Accumen Mo
JF-Expert Member
- May 15, 2022
- 18,036
- 39,882
Chawa wa Chadema 😅😅Hamna msafara kama huo ...Unapewa 20k kutetea watu wanakomba mabillion.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🤣🤣Kiukweli hii Nchi aliyeipiga Jini ana roho mbaya sana ! yaani kailoga kikatili sana !
Sijui kwanini nimecheka sana!😅😅😅😅Ni sahihi na hata hizo plate number ni nyeupe, sidhani kama zipo Tanzania plate number nyeupe. Huyu hawara wa Mbowe akikosaga kitu cha kupost huwa anadanganya.
si mlisema hamumujibu sindano inawaingiaHebu angalia Magari ya serikali yanavyotumika vibaya , tena bila huruma kwa Wananchi makapuku wanaoitwa Wanyonge
View attachment 2883487View attachment 2883488
Baada ya Hapa anapanda Punda na kushangiliwa na Wajinga .
Kiukweli hii Nchi aliyeipiga Jini ana roho mbaya sana ! yaani kailoga kikatili sana !
Msafara wake ni mara 2 ya msafara wa Hangaya .
Usanii uliopitwa na wakati.Kumbuka hapo wapo viongozi wote wa idara mbalimbali na taasisi mbalimbali na vitengo mbalimbali.ndio maana unaona mahali anapofika na kukuta kuna changamoto ya aina fulani inayogusa idara fulani anamwita mhusika kutoka idara husika au taasisi husika.
Kwa hiyo hapo kila mtu atahusika kujibu maswali na kutoa ufafanuzi pale eneo lake kikazi litaguswa na wananchi kwa kuulizwa maswali.
Hawamjibu vipi wakati muda wote wanamuwaza Mheshimiwa Makonda na kuumia kwa namna wanavyoona anavyo wasambaratisha na kuwapukutisha CHADEMA huko mitaani.si mlisema hamumujibu sindano inawaingia
Andaa makadirio ya yafuatayo
1. Gharama ya magari yote kwenye msafara
2. Gharama ya mafuta ya magari
3. Gharama ya posho za watu wote wa kwenye msafara
4. Gharama za kurusha matangazo
5. Gharama za kulipa chawa
6. Gharama ya kulipa mafuta na posho bodaboda kwenye mkutano.
7. Gharama zote za kuandaa mkutano, na gharama zingine zilizojificha na kusahaulika.
Jumla hapo lazima iwe umechangamka
Lucas mwashambwa Kijana wa Tulia anakwambia Dogo Makonda ni hazina ya Taifa anahitaji ulinzi mkali.Hebu angalia Magari ya serikali yanavyotumika vibaya , tena bila huruma kwa Wananchi makapuku wanaoitwa Wanyonge
View attachment 2883487View attachment 2883488
Baada ya Hapa anapanda Punda na kushangiliwa na Wajinga .
Kiukweli hii Nchi aliyeipiga Jini ana roho mbaya sana ! yaani kailoga kikatili sana !
Msafara wake ni mara 2 ya msafara wa Hangaya .
Umesahau posho za waandishi wa Habari.Andaa makadirio ya yafuatayo
1. Gharama ya magari yote kwenye msafara
2. Gharama ya mafuta ya magari
3. Gharama ya posho za watu wote wa kwenye msafara
4. Gharama za kurusha matangazo
5. Gharama za kulipa chawa
6. Gharama ya kulipa mafuta na posho bodaboda kwenye mkutano.
7. Gharama zote za kuandaa mkutano, na gharama zingine zilizojificha na kusahaulika.
Jumla hapo lazima iwe umechangamka
Dogo una propaganda za kishamba sana unaitia aibu bavichaHebu angalia Magari ya serikali yanavyotumika vibaya , tena bila huruma kwa Wananchi makapuku wanaoitwa Wanyonge
View attachment 2883487View attachment 2883488
Baada ya Hapa anapanda Punda na kushangiliwa na Wajinga .
Kiukweli hii Nchi aliyeipiga Jini ana roho mbaya sana ! yaani kailoga kikatili sana !
Msafara wake ni mara 2 ya msafara wa Hangaya .
Kuna faida gani ya kuongopa? Unatofauti gani na huyo Makonda anayedai kwamba alitumwa na Mboye kuya diss maandamano?Hebu angalia Magari ya serikali yanavyotumika vibaya , tena bila huruma kwa Wananchi makapuku wanaoitwa Wanyonge
View attachment 2883487View attachment 2883488
Baada ya Hapa anapanda Punda na kushangiliwa na Wajinga .
Kiukweli hii Nchi aliyeipiga Jini ana roho mbaya sana ! yaani kailoga kikatili sana !
Msafara wake ni mara 2 ya msafara wa Hangaya .
Ko hamkushtakiwa?Au hukusikia prof Mruma alivyotia huruma wakati wa utetezi wakeWajinga ni waliopinga hatua za kulinda rasilimali za taifa kwa kisingizio cha kushitakiwa MIGA
Hawamjibu vipi wakati muda wote wanamuwaza Mheshimiwa Makonda na kuumia kwa namna wanavyoona anavyo wasambaratisha na kuwapukutisha CHADEMA huko mitaani.
Muda wote wapo bize kufuatilia habari za Makonda na kuzijadili kwenye page zao mitandaoni.Mbowe mwenyewe yupo Bize kufutilia hotuba za Mheshimiwa Makonda
HahaahahaaMkuu hiyo Picha ya chini, hakuna msafara kama huo hapa TZ...
nimecheka sana walahi!Kiukweli hii Nchi aliyeipiga Jini ana roho mbaya sana ! yaani kailoga kikatili sana !
Kwan kwenye maandamano si mlisema mnatembea kwa migumu mpaka UN lakini mlipanda nini Kwan 🤣Hebu angalia Magari ya serikali yanavyotumika vibaya , tena bila huruma kwa Wananchi makapuku wanaoitwa Wanyonge
View attachment 2883487View attachment 2883488
Baada ya Hapa anapanda Punda na kushangiliwa na Wajinga .
Kiukweli hii Nchi aliyeipiga Jini ana roho mbaya sana ! yaani kailoga kikatili sana !
Msafara wake ni mara 2 ya msafara wa Hangaya .
mpaka aanze kujitegemea ndio atakuelewa,Kumbuka hapo wapo viongozi wote wa idara mbalimbali na taasisi mbalimbali na vitengo mbalimbali.ndio maana unaona mahali anapofika na kukuta kuna changamoto ya aina fulani inayogusa idara fulani anamwita mhusika kutoka idara husika au taasisi husika kutoa majibu stahiki.
Kwa hiyo hapo kila mtu atahusika kujibu maswali na kutoa ufafanuzi pale eneo lake kikazi litaguswa na wananchi kwa kuulizwa maswali.
Ndio maana tunasema CCM Ndio yenye majibu ya maswali ya wananchi.ukiiona CCM au viongozi wake basi fahamu kuwa chochote utakachouliza lazima upate majibu na suluhisho. Tofauti na CHADEMA ambao wao kazi yao huwa ni kupiga porojo ,uzushi ,uongo na kulalamika muda wote bila kuwa na shirikisho ya jambo lolote lile.
Ndio maana wananchi wanafurika sana kwenye mikutano ya Mheshimiwa mwamba mwenyewe Paul Makonda kwa kuwa wanajuwa ndio Mashali pekee unapoweza kupata majibu ya jambo lolote lile.