Tetesi: Ubaguzi wa ajira kwenye Serikali ya Mapinduzi Zanzibar

Tetesi: Ubaguzi wa ajira kwenye Serikali ya Mapinduzi Zanzibar

Nyinyi endeleeni kubaguana... maana hata ajira zenu ni za ubaguzi... mwisho pale utaona lazima uwe mzanzibar... wa bara hawaitajiki... shenzi kabisa, na huku tulitakiwa ajira ziwe hivyo... ubaguzi huu, ndio unafanya iwe rahisi ninyi kubaguana wenyewe kwa wenyewe
 
Wapemba wenyewe wabaguzi wakubwa.

Niambie mahusiano ya ndoa mpemba na mtanzania bara yapo? Jamaa wanatuona kinyaa sana kama tukitaka kuoa au kuolewa.
Tulipokuwa kule Ukraine miaka ya nyuma, kwenye zile sherehe za kukaribisha mwaka mpya, jamaa walikuwa wakijitenga na kufanya za kwao kivyao.

Lakini zikija hela za serikali walikuwa wepesi kujisogeza kwenye kikao cha wanafunzi na mwakilishi wa ubalozi. Roho ya ubaguzi haimuwachi mtu salama.
 
Tulipokuwa kule Ukraine miaka ya nyuma, kwenye zile sherehe za kukaribisha mwaka mpya, jamaa walikuwa wakijitenga na kufanya za kwao kivyao.

Lakini zikija hela za serikali walikuwa wepesi kujisogeza kwenye kikao cha wanafunzi na mwakilishi wa ubalozi. Roho ya ubaguzi haimuwachi mtu salama.
[emoji1] [emoji1] wazee wa fursa na wanajiona wametoka mbingu nyingine kabisa tofauti na sisi tena wanatuita waswahili mkuu.

Jamaa wapuuzi sana na wanaongoza kwa ubaguzi sana hata wazungu wanaufadhari kabisa.
 
Hii hali ubaguvi iko kweli Zanzibar,inasikitisha sana kuona serikali imawabaguwa raia wake wenyewe,Zanzibar ukiwa na asili ya Pemba huwezi kapata kazi katika usalama wa taifa,wale wazanzibari wenye asili ya kiarabu au kihindi hawawezi kuajiriwa kwenye vyomba vya usalama kama vile Polisi na Jeshi..

Wakati wa utawala wa kisultani Wazanzibari wote walikuwa na uwezo wa kufanya kazi wanazozita,Polisi wa Zanzibar walikuwa ni mchanganyiko wa kila mzanzibari,Wazanzibari wenye asili ya Kiarabu,Kihindi,Kiafrika wote walikuwa wanalitumikia taifa katika vyombo vya usalama..

Baada ya mapinduzi hali imebadilika,huwezi kumuona mzanzibari mwenye asili ya kihindi au kiarabu kajijriwa na serikali katika vyombo vya usalama, sasa watawala wameenda mbali zaidi wanawabagua hata ndugu zao wa kutoka Pemba,Wapemba hawaajiri tena katika serikali,hivi sasa wameanza kuwateka..

Hivi ndivyo waafrika tulivyo na tutaendelea kuwa hivi,kwasababu tunafikri kwa hisia kwa uhalisia,Canada sio siku nyingi imemchagua Msomali kuwa waziri anehusika na wageni,..

Wasomali wamewateka na mpaka kuwauwa wazungu,sio siku nyingi waharamia wa kisomali walikuwa wanateka meli na kuomba pesa nyingi tu, kama pesa hazikutolewa basi baadhi ya wafanyakazi wa meli hizo walikuwa wanauliwa...

wasomali wanajulikana kwa msimamo wao mkali wa kiislam lakini yote hayo haiizuia serikali ya Canada kumchagua msomali kama waziri wa nchi hiyo

Wafrika sijui tumekosea wapi,hivi kweli kama Zanzibar ingelikuwa hivi sasa inatawaliwa na mtu asie na Asili ya Kiamfrika wazanzibari wangelikuwa wanateseka kama hivi?kwanini umbague raia wako kwasababu ana mawazo tafauti na serikali!!?Hivi kweli watawala wa CCM Zanzibar hawaoni kuwa wanairejesha nchi nyuma kimaendeleo na kijamii
 
Tulipokuwa kule Ukraine miaka ya nyuma, kwenye zile sherehe za kukaribisha mwaka mpya, jamaa walikuwa wakijitenga na kufanya za kwao kivyao.

