tajiri kuliko chawa wa maskini.

Maskini ndio waliharibu Zimbabwe hadi kesho hakuna Nchi ni upuuzi mtupu,kwa nini hamjifunzi?

Kama unataka kuingia kwenye hiyo familia tafuta pesa ndio upenye sio kuleta taharuki na kulazimisha.

Narudia tena ni Bora hao waendelee kutawala ilimradi kuna mazingira mazuri ya sisi kuweza kujitafitia sio mshenzi na mpuuzi ambae anataka watu wawe maskini Ili wamuabudu.
 
Back
Top Bottom