Ubaguzi umezidi, hamu ya kurudi nyumbani inanijia kwa kasi

Ulikua stolen way nini???


Kuhusu harufu hata wao wanazo sana tu tena mbaya mno nishajionea kule cabin crew
 
Ulikua stolen way nini???


Kuhusu harufu hata wao wanazo sana tu tena mbaya mno nishajionea kule cabin crew
Stolen way ndio nini? Mimi kampuni nilizofanya kazi za docks zilikua zinajali sana Wafanyakazi na tulikua tunaruhusiwa kusaini off nchi yyte na pia kufata meli yako popote sio Kama miaka ya sasa hivi...naenda SA naambiwa meli ipo uholanzi napewa tiketi na kuondoka au Brazil...
 
Njoo
Njoo
Njoo uone na kaburi la mwenda zake.
 
Inaonekana tatizo kubwa ni wewe mwenyewe pia, kama unaweza kuwa na mentality ya kuja kuwabagaza wamatumbi wenzako na hela zako, ndio maana unaona kuwa huko unabaguliwa. Inferiority complex, wewe fanya kazi yako fanya mambo yako ukichoka rudi kwenu, achana na maisha ya watu.
 
Kabla hujabaguliwa hata kama ni kweli umebaguliwa lazima ubebe fikra za kubaguliwa. Baki ukifikiri huku nyumbani tunafanya mambo ya hovyo peke yake. Ukirudi uweze kushtuka vya kutosha
 
Semenya una mikwara dadadeeki zako, nishike mkono basi nami nisogee huko nikusaidie kubaguliwa.

Kati ya kubaguliwa na kurogwa bora nini?
 
Nyie mliotoka Africa bado ni ma Nigro mambo ya kujiita Niggers nikujipa titles sio zenu mrudi nyumbani sasa,mama anafungua fursa kibao.

Sent from my 601SO using JamiiForums mobile app
 
Mmatumbi kama Mmatumbi.
 
Mbona hata hapa Bongo kuna ubaguzi mwingi sana,kuna jamaa aliwahi kuweka uzi hapa miaka ya nyuma unaohusu wabongo kuzuiliwa kuingia mgahawa wa wachina.

Hivi hao kina Pogba,Lukaku...mbona hawalii kama nyie mnaoenda huko kutafuta pesa...au mnatoka na tabia zenu za kiswahili mnazipeleka huko halafu unakuja hapa kulialia ubaguzi.
Yule jamaa Kiranga mbona hajawahi kulialia ubaguzi na yeye kaamua kuhamia mazima huko majuu?
 
Lakini Watu weusi wengi ni wachafu wachafu, Wavivu, wezi, wana Majungu na maneno mengi

Hata maeneo mengi wanayokaa ni pachafupachafu tu
 
Acha kulia lia mkuu inabidi ukomae huko huko yani!
 

Ramani ya VISA ndugu yangu napambana sana
 
Wenzangu mlioko nchi ya Sweden, Norway na fin land mlifikaje huko ? Kwa mlioenda kwa utafutaji wa maisha
 
Ndio maana unaonekana boya huko ulipo, hizo kaz watu walizifanya miaka ya 90 hadi 2000 wewe umeenda huko kufanya saahiz...?
Ukirudi bongo unakuta ulio waacha wamekuzidi kiuchumi, unajikuta boya tena na vidola vyako vya kununua IST ulivyo rudi navyo...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…