Tlaatlaah
JF-Expert Member
- May 18, 2023
- 24,665
- 25,388
katulia kajikunyata anajitafakari ajibu nini umeshika pabaya š¤£Atajifanya hajaiona hii comment.
Erythrocyte
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
katulia kajikunyata anajitafakari ajibu nini umeshika pabaya š¤£Atajifanya hajaiona hii comment.
Erythrocyte
picha zote ni upotoshaji wa kiwango cha lami si za TzšHiyo picha ya juu na ya chini ni moja , mimi nimeikata mara 2 , sasa ukiipinga hiyo na ya juu ikatae
Kaka upo. Na mie nilikuwepo.Mkuu hiyo Picha ya chini, hakuna msafara kama huo hapa TZ...
Mbona hii post kama inabomoa zaidiKumbuka hapo wapo viongozi wote wa idara mbalimbali na taasisi mbalimbali na vitengo mbalimbali.ndio maana unaona mahali anapofika na kukuta kuna changamoto ya aina fulani inayogusa idara fulani anamwita mhusika kutoka idara husika au taasisi husika kutoa majibu stahiki.
Kwa hiyo hapo kila mtu atahusika kujibu maswali na kutoa ufafanuzi pale eneo lake kikazi litaguswa na wananchi kwa kuulizwa maswali.
Ndio maana tunasema CCM Ndio yenye majibu ya maswali ya wananchi.ukiiona CCM au viongozi wake basi fahamu kuwa chochote utakachouliza lazima upate majibu na suluhisho. Tofauti na CHADEMA ambao wao kazi yao huwa ni kupiga porojo ,uzushi ,uongo na kulalamika muda wote bila kuwa na shirikisho ya jambo lolote lile.
Ndio maana wananchi wanafurika sana kwenye mikutano ya Mheshimiwa mwamba mwenyewe Paul Makonda kwa kuwa wanajuwa ndio Mashali pekee unapoweza kupata majibu ya jambo lolote lile.
Aisee nmeskrinshot hiyo quote ya mdau. Statement almasi tupu.kuna mdau mmoja jana alicoment kwenye bandiko la mayalla nikapenda sana comment yake inasema.
"Zamani nilikua nataka Tanzania tujikomboe kifikra ila Kwa Sasa nimeamua kuipenda hivo hivo bila kutamani chochote kutoka kwake,ni kama uzae mtoto mlemavu ambae yupo kitandani mda wote mwisho wa siku hutamani Tena apone unajifunza kumkubali Hali yake na kumpenda hivo hivo.
Very super ingawa ni ya kukatisha tamaa. Ilipaswa isiwe hivi!kuna mdau mmoja jana alicoment kwenye bandiko la mayalla nikapenda sana comment yake inasema.
"Zamani nilikua nataka Tanzania tujikomboe kifikra ila Kwa Sasa nimeamua kuipenda hivo hivo bila kutamani chochote kutoka kwake,ni kama uzae mtoto mlemavu ambae yupo kitandani mda wote mwisho wa siku hutamani Tena apone unajifunza kumkubali Hali yake na kumpenda hivo hivo.
Mbona sioni jezi za chamaHebu angalia Magari ya serikali yanavyotumika vibaya , tena bila huruma kwa Wananchi makapuku wanaoitwa Wanyonge
View attachment 2883487View attachment 2883488
Baada ya Hapa anapanda Punda na kushangiliwa na Wajinga .
Kiukweli hii Nchi aliyeipiga Jini ana roho mbaya sana ! yaani kailoga kikatili sana !
Msafara wake ni mara 2 ya msafara wa Hangaya .
Chopa inagharama zaidi ya msafara wa MakondaHebu angalia Magari ya serikali yanavyotumika vibaya , tena bila huruma kwa Wananchi makapuku wanaoitwa Wanyonge
View attachment 2883487View attachment 2883488
Baada ya Hapa anapanda Punda na kushangiliwa na Wajinga .
Kiukweli hii Nchi aliyeipiga Jini ana roho mbaya sana ! yaani kailoga kikatili sana !
Msafara wake ni mara 2 ya msafara wa Hangaya .
Uongo hupingwa na ukweli , weka ukweliDogo una propaganda za kishamba sana unaitia aibu bavicha
Bro, mbona hizo gari kama zina namba za kigeni?Hebu angalia Magari ya serikali yanavyotumika vibaya , tena bila huruma kwa Wananchi makapuku wanaoitwa Wanyonge
View attachment 2883487View attachment 2883488
Baada ya Hapa anapanda Punda na kushangiliwa na Wajinga .
Kiukweli hii Nchi aliyeipiga Jini ana roho mbaya sana ! yaani kailoga kikatili sana !
Msafara wake ni mara 2 ya msafara wa Hangaya .
Hawalipi wao ni sisi ndio tunalipia hayo mafuta.Mafuta bei gani?
Wewe hunaga akili. Unafikiri adui wa Tanzania ni chadema? Adui yupo kwenye manguo ya kijani huko. Umekariri mpaka leo MIGA. Ungetwambia ni cases ngapi zilpelekwa maharani enzi za yule Prague wako wa chatoWajinga ni waliopinga hatua za kulinda rasilimali za taifa kwa kisingizio cha kushitakiwa MIGA
Thibitisha kuwa hiyo picha ni msafara wa makondaUongo hupingwa na ukweli , weka ukweli