Lakini zikija hela za serikali walikuwa wepesi kujisogeza kwenye kikao cha wanafunzi na mwakilishi wa ubalozi. Roho ya ubaguzi haimuwachi mtu salama.
Kumbuka hizi ni nchi mbili hzilizoungana,Mkuu
 
Nyinyi endeleeni kubaguana... maana hata ajira zenu ni za ubaguzi... mwisho pale utaona lazima uwe mzanzibar... wa bara hawaitajiki... shenzi kabisa, na huku tulitakiwa ajira ziwe hivyo... ubaguzi huu, ndio unafanya iwe rahisi ninyi kubaguana wenyewe kwa wenyewe
😀😀😀 punguza povu mkuu,Zanzibar ina watu milioni moja na nusu(1,500,000),Tanganyika kuna watu miliioni hamsini(50,000,000) sasa kila atokeae Tanganyika aajiriwe kweli zitabaki ajira kwa wazawa (Wazanzibari) hapo,??!tafakari

kwa ufupi ilikuwa makosa makubwa sana hizi nchi mbili kuungana..
 
Wewe ni muongo na mzushi , bara watu wanaajiriwa kwa kufuata vigezo vya umri na vyeti alivyonavyo , mie jzijuzi wadogo zangu wameajiriwa
Bara kuna ukanda,alipokuwa waziri wa Fedha Mchaga,wizara yotu ilijaa wachaga,Sasa raisi msukuma,Bashite hakamatiki,watu wa mwanza hawavunjiwi
Mwal Nyerere alishasema mkianza kuwabagua wabara mtakuja upemba na uunguja, Waache kuwabagua wabara lasivyo dhambi hii itawatafuna daima
Nyerere alikuwa tapeli tu,yeye ndio kaanza kuibaguwa Zanzibar,matatizo yote yanayotokea Zanzibar kayasababisha Nyerere
 
😀😀😀 punguza povu mkuu,Zanzibar ina watu milioni moja na nusu(1,500,000),Tanganyika kuna watu miliioni hamsini(50,000,000) sasa kila atokeae Tanganyika aajiriwe kweli zitabaki ajira kwa wazawa (Wazanzibari) hapo,??!tafakari

kwa ufupi ilikuwa makosa makubwa sana hizi nchi mbili kuungana..
hakuna mantiki na ubaguzi ndipo unapo anzia... ndipo hapo baadhi ya mashirika waajiri kwa undugu, kujuana, nk... mwanzo wake ni huo... kama wote ni waTZ kuna haja gani ya kuangaliana idadi ya watu... sisi kabila letu ni wachache sana... naomba katika eneo letu ajira zitangazwe kwa ajiri yetu tu..! kabila letu tupo mia mbili tu... tofauti na wamasai, wachaga, wasukuma, wahaya wanyakyusa nk... hivyo mkija ktk eneo letu mzingatie idadi yetu....

huu ni upuuzi, hata kama kulinda ajira sio kwa namna hiii... ndio maana leo wanajijua wao ni wangapi, na ni rahisi kuleta choko choko za ubaguzi nk... lakini kungekuwa na muingiliano haswa haya ya sisi na wao yasinge tokea... kumbuka huko nyuma wakoloni walikuwa wana amisha na kuchanganya watu toka maeneo tofauti ili kuepusha migogoro isiyio ya lazima...

ebu tafakari na wewe hii... mkuuu kwania njeama tu...
 
hakuna mantiki na ubaguzi ndipo unapo anzia... ndipo hapo baadhi ya mashirika waajiri kwa undugu, kujuana, nk... mwanzo wake ni huo... kama wote ni waTZ kuna haja gani ya kuangaliana idadi ya watu... sisi kabila letu ni wachache sana... naomba katika eneo letu ajira zitangazwe kwa ajiri yetu tu..! kabila letu tupo mia mbili tu... tofauti na wamasai, wachaga, wasukuma, wahaya wanyakyusa nk... hivyo mkija ktk eneo letu mzingatie idadi yetu....

