Leak
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 52,916
- 43,505
Mbona una hangaika na picha za uongo huo msafara ulikuwa unakwenda wapi na unatoka wapi?πππππ Hivi na wale wanaozunguka kwa chopa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona una hangaika na picha za uongo huo msafara ulikuwa unakwenda wapi na unatoka wapi?πππππ Hivi na wale wanaozunguka kwa chopa?
Jf haiandiki uongo , nenda Jamii CheckMbona una hangaika na picha za uongo huo msafara ulikuwa unakwenda wapi na unatoka wapi?πππππ Hivi na wale wanaozunguka kwa chopa?
Ndo maana huwa nasema CHADEMA kumejaa vijana wapumbavu pumbavu sana!Hebu angalia Magari ya serikali yanavyotumika vibaya, tena bila huruma kwa Wananchi makapuku wanaoitwa Wanyonge
View attachment 2883487View attachment 2883488
Baada ya Hapa anapanda Punda na kushangiliwa na Wajinga .
Kiukweli hii Nchi aliyeipiga Jini ana roho mbaya sana ! yaani kailoga kikatili sana !
Msafara wake ni mara 2 ya msafara wa Hangaya .
Kiukweli hii Nchi aliyeipiga Jini ana roho mbaya sana ! yaani kailoga kikatili sana ![emoji24][emoji24][emoji24]Hebu angalia Magari ya serikali yanavyotumika vibaya, tena bila huruma kwa Wananchi makapuku wanaoitwa Wanyonge
View attachment 2883487View attachment 2883488
Baada ya Hapa anapanda Punda na kushangiliwa na Wajinga .
Kiukweli hii Nchi aliyeipiga Jini ana roho mbaya sana ! yaani kailoga kikatili sana !
Msafara wake ni mara 2 ya msafara wa Hangaya .
Acha tu ,huyo jamaa aliuguza mtoto wake zaidi ya miaka 17 Toka alipozaliwa alikuwa mtu wakitandani tu mpaka kifo ana haki kutolea huo mfanokuna mdau mmoja jana alicoment kwenye bandiko la mayalla nikapenda sana comment yake inasema.
"Zamani nilikua nataka Tanzania tujikomboe kifikra ila Kwa Sasa nimeamua kuipenda hivo hivo bila kutamani chochote kutoka kwake,ni kama uzae mtoto mlemavu ambae yupo kitandani mda wote mwisho wa siku hutamani Tena apone unajifunza kumkubali Hali yake na kumpenda hivo hivo.
Kama hujui kitu Shut up !Ndo maana huwa nasema CHADEMA kumejaa vijana wapumbavu pumbavu sana!
Sasa ni mjinga gani kwa akili yako ndogo kama kisoda hiyo unaweza kumdanganya kuwa huo hapo chini ni msafara wa Paul Makonda?!
Wewe na Boni Yai akili zenu ni mayai matupu!
Hata ukiwa na Chuki na mtu basi tumia akili japo kidogo kum- snitch!
Ni kweli angeweza kuloga ili mambo yake yaende , lakini si ulogaji wa kikatili kama huuKiukweli hii Nchi aliyeipiga Jini ana roho mbaya sana ! yaani kailoga kikatili sana ![emoji24][emoji24][emoji24]
Sent using Jamii Forums mobile app
Ivi ww kichwani kuna ubongo kweli jishike mwenyewe kichwaniKumbuka hapo wapo viongozi wote wa idara mbalimbali na taasisi mbalimbali na vitengo mbalimbali.ndio maana unaona mahali anapofika na kukuta kuna changamoto ya aina fulani inayogusa idara fulani anamwita mhusika kutoka idara husika au taasisi husika kutoa majibu stahiki.
Kwa hiyo hapo kila mtu atahusika kujibu maswali na kutoa ufafanuzi pale eneo lake kikazi litaguswa na wananchi kwa kuulizwa maswali.
Ndio maana tunasema CCM Ndio yenye majibu ya maswali ya wananchi.ukiiona CCM au viongozi wake basi fahamu kuwa chochote utakachouliza lazima upate majibu na suluhisho. Tofauti na CHADEMA ambao wao kazi yao huwa ni kupiga porojo ,uzushi ,uongo na kulalamika muda wote bila kuwa na shirikisho ya jambo lolote lile.
Ndio maana wananchi wanafurika sana kwenye mikutano ya Mheshimiwa mwamba mwenyewe Paul Makonda kwa kuwa wanajuwa ndio Mashali pekee unapoweza kupata majibu ya jambo lolote lile.
Leo yamegongana 13 , Mengine 25 yako salamaMkuu hiyo Picha ya chini, hakuna msafara kama huo hapa TZ...
Hebu angalia Magari ya serikali yanavyotumika vibaya, tena bila huruma kwa Wananchi makapuku wanaoitwa Wanyonge
View attachment 2883487View attachment 2883488
Baada ya Hapa anapanda Punda na kushangiliwa na Wajinga .
Kiukweli hii Nchi aliyeipiga Jini ana roho mbaya sana ! yaani kailoga kikatili sana !
Msafara wake ni mara 2 ya msafara wa Hangaya .
Wamemkosakosa[emoji35]Majibu yamepatikana leo 11 February 20024 katka kata ya Sululu wilaya ya Masasi mkoani Mtwara Tanzania
Seriously umeona msafara wake?Mkuu hiyo Picha ya chini, hakuna msafara kama huo hapa TZ...
Majibu yamepatikana leo 11 February 20024 katka kata ya Sululu wilaya ya Masasi mkoani Mtwara Tanzania
View: https://m.youtube.com/watch?v=vm15PZ5uvMA
Utukufu wa Mungu ni wa ajabu sanaHebu angalia Magari ya serikali yanavyotumika vibaya, tena bila huruma kwa Wananchi makapuku wanaoitwa Wanyonge
View attachment 2883487View attachment 2883488
Baada ya Hapa anapanda Punda na kushangiliwa na Wajinga .
Kiukweli hii Nchi aliyeipiga Jini ana roho mbaya sana ! yaani kailoga kikatili sana !
Msafara wake ni mara 2 ya msafara wa Hangaya .
Acha Roho Mbaya dogo. Mbona msafara na Jumba la Mbowe kule Machame alilojenga kwa ruzuku yetu hatusemi?Utukufu wa Mungu ni wa ajabu sana
wewe ni kichaa sisi tulikuwa hatushangilii punda wala Magari yake...tulikuwa tunashangilia kuwakumbusha viongozi wazembe Wajibu na majukumu yaoHebu angalia Magari ya serikali yanavyotumika vibaya, tena bila huruma kwa Wananchi makapuku wanaoitwa Wanyonge
View attachment 2883487View attachment 2883488
Baada ya Hapa anapanda Punda na kushangiliwa na Wajinga .
Kiukweli hii Nchi aliyeipiga Jini ana roho mbaya sana ! yaani kailoga kikatili sana !
Msafara wake ni mara 2 ya msafara wa Hangaya .