KERO Ubabe huu wa Kampuni ya Pepsi unalindwa na serikali?

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
Mm mkuu sojakuelewa,umelazimishwa wapi?hela ya kununua ni ya nan?
Kwenye biashara wanachotaka wateja ndicho muuzaji hukiweka sokoni.

Kama bidhaa huzalishi wewe na ndiyo inayoongoza kwa kununuliwa sokoni, basi hulazimika kuiweka.

Sasa kwa hoja hii wateja wanataka soda aina ya Pepsi, na muuzaji wa reja reja ANALAZIMISHWA kununua soda aina nyingine ili apewe Pepsi.

Huko ni kulazimishana kinyume cha Sheria za biashara za Tanzania.
 
utalazimishwaje pesa ni yako bro!!!!???,kama kuna bidhaa isiyo na wateja wanakutaka uinunue acha kabisa kuchukua mzigo wao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…