Pre GE2025 Ubadhirifu: Huu ni Msafara wa Makonda, baadaye anapanda Punda halafu Wajinga wanamshangilia

Pre GE2025 Ubadhirifu: Huu ni Msafara wa Makonda, baadaye anapanda Punda halafu Wajinga wanamshangilia

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
17.3.2021 hadi 2030.
 

Attachments

  • FB_IMG_1706032626462.jpg
    FB_IMG_1706032626462.jpg
    44 KB · Views: 2
Ni sahihi na hata hizo plate number ni nyeupe, sidhani kama zipo Tanzania plate number nyeupe. Huyu hawara wa Mbowe akikosaga kitu cha kupost huwa anadanganya.
Halafu magari yote hayo hakuna hata moja yenye bendera ya ccm!
Huyu mfanyabiashara wa kimataifa ni muongo.
 
Huu ni uhalifu mwingine wa kutumia mali za umma kwa anasa.
 
Hebu angalia Magari ya serikali yanavyotumika vibaya , tena bila huruma kwa Wananchi makapuku wanaoitwa Wanyonge

View attachment 2883487View attachment 2883488

Baada ya Hapa anapanda Punda na kushangiliwa na Wajinga .

Kiukweli hii Nchi aliyeipiga Jini ana roho mbaya sana ! yaani kailoga kikatili sana !

Msafara wake ni mara 2 ya msafara wa Hangaya .
Kero za wanyonge
 

Attachments

  • 81fab15aaf36451ab1c3a5b5af09448c_EA4A2258B121FCE5715B4C8F859BB3AB_video_dashinit.mp4
    5.9 MB
Hebu angalia Magari ya serikali yanavyotumika vibaya , tena bila huruma kwa Wananchi makapuku wanaoitwa Wanyonge

View attachment 2883487View attachment 2883488

Baada ya Hapa anapanda Punda na kushangiliwa na Wajinga .

Kiukweli hii Nchi aliyeipiga Jini ana roho mbaya sana ! yaani kailoga kikatili sana !

Msafara wake ni mara 2 ya msafara wa Hangaya .
Juzi huajaona kaingia na mkokoteni anauvuta kama wale wanaobeba ndizi kule kiboriloni?
 
Hebu angalia Magari ya serikali yanavyotumika vibaya , tena bila huruma kwa Wananchi makapuku wanaoitwa Wanyonge

View attachment 2883487View attachment 2883488

Baada ya Hapa anapanda Punda na kushangiliwa na Wajinga .

Kiukweli hii Nchi aliyeipiga Jini ana roho mbaya sana ! yaani kailoga kikatili sana !

Msafara wake ni mara 2 ya msafara wa Hangaya .
I don’t envy this but if this was chakademus, mngesema maandamano yalifana
 
Kumbuka hapo wapo viongozi wote wa idara mbalimbali na taasisi mbalimbali na vitengo mbalimbali.ndio maana unaona mahali anapofika na kukuta kuna changamoto ya aina fulani inayogusa idara fulani anamwita mhusika kutoka idara husika au taasisi husika kutoa majibu stahiki.

Kwa hiyo hapo kila mtu atahusika kujibu maswali na kutoa ufafanuzi pale eneo lake kikazi litaguswa na wananchi kwa kuulizwa maswali.

Ndio maana tunasema CCM Ndio yenye majibu ya maswali ya wananchi.ukiiona CCM au viongozi wake basi fahamu kuwa chochote utakachouliza lazima upate majibu na suluhisho. Tofauti na CHADEMA ambao wao kazi yao huwa ni kupiga porojo ,uzushi ,uongo na kulalamika muda wote bila kuwa na shirikisho ya jambo lolote lile.

Ndio maana wananchi wanafurika sana kwenye mikutano ya Mheshimiwa mwamba mwenyewe Paul Makonda kwa kuwa wanajuwa ndio Mashali pekee unapoweza kupata majibu ya jambo lolote lile.
Huu utetezi ndio wa hovyo kabisa kupata kutokea.... kuwatoa watu kwenye idara zao za kazi kwenda kwenye mkutano wa mwenezi ni matumizi mabaya ya resources. Huku ni kukosa maarifa.

Juzi nilijiuliza meneja wa mkoa wa Tanesco anatafuta nini kwenye mikutano ya chama???? Sikupata jibu zaidi kuona mnatupiga maigizo kuwahadaa wananchi huku mkitumia rasilimali za taifa pasina manufaa yoyote kwa raia.
 
Huyo Joyce hana jipya.
kwa mujibu wa sheria za JF Name calling ni makosa na unastahili ban , unaandika uongo bila hata aibu ili kunitweza , huyo mama mnayemsingizia hahusiki na nyuzi zangu hapa jf , jifunzeni adabu sisi wengine ni sawa na wazazi wenu

Huwezi kusifiwa kwa kutukana watu jf , hoja hupingwa kwa hoja , hatuwezi kudanganya halafu jf wakaacha tu uzi hapa jukwaani .

Mnatia aibu sana !
 
Ndiyo maana nawashaurini, kwa nchi hii, ukiweza kukwepa kodi, fanya hivyo kwa jitihada zako zote, maana hata ukiwa mwaminifu, pesa yako itaenda kuchezewa na majitu ya ajabu, kama Makonda. Na kodi yako inaweza kwenda kutumika kuwateka, kuwapoteza hata kuwaua watu wasio na hatia.
🤣
Ukiachana na upigaji wa hela za kodi, bado kuna mikopo toka nje na yenyewe inaliwa.

Unakuta kodi inatumika kwenye kufanikisha wizi wa kura kwenye uchaguzi 🤣
 
Mbona huu NI kama msafara WA Ruto juke Kenya, wakati WA uchaguzi
 
Back
Top Bottom