huu ni upuuzi, hata kama kulinda ajira sio kwa namna hiii... ndio maana leo wanajijua wao ni wangapi, na ni rahisi kuleta choko choko za ubaguzi nk... lakini kungekuwa na muingiliano haswa haya ya sisi na wao yasinge tokea... kumbuka huko nyuma wakoloni walikuwa wana amisha na kuchanganya watu toka maeneo tofauti ili kuepusha migogoro isiyio ya lazima...

ebu tafakari na wewe hii... mkuuu kwania njeama tu...
Mkuu hii ni kuhusu nchi sio kabila,Zanzibar ni nchi sio jimbo,kuna ajira nyingi Tanganyika zinatolewa kwa watanganyika tu,umeshawahi kusikia mkuu wa Jeshi,mkuu wa Polisi,mkuu wa Magereza,waziri mkuu, nk. kupatiwa mtu kutoka Zanzibar, tangu muungano huu uanze,??!hivi sasa mmekwenda mbali hata bidhaa za Zanzibar hamtaki ziuzwe Tanganyika

Kwani watanganyika hawajijui wako wangapi!?hakuna nchi isiojua raia wake wako wangapi,nchi inatakiwa ijue vile vile raia wake wasiokuwa na kazi wako wangapi..

Huu mungano unvunike tu hauna maana yoyote..,Mkijazana Zanzibar watoto wetu tutawapa kazi gani?Wazanzibari walioko Tanganyika wengi wao wanajitegemea kibiashara,hawategemei ajira za serikali ya Mungano..
 
Mkuu hii ni kuhusu nchi sio kabila,Zanzibar ni nchi sio jimbo,kuna ajira nyingi Tanganyika zinatolewa kwa watanganyika tu,umeshawahi kusikia mkuu wa Jeshi,mkuu wa Polisi,mkuu wa Magereza,waziri mkuu, nk. kupatiwa mtu kutoka Zanzibar tangu muungano huu uanze,hivi sasa mmekwenda mbali hata bidhaa za Zanzibar hamtaki ziuzwe Tanganyika

Kwani watanganyika hawajijui wako wangapi!?hakuna nchi isiojua raia wake wako wangapi,nchi inatakiwa ijue vile vile raia wake wasiokuwa na kazi wako wangapi..

Huu mungano unvunike tu hauna maana yoyote..,Mkijazana Zanzibar watoto wetu tutawapa kazi gani?Wazanzibari walioko Tanganyika wengi wao wanajitegemea kibiashara,hawategemei ajira za serikali ya Mungano

Mkuu kwangu sina la kusema hapo, ila ni kwasababu ya sheria na taratibu na zaweza kubadilika vilevile... hivyo ukifahamu hilo utajua vilevile ukubwa wa nchi husika na mipaka ya uwakilishi na utawala wa kiongozi wao... kwangu zenji sio nchi ila ni sehemu ya nchi.hi hawana hadhi ya nchi kimataifa wana hadhi ya nchi kitaifa na kisiasa...

katika suala la wakuu wa majeshi sizani kama kuna sheria inakataza wao kuwa ktk hizo nafasi... ndio maana tuna ona kulikuwa na rais Mwinyi aliye ongoza sehemu zote kwa nyakati tofauti...
 
Mkuu kwangu sina la kusema hapo, ila ni kwasababu ya sheria na taratibu na zaweza kubadilika vilevile... hivyo ukifahamu hilo utajua vilevile ukubwa wa nchi husika na mipaka ya uwakilishi na utawala wa kiongozi wao... kwangu zenji sio nchi ila ni sehemu ya nchi.hi hawana hadhi ya nchi kimataifa wana hadhi ya nchi kitaifa na kisiasa...

katika suala la wakuu wa majeshi sizani kama kuna sheria inakataza wao kuwa ktk hizo nafasi... ndio maana tuna ona kulikuwa na rais Mwinyi aliye ongoza sehemu zote kwa nyakati tofauti...
Sawa mkuu,nimekufahamu,lakini wazenji wenyewe kutokana na historia ya nchi yao hawakubali kuwa Zenji sio nchi ila ni sehemu ya nchi..

