Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huenda chapati inaendana na chai au maharage na profit margin kubwa ipo huko..., au wewe ni msala upitao sasa akiacha mbachao ambao kila siku wanakula nusu nusu siku ukirudi mjini itakuwaje ?Nipo kijiji fulani hivi, nikaenda kununua chapati 3 nikajibiwa siwezi kununua 3 wenzangu watakosa.
Labda mbili.
Hawa wauza chapati wanatoa wapi huu ubabe?
Labda... Ila mchanganyiko ni wa kwao wao Pepsi.Hata wao wanapoenda kununua Zile reagent kwa ajili ya utengenezaji wa soda Aina zote za Pepsi, huuziwa kwa kulazimishwa vivohivo.
Pori lipi hilo? La akina adriz nini?Achana anazo peleka pesa kwenye bidha nyungune zinazotoka haraka kwanza faida ya soda ni ndogo sana 2000 kama sikosei..japo kibishara ni pesa lakini si ya kuwekewa vikwazo vya kijnga
Mawazo ya "Motivational speaker" ingawa sidhani kama Dr hyperkid yuko hivyo😆😃😀Pori lipi hilo? La akina adriz nini?
Hawa hata wakijua watafanya nn zaidi ya kutaka za kitu kidgo tuIna maana serikali haijui? Yaani ni kama Pepsi inalazimisha wateja wao wawe sehemu ya idara yao ya masoko kuingiza bidhaa zao nyingine sokoni kwa kutumia soda ya Pepsi.
Tuendako ni kugumu zaidiKwa wauzaji wa reja reja wa soda hulazimishwa na Kampuni ya Pepsi, kununua soda wasizotaka kununua wala wasizo na wateja nazo Ili wapewe soda aina ya Pepsi.
Huu ubabe wa Kampuni ya Pepsi unakera sana Lakini wauzaji wa soda kwa reja reja hawana ubavu wa kupambana nao.
Kwa nini Pepsi walazimishe wateja wao kununua soda wasizozihitaji? Watu wao wa masoko wanafanya kazi gani ya kutangaza bidhaa zao badala ya kufanya ulazimishi Kwa wateja wao?
Kreti 200 si Agent huyo? Nazungumzia wauzaji wa reja reja.Sasa jitahd katika hili, Uwe angalau unauwezo Wa Kununua mizigo Wa crate 200 Kwa week.
Sasa tuyajenge nje ya taratibu zinazojulikana?Ila chini ya hapo mtafute Anayekuuzia huo mizigo anayekuleteaga myajenge mnazungushaje hizo brand Maisha yaendelee...
Solution ipo hapa. Wasiliana na Mkuu Wa Tawi akizingua endelea na uongozi wa juu.Kwani unalazimishwa kuchukua.Kataa wasiliana na Meneja wa Tawi linalohusika upewe maelezo kwanini unalazimishwa kununua usichokitaka.Kulalama tu hakutakusaidia chochote. Kama uliwasiliana na wahusika ulijibiwa nini?Sio kila jambo hata lililopo kwenye uwezo wako unailaumu Serikali.
Angalia maelezo aliyotoa airwing . Ni mfumo toka ngazi ya juu kabisa ya Kampuni.Solution ipo hapa. Wasiliana na Mkuu Wa Tawi akizingua endelea na uongozi wa juu.
Ikiwezekana awaandikie hata makao makuu ya PEPSI wenyewe. Wako serious sana wale jamaa kwenye kulinda brand yao.Angalia maelezo aliyotoa airwing . Ni mfumo toka ngazi ya juu kabisa ya Kampuni.
Kampuni inaweka "target" lakini haiwekezi kwenye kutangaza bidhaa wanazoziwekea target. Matokeo yake bidhaa zile zisizo na soko zinawekwa juu ya soda ya Pepsi.
Yes. Hili nalo ni wazo. Tena wazo zuri sana.Ikiwezekana awaandikie hata makao makuu ya PEPSI wenyewe. Wako serious sana wale jamaa kwenye kulinda brand yao.
Na ipo tzZamani nilikua najua kwamba jahanam ipo baada ya kifo, skuizi nimegundua jahanam tupo nayo hapahapa duniani..🤣
Mm mkuu sojakuelewa,umelazimishwa wapi?hela ya kununua ni ya nan?Kwa wauzaji wa reja reja wa soda hulazimishwa na Kampuni ya Pepsi, kununua soda wasizotaka kununua wala wasizo na wateja nazo Ili wapewe soda aina ya Pepsi.
Huu ubabe wa Kampuni ya Pepsi unakera sana Lakini wauzaji wa soda kwa reja reja hawana ubavu wa kupambana nao.
Kwa nini Pepsi walazimishe wateja wao kununua soda wasizozihitaji? Watu wao wa masoko wanafanya kazi gani ya kutangaza bidhaa zao badala ya kufanya ulazimishi Kwa wateja wao?