Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 21,470
- 40,593
- Thread starter
- #61
Kwenye biashara wanachotaka wateja ndicho muuzaji hukiweka sokoni.Mm mkuu sojakuelewa,umelazimishwa wapi?hela ya kununua ni ya nan?
Kama bidhaa huzalishi wewe na ndiyo inayoongoza kwa kununuliwa sokoni, basi hulazimika kuiweka.
Sasa kwa hoja hii wateja wanataka soda aina ya Pepsi, na muuzaji wa reja reja ANALAZIMISHWA kununua soda aina nyingine ili apewe Pepsi.
Huko ni kulazimishana kinyume cha Sheria za biashara za Tanzania.