Pre GE2025 Ubadhirifu: Huu ni Msafara wa Makonda, baadaye anapanda Punda halafu Wajinga wanamshangilia

Pre GE2025 Ubadhirifu: Huu ni Msafara wa Makonda, baadaye anapanda Punda halafu Wajinga wanamshangilia

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Mbona una hangaika na picha za uongo huo msafara ulikuwa unakwenda wapi na unatoka wapi?πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Hivi na wale wanaozunguka kwa chopa?
Jf haiandiki uongo , nenda Jamii Check
 
Hebu angalia Magari ya serikali yanavyotumika vibaya, tena bila huruma kwa Wananchi makapuku wanaoitwa Wanyonge

View attachment 2883487View attachment 2883488

Baada ya Hapa anapanda Punda na kushangiliwa na Wajinga .

Kiukweli hii Nchi aliyeipiga Jini ana roho mbaya sana ! yaani kailoga kikatili sana !

Msafara wake ni mara 2 ya msafara wa Hangaya .
Ndo maana huwa nasema CHADEMA kumejaa vijana wapumbavu pumbavu sana!
Sasa ni mjinga gani kwa akili yako ndogo kama kisoda hiyo unaweza kumdanganya kuwa huo hapo chini ni msafara wa Paul Makonda?!
Wewe na Boni Yai akili zenu ni mayai matupu!
Hata ukiwa na Chuki na mtu basi tumia akili japo kidogo kum- snitch!
 
Hebu angalia Magari ya serikali yanavyotumika vibaya, tena bila huruma kwa Wananchi makapuku wanaoitwa Wanyonge

View attachment 2883487View attachment 2883488

Baada ya Hapa anapanda Punda na kushangiliwa na Wajinga .

Kiukweli hii Nchi aliyeipiga Jini ana roho mbaya sana ! yaani kailoga kikatili sana !

Msafara wake ni mara 2 ya msafara wa Hangaya .
Kiukweli hii Nchi aliyeipiga Jini ana roho mbaya sana ! yaani kailoga kikatili sana ![emoji24][emoji24][emoji24]


Sent using Jamii Forums mobile app
 
kuna mdau mmoja jana alicoment kwenye bandiko la mayalla nikapenda sana comment yake inasema.

"Zamani nilikua nataka Tanzania tujikomboe kifikra ila Kwa Sasa nimeamua kuipenda hivo hivo bila kutamani chochote kutoka kwake,ni kama uzae mtoto mlemavu ambae yupo kitandani mda wote mwisho wa siku hutamani Tena apone unajifunza kumkubali Hali yake na kumpenda hivo hivo.
Acha tu ,huyo jamaa aliuguza mtoto wake zaidi ya miaka 17 Toka alipozaliwa alikuwa mtu wakitandani tu mpaka kifo ana haki kutolea huo mfano
 
Ndo maana huwa nasema CHADEMA kumejaa vijana wapumbavu pumbavu sana!
Sasa ni mjinga gani kwa akili yako ndogo kama kisoda hiyo unaweza kumdanganya kuwa huo hapo chini ni msafara wa Paul Makonda?!
Wewe na Boni Yai akili zenu ni mayai matupu!
Hata ukiwa na Chuki na mtu basi tumia akili japo kidogo kum- snitch!
Kama hujui kitu Shut up !
 
Kumbuka hapo wapo viongozi wote wa idara mbalimbali na taasisi mbalimbali na vitengo mbalimbali.ndio maana unaona mahali anapofika na kukuta kuna changamoto ya aina fulani inayogusa idara fulani anamwita mhusika kutoka idara husika au taasisi husika kutoa majibu stahiki.

Kwa hiyo hapo kila mtu atahusika kujibu maswali na kutoa ufafanuzi pale eneo lake kikazi litaguswa na wananchi kwa kuulizwa maswali.

Ndio maana tunasema CCM Ndio yenye majibu ya maswali ya wananchi.ukiiona CCM au viongozi wake basi fahamu kuwa chochote utakachouliza lazima upate majibu na suluhisho. Tofauti na CHADEMA ambao wao kazi yao huwa ni kupiga porojo ,uzushi ,uongo na kulalamika muda wote bila kuwa na shirikisho ya jambo lolote lile.

Ndio maana wananchi wanafurika sana kwenye mikutano ya Mheshimiwa mwamba mwenyewe Paul Makonda kwa kuwa wanajuwa ndio Mashali pekee unapoweza kupata majibu ya jambo lolote lile.
Ivi ww kichwani kuna ubongo kweli jishike mwenyewe kichwani
 
Nchi hii inahitaji ukombozi haswa
IMG_20240130_025211.jpg
 
Huyu ndiye anatamba kusaidia wanyinge, instead, anawatumia wanted nge kama ngazi ya kupandia katika malengo ya kisiasa
 
Hebu angalia Magari ya serikali yanavyotumika vibaya, tena bila huruma kwa Wananchi makapuku wanaoitwa Wanyonge

View attachment 2883487View attachment 2883488

Baada ya Hapa anapanda Punda na kushangiliwa na Wajinga .

Kiukweli hii Nchi aliyeipiga Jini ana roho mbaya sana ! yaani kailoga kikatili sana !

Msafara wake ni mara 2 ya msafara wa Hangaya .

Majibu yamepatikana leo 11 February 2024 katka kata ya Sululu wilaya ya Masasi mkoani Mtwara kusini mwa Tanzania

View: https://m.youtube.com/watch?v=-MmlpiQYehA
 
Hebu angalia Magari ya serikali yanavyotumika vibaya, tena bila huruma kwa Wananchi makapuku wanaoitwa Wanyonge

View attachment 2883487View attachment 2883488

Baada ya Hapa anapanda Punda na kushangiliwa na Wajinga .

Kiukweli hii Nchi aliyeipiga Jini ana roho mbaya sana ! yaani kailoga kikatili sana !

Msafara wake ni mara 2 ya msafara wa Hangaya .
Utukufu wa Mungu ni wa ajabu sana
 
We
Hebu angalia Magari ya serikali yanavyotumika vibaya, tena bila huruma kwa Wananchi makapuku wanaoitwa Wanyonge

View attachment 2883487View attachment 2883488

Baada ya Hapa anapanda Punda na kushangiliwa na Wajinga .

Kiukweli hii Nchi aliyeipiga Jini ana roho mbaya sana ! yaani kailoga kikatili sana !

Msafara wake ni mara 2 ya msafara wa Hangaya .
wewe ni kichaa sisi tulikuwa hatushangilii punda wala Magari yake...tulikuwa tunashangilia kuwakumbusha viongozi wazembe Wajibu na majukumu yao
 
Back
Top Bottom