Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Ni sahihi na hata hizo plate number ni nyeupe, sidhani kama zipo Tanzania plate number nyeupe. Huyu hawara wa Mbowe akikosaga kitu cha kupost huwa anadanganya.Mkuu hiyo Picha ya chini, hakuna msafara kama huo hapa TZ...
Hiyo picha ya juu na ya chini ni moja , mimi nimeikata mara 2 , sasa ukiipinga hiyo na ya juu ikataeMkuu hiyo Picha ya chini, hakuna msafara kama huo hapa TZ...
Mkuu hiyo Picha ya chini, hakuna msafara kama huo hapa TZ...
swadaktaMkuu kama jambo hulijui, haimaanishi hilo jambo halipo.
Hebu angalia Magari ya serikali yanavyotumika vibaya , tena bila huruma kwa Wananchi makapuku wanaoitwa Wanyonge
View attachment 2883487View attachment 2883488
Baada ya Hapa anapanda Punda na kushangiliwa na Wajinga .
Kiukweli hii Nchi aliyeipiga Jini ana roho mbaya sana ! yaani kailoga kikatili sana !
Msafara wake ni mara 2 ya msafara wa Hangaya .
Kama umeikata hvy hy n video, naomba uweke hy videoHiyo picha ya juu na ya chini ni moja , mimi nimeikata mara 2 , sasa ukiipinga hiyo na ya juu ikatae
Kwani wewe ni Thomaso? Halafu unaomba video wewe kama nani? Haya matukio ni ya kawaida nchini.Kuna kitu bado sijakiamini kwenye hizo picha hvy Naomba video
Nsamehe mkuuHalafu unaomba video wewe kama nani?
Hatari Kinyama!Hebu angalia Magari ya serikali yanavyotumika vibaya , tena bila huruma kwa Wananchi makapuku wanaoitwa Wanyonge
View attachment 2883487View attachment 2883488
Baada ya Hapa anapanda Punda na kushangiliwa na Wajinga .
Kiukweli hii Nchi aliyeipiga Jini ana roho mbaya sana ! yaani kailoga kikatili sana !
Msafara wake ni mara 2 ya msafara wa Hangaya .
Atajifanya hajaiona hii comment.Ni sahihi na hata hizo plate number ni nyeupe, sidhani kama zipo Tanzania plate number nyeupe. Huyu hawara wa Mbowe akikosaga kitu cha kupost huwa anadanganya.