paul sylvester
JF-Expert Member
- Mar 18, 2020
- 3,503
- 3,499
Haya mambo Ndiyo yamelifanya bara la Africa kuwa na watu wachache wanaoshika Uchumi wake na wengine wengi kuwa masikini wa kutupwa
Wizara iwachukulie hatua Kali hawa majambazi wasiotosheka na haki ya jasho Lao
JPM na Serikali yake wanahaha Ni Kwa kiasi gani maji yawafikie kila mwananchi, umeme na huduma Bora za kiafya, halafu watu wachache tu wawe sehemu ya mamilioni ya Watanzania kukosa haki zao na saa nyingine kupoteza maisha Kwa sababu Yao!!
Wakamatwe na Sheria ifuate mkondo wake
Wizara iwachukulie hatua Kali hawa majambazi wasiotosheka na haki ya jasho Lao
JPM na Serikali yake wanahaha Ni Kwa kiasi gani maji yawafikie kila mwananchi, umeme na huduma Bora za kiafya, halafu watu wachache tu wawe sehemu ya mamilioni ya Watanzania kukosa haki zao na saa nyingine kupoteza maisha Kwa sababu Yao!!
Wakamatwe na Sheria ifuate mkondo wake