Mimi binafsi naamini Zanzibar ni nchi huru iliyoungana na nchi huru inayoitwa Tanganyika ukapitikana umoja wa nchi inayoitwa Jamuhuri wa mungano wa Tanzania

Zanzibar ina Raisi wake,mawaziri wake,Bendera yake,Bunge lake,katiba yake nk,hivi mkuu unajua kuwa sheria za Zenji na Tanganyika nyingi zinapingana!??
 
Mkuu hii ni kuhusu nchi sio kabila,Zanzibar ni nchi sio jimbo,kuna ajira nyingi Tanganyika zinatolewa kwa watanganyika tu,umeshawahi kusikia mkuu wa Jeshi,mkuu wa Polisi,mkuu wa Magereza,waziri mkuu, nk. kupatiwa mtu kutoka Zanzibar, tangu muungano huu uanze,??!hivi sasa mmekwenda mbali hata bidhaa za Zanzibar hamtaki ziuzwe Tanganyika

Kwani watanganyika hawajijui wako wangapi!?hakuna nchi isiojua raia wake wako wangapi,nchi inatakiwa ijue vile vile raia wake wasiokuwa na kazi wako wangapi..

Huu mungano unvunike tu hauna maana yoyote..,Mkijazana Zanzibar watoto wetu tutawapa kazi gani?Wazanzibari walioko Tanganyika wengi wao wanajitegemea kibiashara,hawategemei ajira za serikali ya Mungano..
Ahahahaha eti ajira ya mkuu wa majeshi, mkuu wa polisi , mkuu wa magereza....Akili ndogo sana wewe, embu tueleze na sisi tunawezaje kuomba hizo ajira hapo juu ,......Kwa mawazo haya mtaburuzwa mpaka pale mtakapojitambua.
 
Ahahahaha eti ajira ya mkuu wa majeshi, mkuu wa polisi , mkuu wa magereza....Akili ndogo sana wewe, embu tueleze na sisi tunawezaje kuomba hizo ajira hapo juu ,......Kwa mawazo haya mtaburuzwa mpaka pale mtakapojitambua.
Kuburuzwa gani uko mkuu mbon kila kitu kipo wazi? Kwani sheria zinasemaje? Mnaizarau znz nakusema kuwa sio nchi ati ni mkoa lakin nakuwa mkoa kwake kama mnavyojidai unawanyosha watanganiykaa kisawa sawa kwenye sheria zake ndo kama ivo hamna haki ya kumiliki ardhi znz ajira zisizo za Mungano pia haziwahusu lakin vyote ivo mznz aikiwa bara ana haki navyo endelezen siasa uchwara kwa kuwafaidisha wanasiasa
 
Bara kuna ukanda,alipokuwa waziri wa Fedha Mchaga,wizara yotu ilijaa wachaga,Sasa raisi msukuma,Bashite hakamatiki,watu wa mwanza hawavunjiwi

Nyerere alikuwa tapeli tu,yeye ndio kaanza kuibaguwa Zanzibar,matatizo yote yanayotokea Zanzibar kayasababisha Nyerere
Natumaini ulichokiandika unakielewa vizuri, Tanzania ya enzi za uhuru sio hii ya Magufuli.

Natumaini unaelewa nguvu ya ubepari na ujamaa iliyokuwepo enzi zile za miaka ya 1960, Lumumba aliuwawa na ushahidi mpaka leo haujapatikana.
 
Sawa mkuu,nimekufahamu,lakini wazenji wenyewe kutokana na historia ya nchi yao hawakubali kuwa Zenji sio nchi ila ni sehemu ya nchi..

