Ubabaishaji wa Benki ya NBC kwenye kutoa mikopo

Hii kubwa! Makato ya mkopo yanaanza kabla mteja hajaona hizo pesa za mkopo kwenye account yake? Huu ni wizi wa mchana.

Tatizo hakuna idara husika serikalini inayopokea na kufuatilia malalamiko ya wateja.
 
Hii bank imekuwa ya kizee sana, yani kama unatala kwenda kupoteza siku yako ukila kiyoyozi bank na NBC,
 
Usizidishe tu miaka 3, Benji zote ubabaishaji umewajaa na kinachouma processing fee
Kwani processing fee inakuwaje? Mfano umekopa milioni moja na riba jumlisha insurance kwa mwaka unarudisha 1,226,000/.
Swali processing fee inajumlishwa kwenye marejesho ama watakata kwenye iyo 1 million uliyokopa?
 
Shukuru Mungu umekosa......mikopo yao haina baraka.....unaweza kuingia kwenye mitihani....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…