Pre GE2025 Ubadhirifu: Huu ni Msafara wa Makonda, baadaye anapanda Punda halafu Wajinga wanamshangilia

Pre GE2025 Ubadhirifu: Huu ni Msafara wa Makonda, baadaye anapanda Punda halafu Wajinga wanamshangilia

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Chawa wa Chadema 😅😅Hamna msafara kama huo ...Unapewa 20k kutetea watu wanakomba mabillion.
 
Hebu angalia Magari ya serikali yanavyotumika vibaya , tena bila huruma kwa Wananchi makapuku wanaoitwa Wanyonge

View attachment 2883487View attachment 2883488

Baada ya Hapa anapanda Punda na kushangiliwa na Wajinga .

Kiukweli hii Nchi aliyeipiga Jini ana roho mbaya sana ! yaani kailoga kikatili sana !

Msafara wake ni mara 2 ya msafara wa Hangaya .
si mlisema hamumujibu sindano inawaingia
 
Kumbuka hapo wapo viongozi wote wa idara mbalimbali na taasisi mbalimbali na vitengo mbalimbali.ndio maana unaona mahali anapofika na kukuta kuna changamoto ya aina fulani inayogusa idara fulani anamwita mhusika kutoka idara husika au taasisi husika.

Kwa hiyo hapo kila mtu atahusika kujibu maswali na kutoa ufafanuzi pale eneo lake kikazi litaguswa na wananchi kwa kuulizwa maswali.
Usanii uliopitwa na wakati.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
si mlisema hamumujibu sindano inawaingia
Hawamjibu vipi wakati muda wote wanamuwaza Mheshimiwa Makonda na kuumia kwa namna wanavyoona anavyo wasambaratisha na kuwapukutisha CHADEMA huko mitaani.

Muda wote wapo bize kufuatilia habari za Makonda na kuzijadili kwenye page zao mitandaoni.Mbowe mwenyewe yupo Bize kufutilia hotuba za Mheshimiwa Makonda
 
Andaa makadirio ya yafuatayo
1. Gharama ya magari yote kwenye msafara
2. Gharama ya mafuta ya magari
3. Gharama ya posho za watu wote wa kwenye msafara
4. Gharama za kurusha matangazo
5. Gharama za kulipa chawa
6. Gharama ya kulipa mafuta na posho bodaboda kwenye mkutano.
7. Gharama zote za kuandaa mkutano, na gharama zingine zilizojificha na kusahaulika.

Jumla hapo lazima iwe umechangamka

Ndiyo maana nawashaurini, kwa nchi hii, ukiweza kukwepa kodi, fanya hivyo kwa jitihada zako zote, maana hata ukiwa mwaminifu, pesa yako itaenda kuchezewa na majitu ya ajabu, kama Makonda. Na kodi yako inaweza kwenda kutumika kuwateka, kuwapoteza hata kuwaua watu wasio na hatia.
 
Hebu angalia Magari ya serikali yanavyotumika vibaya , tena bila huruma kwa Wananchi makapuku wanaoitwa Wanyonge

View attachment 2883487View attachment 2883488

Baada ya Hapa anapanda Punda na kushangiliwa na Wajinga .

Kiukweli hii Nchi aliyeipiga Jini ana roho mbaya sana ! yaani kailoga kikatili sana !

Msafara wake ni mara 2 ya msafara wa Hangaya .
Lucas mwashambwa Kijana wa Tulia anakwambia Dogo Makonda ni hazina ya Taifa anahitaji ulinzi mkali.
 
Andaa makadirio ya yafuatayo
1. Gharama ya magari yote kwenye msafara
2. Gharama ya mafuta ya magari
3. Gharama ya posho za watu wote wa kwenye msafara
4. Gharama za kurusha matangazo
5. Gharama za kulipa chawa
6. Gharama ya kulipa mafuta na posho bodaboda kwenye mkutano.
7. Gharama zote za kuandaa mkutano, na gharama zingine zilizojificha na kusahaulika.

