Jungo Mota
Member
- Apr 9, 2018
- 42
- 38
Wewe ni muongo na mzushi , bara watu wanaajiriwa kwa kufuata vigezo vya umri na vyeti alivyonavyo , mie juzijuzi wadogo zangu wameajiriwaHii kitu ipo sana na si zanzibar hadi bara. Hata kama una vigezo vimejitosheleza.. bado watademand loyalt flan kutoka kwako either pesa au kuwa mwanachama.