Mimi binafsi naamini Zanzibar ni nchi huru iliyoungana na nchi huru inayoitwa Tanganyika ukapitikana umoja wa nchi inayoitwa Jamuhuri wa mungano wa Tanzania

Zanzibar ina Raisi wake,mawaziri wake,Bendera yake,Bunge lake,katiba yake nk,hivi mkuu unajua kuwa sheria za Zenji na Tanganyika nyingi zinapingana!??

kama hili lipo basi ni uzaifu mkubwa sana... ni sawa na moshi kuwa na sheria zao... alafu pia kuna sheria au katiba ya JMT... sasa utajiuliza hii katiba ina apply wapi? kama ni bara pekee y? kama bara na zenji? mbona kuna huu utofauti? na miungano yote ndio ipo hivi... zanziba ni kaeneo tu kama mafia, kisiju ukerewe, kemondo nk... na wameungana kama dodoma, mtwara, mbeya, moshi nk walivyo ungana kutengeneza tanzania... hii mikoa mingine ingekataa kuwa sehemu ya tanzania nazani tungepata ka nchi ndani ya nchi nyingine, yaani nchi iliyo zungukwa na nchi moja pande zote... kama lethoto nk...
 
kama hili lipo basi ni uzaifu mkubwa sana... ni sawa na moshi kuwa na sheria zao... alafu pia kuna sheria au katiba ya JMT... sasa utajiuliza hii katiba ina apply wapi? kama ni bara pekee y? kama bara na zenji? mbona kuna huu utofauti? na miungano yote ndio ipo hivi... zanziba ni kaeneo tu kama mafia, kisiju ukerewe, kemondo nk... na wameungana kama dodoma, mtwara, mbeya, moshi nk walivyo ungana kutengeneza tanzania... hii mikoa mingine ingekataa kuwa sehemu ya tanzania nazani tungepata ka nchi ndani ya nchi nyingine, yaani nchi iliyo zungukwa na nchi moja pande zote... kama lethoto nk...
Sawa mkuu hayo ni mawazo yako,Imekuwa uzuri umeitaja Kisiwa cha Mafia kwani Zanzibar ikijitoa katika hii kadhia ya Mungano tutakipigania kisiwa chetu cha Mafia kirudi nyumabani kwenye mamlaka ya Zanzibar,ndugu zetu wa mafia mnawatesa sana hata hawasikiki kapisa katika ramani ya Tanzania..

Mkuu mawazo yako sio mabaya wachagueni basi maraisi wa hiyo mikoa uliyoitaja na wao wapandishe bendera zao,wawe wana katiba yao,bunge lao kama vile Zanzibar...

Jipange mkuu kura ya maoni iko njiani wazanzibar wako njiani kujitoa kwenye Mungano mtabakia wenyewe mzidi kuuwana kama wanyama..
 
Natumaini ulichokiandika unakielewa vizuri, Tanzania ya enzi za uhuru sio hii ya Magufuli.

Natumaini unaelewa nguvu ya ubepari na ujamaa iliyokuwepo enzi zile za miaka ya 1960, Lumumba aliuwawa na ushahidi mpaka leo haujapatikana.
Magufuli ndio raisi mbovu hajawahi kutokea Tanzania,hivi sasa watanzania wamegawanyika kidini na kikabila mambo kama haya hayajawahi kuwepo Tz,Mauaji ya kisiasa ni kitu kipya kabisa TZ

Kwa ufupi Magufuli anaigawa TZ vipande vipande tusibiri tuone nini kitatokea,,
 
Ahahahaha eti ajira ya mkuu wa majeshi, mkuu wa polisi , mkuu wa magereza....Akili ndogo sana wewe, embu tueleze na sisi tunawezaje kuomba hizo ajira hapo juu ,......Kwa mawazo haya mtaburuzwa mpaka pale mtakapojitambua.
Mkuu lakini si hizi nchi zimeungana kama Zanzibar imeshawahi kutoa raisi wa Tanzania kwanini ajira kama hizo waspewe wazanzibari,mkuu wa majeshi au wa Polisi awe anatoka Mjini Magharib,kuna ubaya gani..?
 
Ni kweli kabisa mie rafiki zangu wengi wamepata ajira kupitia njia hyo mpka uwe na card ya ccm yaani kuna kipengele unajaza number ya card ya ccm. Hasa ajira za walimu nimeshuhudia live. Jamaa wanaigawa Zanzibar kabisa.
 
Back
Top Bottom