Jumla hapo lazima iwe umechangamka
Umesahau posho za waandishi wa Habari.
 
Hebu angalia Magari ya serikali yanavyotumika vibaya , tena bila huruma kwa Wananchi makapuku wanaoitwa Wanyonge

View attachment 2883487View attachment 2883488

Baada ya Hapa anapanda Punda na kushangiliwa na Wajinga .

Kiukweli hii Nchi aliyeipiga Jini ana roho mbaya sana ! yaani kailoga kikatili sana !

Msafara wake ni mara 2 ya msafara wa Hangaya .
Dogo una propaganda za kishamba sana unaitia aibu bavicha
 
Hebu angalia Magari ya serikali yanavyotumika vibaya , tena bila huruma kwa Wananchi makapuku wanaoitwa Wanyonge

View attachment 2883487View attachment 2883488

Baada ya Hapa anapanda Punda na kushangiliwa na Wajinga .

Kiukweli hii Nchi aliyeipiga Jini ana roho mbaya sana ! yaani kailoga kikatili sana !

Msafara wake ni mara 2 ya msafara wa Hangaya .
Kuna faida gani ya kuongopa? Unatofauti gani na huyo Makonda anayedai kwamba alitumwa na Mboye kuya diss maandamano?
 
Hawamjibu vipi wakati muda wote wanamuwaza Mheshimiwa Makonda na kuumia kwa namna wanavyoona anavyo wasambaratisha na kuwapukutisha CHADEMA huko mitaani.

Muda wote wapo bize kufuatilia habari za Makonda na kuzijadili kwenye page zao mitandaoni.Mbowe mwenyewe yupo Bize kufutilia hotuba za Mheshimiwa Makonda

Muuaji hajawahi kuwa mheshimiwa. Atakuwa mheshimiwa kwa wauaji wenzake wanaopokea amri toka kwake, wamwue nani.

Kwa watu wema, huyu ni shetani.
 
Hebu angalia Magari ya serikali yanavyotumika vibaya , tena bila huruma kwa Wananchi makapuku wanaoitwa Wanyonge

View attachment 2883487View attachment 2883488

Baada ya Hapa anapanda Punda na kushangiliwa na Wajinga .

Kiukweli hii Nchi aliyeipiga Jini ana roho mbaya sana ! yaani kailoga kikatili sana !

Msafara wake ni mara 2 ya msafara wa Hangaya .
Kwan kwenye maandamano si mlisema mnatembea kwa migumu mpaka UN lakini mlipanda nini Kwan 🤣
 
Kumbuka hapo wapo viongozi wote wa idara mbalimbali na taasisi mbalimbali na vitengo mbalimbali.ndio maana unaona mahali anapofika na kukuta kuna changamoto ya aina fulani inayogusa idara fulani anamwita mhusika kutoka idara husika au taasisi husika kutoa majibu stahiki.

Kwa hiyo hapo kila mtu atahusika kujibu maswali na kutoa ufafanuzi pale eneo lake kikazi litaguswa na wananchi kwa kuulizwa maswali.

Ndio maana tunasema CCM Ndio yenye majibu ya maswali ya wananchi.ukiiona CCM au viongozi wake basi fahamu kuwa chochote utakachouliza lazima upate majibu na suluhisho. Tofauti na CHADEMA ambao wao kazi yao huwa ni kupiga porojo ,uzushi ,uongo na kulalamika muda wote bila kuwa na shirikisho ya jambo lolote lile.

Ndio maana wananchi wanafurika sana kwenye mikutano ya Mheshimiwa mwamba mwenyewe Paul Makonda kwa kuwa wanajuwa ndio Mashali pekee unapoweza kupata majibu ya jambo lolote lile.
mpaka aanze kujitegemea ndio atakuelewa,
Lakini akiendelea kuishi kwa wazazi na ni mtu mzima ataendelea kulalamika tu daima kwasabb ni mtoto wa kudeka 🐒
 
Back
Top Bottom